Masanja ataonekana shujaa zaidi akiachana na Monica

Masanja ataonekana shujaa zaidi akiachana na Monica

Monica ana siri nyingi sana za uchungaji wake na safari zake za marekani za mara kwa mara. Akimuacha ni kama anajivua nguo
Umenena sembuse anaogopa Siri zake zitavuja ndio ameamua kukomaa n maimivu
 
Kama kuna watu wanamdaganya eti ooh wewe ni kioo cha jamii mara pasta

Huo ni uboya. Mtu yeyote anayejielewa hawezi kukubali upuuzi uliofanywa na Monica.

Kuendelea kuishi naye ni kujitakia maumivu ya moyo maisha yake yote.

Let it go. Waafrica tudanganyana Sana eti ndoa za maisha, Bill gate kavunja ndoa utakuwa we masanja.

Kwanza mtaishije humo ndani na watoto wasio wako. Au ndo tusubiri tusikie mmechinjana. Let it go continue with your hustles man.

Utampendaje mwanamke asiyekuheshimu umerogwa au yaani achepuke Hadi kukuletea watoto wote wa nje what the F**k dharau ya namna gani hiyo acha uboya piga chini akwende zake.
Jamani, labda Nabii hana uwezo kuzalisaha ndio maana anakomaa na changu wake
 
Hivi hii issue ni kweli?? Unajua mm nikawa najua ni utani eti.

Kama ni kweli basi ni issue mbaya sana
We si unaona chapa ya Marehemu kabisa, unadhani Jamaa anaweza akakubali hata kuwapima DNA!! thubutu!!
 
Aachane naye kwa lipi,ripoti si imetoka kwamba h awakuwa na mahusiano?,hayo mengine ni wewe na wa watu wa aina yako ndo mnataka mnalazimisha iwe vile nyie mnavyoamini.Mbona maisha yana mambo mengi sana,unapata wapi ujasiri wa kumuamulia mtu mwingine jinsi ya kuyaishi maisha yake?
Marehemu ndio kasema
 
Ujisikiliza ile audio mke wa Mwendazake anaeleza Monica na huyo hayati walikuwa wapenzi kabla na lilijulikana ila kuna wanawake wana ujasiri jamani mimi huyu wangu alinusa tu harufu ya Usaliti balaa lake nilikimbia kwetu kuokoa roho yangu sembuse kuzaa🤷🏼‍♀️
Mkuu alinusaje,ebu tusimulie kidogo.Kama kutombewa kunauma hivyo je kuletewa mtoto asiye wako..duuu sipati picha maumivu yake
 
Mwanamke,mwanamke narudia Mwanamke siku sote ana zaa na yule aliyempenda kweli kweli huoni bibie katoa pacha wa katibu ubaya alijisahau kama yupo kwenye ndoa takatifu.
Mhhh mbona mie Mama yangu amezaa na Wanaume 4 tofauti,mie na Kaka yangu kila mmoja ana baba yake.Baba mwingine-watoto 2 na Baba mwingine watoto 3.
Sasa hapo alimpenda Baba yupi?? maana wote 4 alizaa nao.
 
Kama kuna watu wanamdaganya eti ooh wewe ni kioo cha jamii mara pasta

Huo ni uboya. Mtu yeyote anayejielewa hawezi kukubali upuuzi uliofanywa na Monica.

Kuendelea kuishi naye ni kujitakia maumivu ya moyo maisha yake yote.

Let it go. Waafrica tudanganyana Sana eti ndoa za maisha, Bill gate kavunja ndoa utakuwa we masanja.

Kwanza mtaishije humo ndani na watoto wasio wako. Au ndo tusubiri tusikie mmechinjana. Let it go continue with your hustles man.

Utampendaje mwanamke asiyekuheshimu umerogwa au yaani achepuke Hadi kukuletea watoto wote wa nje what the F**k dharau ya namna gani hiyo acha uboya piga chini akwende zake.
Yaani umpangie cha kufanya.
Amwache mkewe ili wewe uridhike?
Huo ni uchawi
 
Masanja akomae tu na Monica wake.. asirudi nyuma japo ishakua ngumu kuliko
 
Masanja kwa huyo mwanamke amedandia mtumbwi wa vibwengo, Naona kila kona anakula spana tu.
Ni heri uibiwe aset yote ndani ya nyumba yako kuliko mtu kuiba mke wako ni doa lisilofutika ndani ya moyo wa mwanamme aliekamilika.
 
Mungu baba katika jina la mwanao bwana wetu yesu kristo nakuja kwako kwa maombi maalumu.
Mawaombea wanaume wote ulimwenguni wanyime vyote ila usiwanyime hivi vitu viwili

1: nguvu za kiume
2: vipesa vya matumizi visivyo vya kusuasua.

Mungu no 1&2 viwe sambamba kisikose kimojawapo.
Amina
Amina.
 
Mhhh mbona mie Mama yangu amezaa na Wanaume 4 tofauti,mie na Kaka yangu kila mmoja ana baba yake.Baba mwingine-watoto 2 na Baba mwingine watoto 3.
Sasa hapo alimpenda Baba yupi?? maana wote 4 alizaa nao.
Wote aliwapenda mkuu
 
Ndoa ni ya Masanja ila wanahangaika wengine. Ugonjwa wa akili ni janga nchi hii.
 
Back
Top Bottom