DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Hebu fafanua hapo kwenye maumivu[emoji848]Hakuna mtu anataka waachane maumivu yao ndani ya ndoa yao yamesababisha mke wa Masanja abaki fuvu balada ya kichwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu fafanua hapo kwenye maumivu[emoji848]Hakuna mtu anataka waachane maumivu yao ndani ya ndoa yao yamesababisha mke wa Masanja abaki fuvu balada ya kichwa.
Hayo maelezo ya MKE wa mwendazake yako wapi mkuu? Naomba niyasikilize basiMasanja ndio aliingilia penzi la watu kwa maelezo ya mke wa Mwendazake,
Nadhani alitumia nguvu ya pesa kumpata yule bibie.
Sijui lakini kama wewe unafamilia au la. unapata wapi ujasiri wa kulea watoto wa nje.
Mwanamke Tu mwenye watoto kuolewa ni bahati na sibu. Je aliyezaa watoto wote na mtu mwingine huku tayari mmeoona labda uwe zezeta ndo utavumilia. Hata malaika angemtosa huyu mwanamke.
Kwani Monica ana kitu gani cha ziada Hadi amzalilishe masanja kiasi hicho. Masanja ndo anamiliki uchumi wa familia, Mwanamke mpumbavu siyo wa kucheka naye.
Afu eti kuhusu watoto watalelewana Nani Monica atajua mwenyewe masanja siyo jukumu lake kulea watoto wa watu wengine.
Yaani kitu cha aibu Sana mkeo anazalishwa na wewe upo kweli tena watoto wawili..
Monica anabahati ingekuwa Kwa mwanaume mwingine tungekuwa tumeshaimba parapanda imelia
Lkn sasa mwenye ndoa amesema hamuachi,wewe kinakuuma nini asipomuacha?,unataka aachwe yy ili aolewe nani?Sijui lakini kama wewe unafamilia au la. unapata wapi ujasiri wa kulea watoto wa nje.
Mwanamke Tu mwenye watoto kuolewa ni bahati na sibu. Je aliyezaa watoto wote na mtu mwingine huku tayari mmeoona labda uwe zezeta ndo utavumilia. Hata malaika angemtosa huyu mwanamke.
Kwani Monica ana kitu gani cha ziada Hadi amzalilishe masanja kiasi hicho. Masanja ndo anamiliki uchumi wa familia, Mwanamke mpumbavu siyo wa kucheka naye.
Afu eti kuhusu watoto watalelewana Nani Monica atajua mwenyewe masanja siyo jukumu lake kulea watoto wa watu wengine.
Yaani kitu cha aibu Sana mkeo anazalishwa na wewe upo kweli tena watoto wawili..
Monica anabahati ingekuwa Kwa mwanaume mwingine tungekuwa tumeshaimba parapanda imelia
Na wanawake wakikupenda hi michezo wanafanya Sana,Na ana upendo wa kweli kakubali kumzalia akiwa kwenye ndoa
Pia macho mule mule.
😃😂😃😂😁😂😃😁😂😃😁😂😃watanzania naona mumempumzisha MWIGULU MITOZO mumeamia kwa MASANJA SASA
Nasikia kuna clip ya Mke wa katibu anafunguka mume wake kauliwa na kisa masanja,
We Masanja tulia,HatujamalizaKwani hakuna mada nyingine zaidi ya huyu dubwana au ndo yeye ameanzisha uzi..
Maana kila siku yeye Tumwchoka
Kama hii ishu ni kweli basi kalogwaMoja ya nyimbo yake mpya ina chorus hii nanukuu
"Monica wee sikuachii ,monica wee sikuachi hata waseme niniii sikuachiii......"
Kwa hali hii nitaanza kuwakimbia wanawake wa kisukuma, nilidhani ni wanawake wa machame pekee wanaweza fanya hizi mambo!Kama hii ishu ni kweli basi kalogwa
HatariKwa hali hii nitaanza kuwakimbia wanawake wa kisukuma, nilidhani ni wanawake wa machame pekee wanaweza fanya hizi mambo!
Pasta wa dini gani, au wa vichekesho? Haijui biblia kama ni wa kikiristo.Kama kuna watu wanamdaganya eti ooh wewe ni kioo cha jamii mara pasta
Huo ni uboya. Mtu yeyote anayejielewa hawezi kukubali upuuzi uliofanywa na Monica.
Kuendelea kuishi naye ni kujitakia maumivu ya moyo maisha yake yote.
Let it go. Waafrica tudanganyana Sana eti ndoa za maisha, Bill gate kavunja ndoa utakuwa we masanja.
Kwanza mtaishije humo ndani na watoto wasio wako. Au ndo tusubiri tusikie mmechinjana. Let it go continue with your hustles man.
Utampendaje mwanamke asiyekuheshimu umerogwa au yaani achepuke Hadi kukuletea watoto wote wa nje what the F**k dharau ya namna gani hiyo acha uboya piga chini akwende zake.
😁😁😁😁😁😁😁😁We Masanja tulia,Hatujamaliza
Upo uzi una hiyo voiceHayo maelezo ya MKE wa mwendazake yako wapi mkuu? Naomba niyasikilize basi
Nutumie link niupitieMimi sina bali kuna uzi humu ipo voice