Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,094
- 37,314
Siwezi kupandisha ila wapendwa watakusaidia kuwekaNutumie link niupitie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siwezi kupandisha ila wapendwa watakusaidia kuwekaNutumie link niupitie
Yes mke wa Masanja yuko kwenye mawazo mno na inaonesha kuna kitu kina muumiza amepungua mno mno kwa kipindi kifupi sanaHebu fafanua hapo kwenye maumivu[emoji848]
Basi Ntumie link pmSiwezi kupandisha ila wapendwa watakusaidia kuweka
Amepungua kuliko mjane wa katibu[emoji848]Yes mke wa Masanja yuko kwenye mawazo mno na inaonesha kuna kitu kina muumiza amepungua mno mno kwa kipindi kifupi sana
Yeye ndio mjane mlengwa haswaaa una ambiwa kwa mujibu wa mke wa marehem siku wanafunga ndoa Monica aliliaa na kamasi zikatoka😁😁😁sembuse kumpoteza kabisaAmepungua kuliko mjane wa katibu[emoji848]
Kuna point za msingi hapaMonica ana siri nyingi sana za uchungaji wake na safari zake za marekani za mara kwa mara. Akimuacha ni kama anajivua nguo
Nimebaki namshangaa Monica, kwa hiyo kwenye ndoa yake alikua kama kivuli ila moyo wote upo kwa katibu mwana waneYeye ndio mjane mlengwa haswaaa una ambiwa kwa mujibu wa mke wa marehem siku wanafunga ndoa Monica aliliaa na kamasi zikatoka😁😁😁sembuse kumpoteza kabisa
Shida huo uzi kichwa cha habari nimesahau wakuu nisaidieni ule uzi wenye voice ya anaedaiwa mke wa katibua oooh katibu.Basi Ntumie link pm
Mwanamke,mwanamke narudia Mwanamke siku sote ana zaa na yule aliyempenda kweli kweli huoni bibie katoa pacha wa katibu ubaya alijisahau kama yupo kwenye ndoa takatifu.Nimebaki namshangaa Monica, kwa hiyo kwenye ndoa yake alikua kama kivuli ila moyo wote upo kwa katibu mwana wane
Kuwa na limit kwenye umbea na uongo unless kama uliwahi kulala naye.Nasikia yule hana ni dk. Moja chali
Labda Hana kizazi ndo maana kakaza fuvu.Walio kwenye app ya Mange watakuwa washaisikiliza!! Watakuja kutupa update yote ya mazungumzo!! Masanja kweli kajizima Data yaani unagongewa waziwazi halafu maisha yanaendelea!!
Ahahahahah hali ni mbaya sanaWanaume tumekuwa wambea sana kuliko wanawake hii ni hatare sana kwa taifa
Ahahahahha voda walishasajiliItakuwa alikuta bikra ya uwani ndio sealed ila Voda wahuni walishasajili
Punguza hasira basi mkuu usizidi sie ndugu zake katibu🤣🤣🤣🤣Kuwa na limit kwenye umbea na uongo unless kama uliwahi kulala naye.
Huwa naona ni upumbavu kuandika mambo ambayo hayana ushahidi.Punguza hasira basi mkuu usizidi sie ndugu zake katibu🤣🤣🤣🤣
Habari ni kwamba ile michele ninya huyo bibie...Sidhani kama ana ubavu huo.Hivi alishawahi kuwa na mpenzi hapo awali kabla ya bi.Monie?Penzi la kwanza huzuzua.
Mamy laishisha Kwa kusema amechapiwaIsingekuwa hayo macho ningesema mtoto ni wa Masanja,pia isingekuwa komwe ningesema mtoto ni wa baba mchungaji,vilevile isingekuwa kicheko chao wanafanana ningesema mtoto ni..... lakini hii ndio maana ya Dunia uwanja wa fujo.