Masanja ataonekana shujaa zaidi akiachana na Monica

Masanja ataonekana shujaa zaidi akiachana na Monica

Mhhh mbona mie Mama yangu amezaa na Wanaume 4 tofauti,mie na Kaka yangu kila mmoja ana baba yake.Baba mwingine-watoto 2 na Baba mwingine watoto 3.
Sasa hapo alimpenda Baba yupi?? maana wote 4 alizaa nao.
Labda aliwapenda wote kwa nyakati tofauti😅
 
Kama kuna watu wanamdaganya eti ooh wewe ni kioo cha jamii mara pasta

Huo ni uboya. Mtu yeyote anayejielewa hawezi kukubali upuuzi uliofanywa na Monica.

Kuendelea kuishi naye ni kujitakia maumivu ya moyo maisha yake yote.

Let it go. Waafrica tudanganyana Sana eti ndoa za maisha, Bill gate kavunja ndoa utakuwa we masanja.

Kwanza mtaishije humo ndani na watoto wasio wako. Au ndo tusubiri tusikie mmechinjana. Let it go continue with your hustles man.

Utampendaje mwanamke asiyekuheshimu umerogwa au yaani achepuke Hadi kukuletea watoto wote wa nje what the F**k dharau ya namna gani hiyo acha uboya piga chini akwende zake.
Kwani Masanja yeye Hana watoto wa nje? Kwani Monika akiwa nao kuna ubaya gani? Wanaume acheni kujipa umungu, ninyi kuzaa nje sawa ila kwa wanawake hapana, ninyi hamtaki kuoa mwanamke aliyezalishwa na wazalishaji ni ninyi wenyewe hivi nani alisema?
 
Katibu na Monica ni trab na trat ilikuwa lazima kutenganishwa kwa namna hii
 
Na wanawake wakikupenda hi michezo wanafanya Sana,

Nina ex Wangu kaolewa nae aliwahi nambia anataman anizalie mtoto akiwa kwny ndoa yake iwe Kama kumbukumbu.

Nilikwepa huo mtego maana matokeo yake najua hayawezi kua mazuri

Hii michezo wanawake hufanya sana
Mi kuna mmoja alibeba makusudi ikatunga nje nikashukuru maana ilitolewa
 
Kwa kugongewa mkewe, Masanja ana dhambi gani? Upendo unapimwa kwa uwezo wa kuvumilia na kusamehe.

Huenda wewe ni mpagani na hujui Biblia inasema nini.

1 Petro 4:8
[8]Zaidi ya yote iweni na juhudi nyingi katika kupendana; kwa sababu upendano husitiri wingi wa dhambi.
And above all things have fervent charity among yourselves: for charity shall cover the multitude of sins.
Mambo ya walawi 21: 7 (Usioe Kahaba)
Matayo Mt 5: 32 (Mke ataachwa kwa kosa la uasherati tu)
Matayo Mt 19: 9 (Mke ataachwa kwa kosa la uasherati tu)
 
Ndugu wa marehemu katibu wanataka watoto wao.ndugu yao amefariki na kaacha watoto ndugu wanawataka watoto wa marehemu.
 
Sijui lakini kama wewe unafamilia au la. unapata wapi ujasiri wa kulea watoto wa nje.

Mwanamke Tu mwenye watoto kuolewa ni bahati na sibu. Je aliyezaa watoto wote na mtu mwingine huku tayari mmeoona labda uwe zezeta ndo utavumilia. Hata malaika angemtosa huyu mwanamke.

Kwani Monica ana kitu gani cha ziada Hadi amzalilishe masanja kiasi hicho. Masanja ndo anamiliki uchumi wa familia, Mwanamke mpumbavu siyo wa kucheka naye.


Afu eti kuhusu watoto watalelewana Nani Monica atajua mwenyewe masanja siyo jukumu lake kulea watoto wa watu wengine.


Yaani kitu cha aibu Sana mkeo anazalishwa na wewe upo kweli tena watoto wawili..

Monica anabahati ingekuwa Kwa mwanaume mwingine tungekuwa tumeshaimba parapanda imelia
Jifunze kupambana na hali yako, wewe unamsema Masanja hapa unaweza kukuta kwako kunawaka moto.
 
Ujisikiliza ile audio mke wa Mwendazake anaeleza Monica na huyo hayati walikuwa wapenzi kabla na lilijulikana ila kuna wanawake wana ujasiri jamani mimi huyu wangu alinusa tu harufu ya Usaliti balaa lake nilikimbia kwetu kuokoa roho yangu sembuse kuzaa[emoji2372]
Kwanini huwa hamridhiki na fimbo moja , kutwa kukitembeza kwa wahuni , mwisho mnawasababishia vifo.
 
Tatizo Mazanja (ashakum siyo matusi) kinachom-cost ni kabila,Msukuma na rangi nyeupe ni kama Mbwa kwa Chatu yaani anajipeleka mwenyewe na hii kwa experience yangu niliyowahi kushudia kwa watu ninaowajua litamyumbisha sana!
Masanja sio msukuma, vitu kama hamvijui muwe wapole, sio kujifanya mnajua kutoa maoni kwenye kila kitu.
 
Mambo ya walawi 21: 7 (Usioe Kahaba)
Matayo Mt 5: 32 (Mke ataachwa kwa kosa la uasherati tu)
Matayo Mt 19: 9 (Mke ataachwa kwa kosa la uasherati tu)
Kusamehe saba mara sabini ndio upendo. Upendo husitiri wingi wa dhambi

1 Petro 4:8
[8]Zaidi ya yote iweni na juhudi nyingi katika kupendana; kwa sababu upendano husitiri wingi wa dhambi.
And above all things have fervent charity among yourselves: for charity shall cover the multitude of sins.
 
Back
Top Bottom