Labda aliwapenda wote kwa nyakati tofauti😅Mhhh mbona mie Mama yangu amezaa na Wanaume 4 tofauti,mie na Kaka yangu kila mmoja ana baba yake.Baba mwingine-watoto 2 na Baba mwingine watoto 3.
Sasa hapo alimpenda Baba yupi?? maana wote 4 alizaa nao.
Aliye tom***ewa Hadi kuletewa watoto ana ugonjwa wa akili auNdoa ni ya Masanja ila wanahangaika wengine. Ugonjwa wa akili ni janga nchi hii.
Kwani Masanja yeye Hana watoto wa nje? Kwani Monika akiwa nao kuna ubaya gani? Wanaume acheni kujipa umungu, ninyi kuzaa nje sawa ila kwa wanawake hapana, ninyi hamtaki kuoa mwanamke aliyezalishwa na wazalishaji ni ninyi wenyewe hivi nani alisema?Kama kuna watu wanamdaganya eti ooh wewe ni kioo cha jamii mara pasta
Huo ni uboya. Mtu yeyote anayejielewa hawezi kukubali upuuzi uliofanywa na Monica.
Kuendelea kuishi naye ni kujitakia maumivu ya moyo maisha yake yote.
Let it go. Waafrica tudanganyana Sana eti ndoa za maisha, Bill gate kavunja ndoa utakuwa we masanja.
Kwanza mtaishije humo ndani na watoto wasio wako. Au ndo tusubiri tusikie mmechinjana. Let it go continue with your hustles man.
Utampendaje mwanamke asiyekuheshimu umerogwa au yaani achepuke Hadi kukuletea watoto wote wa nje what the F**k dharau ya namna gani hiyo acha uboya piga chini akwende zake.
Ile video sio yeyeNimeona video bi dada akiliwa ndogo aise ni hatari mke wake masanja ana hitaji pongezi.
Sijaelewa hapo,Nimeona video bi dada akiliwa ndogo aise ni hatari mke wake masanja ana hitaji pongezi.
mi ninayo full ni yeye na mbunye yake ilivyo nzuri.
mkeSijaelewa hapo,
Alieliwa Ndogo Ni MKE wa masanja au katibu [emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi kuna mmoja alibeba makusudi ikatunga nje nikashukuru maana ilitolewaNa wanawake wakikupenda hi michezo wanafanya Sana,
Nina ex Wangu kaolewa nae aliwahi nambia anataman anizalie mtoto akiwa kwny ndoa yake iwe Kama kumbukumbu.
Nilikwepa huo mtego maana matokeo yake najua hayawezi kua mazuri
Hii michezo wanawake hufanya sana
Mambo ya walawi 21: 7 (Usioe Kahaba)Kwa kugongewa mkewe, Masanja ana dhambi gani? Upendo unapimwa kwa uwezo wa kuvumilia na kusamehe.
Huenda wewe ni mpagani na hujui Biblia inasema nini.
1 Petro 4:8
[8]Zaidi ya yote iweni na juhudi nyingi katika kupendana; kwa sababu upendano husitiri wingi wa dhambi.
And above all things have fervent charity among yourselves: for charity shall cover the multitude of sins.
Jifunze kupambana na hali yako, wewe unamsema Masanja hapa unaweza kukuta kwako kunawaka moto.Sijui lakini kama wewe unafamilia au la. unapata wapi ujasiri wa kulea watoto wa nje.
Mwanamke Tu mwenye watoto kuolewa ni bahati na sibu. Je aliyezaa watoto wote na mtu mwingine huku tayari mmeoona labda uwe zezeta ndo utavumilia. Hata malaika angemtosa huyu mwanamke.
Kwani Monica ana kitu gani cha ziada Hadi amzalilishe masanja kiasi hicho. Masanja ndo anamiliki uchumi wa familia, Mwanamke mpumbavu siyo wa kucheka naye.
Afu eti kuhusu watoto watalelewana Nani Monica atajua mwenyewe masanja siyo jukumu lake kulea watoto wa watu wengine.
Yaani kitu cha aibu Sana mkeo anazalishwa na wewe upo kweli tena watoto wawili..
Monica anabahati ingekuwa Kwa mwanaume mwingine tungekuwa tumeshaimba parapanda imelia
Kwanini huwa hamridhiki na fimbo moja , kutwa kukitembeza kwa wahuni , mwisho mnawasababishia vifo.Ujisikiliza ile audio mke wa Mwendazake anaeleza Monica na huyo hayati walikuwa wapenzi kabla na lilijulikana ila kuna wanawake wana ujasiri jamani mimi huyu wangu alinusa tu harufu ya Usaliti balaa lake nilikimbia kwetu kuokoa roho yangu sembuse kuzaa[emoji2372]
Masanja sio msukuma, vitu kama hamvijui muwe wapole, sio kujifanya mnajua kutoa maoni kwenye kila kitu.Tatizo Mazanja (ashakum siyo matusi) kinachom-cost ni kabila,Msukuma na rangi nyeupe ni kama Mbwa kwa Chatu yaani anajipeleka mwenyewe na hii kwa experience yangu niliyowahi kushudia kwa watu ninaowajua litamyumbisha sana!
Bora mwanamke awe malaya kuliko mwanaume kuwa mmbea kama Juma LokoleWanawake wamekuwa malaya kuliko wanaume mkuu, hilo nalo fatilia kwa makini. Ni mabadiliko ya tabia nchi tu [emoji23]
Kama ni mnyakyusa basi mvumilivu duuMasanja sio msukuma, vitu kama hamvijui muwe wapole, sio kujifanya mnajua kutoa maoni kwenye kila kitu.
Mimi nitoe mkuu natosheka mkuuKwanini huwa hamridhiki na fimbo moja , kutwa kukitembeza kwa wahuni , mwisho mnawasababishia vifo.
Kusamehe saba mara sabini ndio upendo. Upendo husitiri wingi wa dhambiMambo ya walawi 21: 7 (Usioe Kahaba)
Matayo Mt 5: 32 (Mke ataachwa kwa kosa la uasherati tu)
Matayo Mt 19: 9 (Mke ataachwa kwa kosa la uasherati tu)