Toxic Concotion
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 5,760
- 20,837
Kuna kiongozi mmoja mteule wa mkoa wa kaskazini akiwaona hao watoto wanatabasamu wakiwa Marekani anaumia sana. Maana ilikuwa ni kitega uchumi chake endapo wangeendelea kuwa Mt. Meru. Kama alivyofaidika kwa wale wenzao waliotangulia mbele ya haki.