Masanja ataonekana shujaa zaidi akiachana na Monica

Masanja ataonekana shujaa zaidi akiachana na Monica

Dogo ka_tomba demu mpak amezalisha two times , us_enge huo , labda kama Hana kizazi Ila kama kipo piga chini huyo manzi Hana cha kumfanya umkumbuke
 
Ahaaa kumbe kelele zote lengo waachane?
Amesema hawaachani mkajinyonge
Hakuna mtu anataka waachane maumivu yao ndani ya ndoa yao yamesababisha mke wa Masanja abaki fuvu balada ya kichwa.
 
Utampendaje mwanamke asiyekuheshimu umerogwa au yaani achepuke Hadi kukuletea watoto wote wa nje what the F**k dharau ya namna gani hiyo acha uboya piga chini akwende zake.
Tatizo Mazanja (ashakum siyo matusi) kinachom-cost ni kabila,Msukuma na rangi nyeupe ni kama Mbwa kwa Chatu yaani anajipeleka mwenyewe na hii kwa experience yangu niliyowahi kushudia kwa watu ninaowajua litamyumbisha sana!
 
jiulize angekuwa mkeo wa ndoa ingekuwaje
Na Bora hakuwa mke want wa ndoa.nisingeweza kumuoa kea kero zile.hatujawahi kukaa hata siku moja bila kugomgana na hapo NI kwenye simu.mwanamke haishiwi matatizo
 
Tatizo Mazanja (ashakum siyo matusi) kinachom-cost ni kabila,Msukuma na rangi nyeupe ni kama Mbwa kwa Chatu yaani anajipeleka mwenyewe na hii kwa experience yangu niliyowahi kushudia kwa watu ninaowajua litamyumbisha sana!
Kama niko sahihi Masanja siyo Msukuma, ni Mnyakyusa. Hilo jina Masanja ni la "kazi"
 
Mungu baba katika jina la mwanao bwana wetu yesu kristo nakuja kwako kwa maombi maalumu.
Mawaombea wanaume wote ulimwenguni wanyime vyote ila usiwanyime hivi vitu viwili

1: nguvu za kiume
2: vipesa vya matumizi visivyo vya kusuasua.

Mungu no 1&2 viwe sambamba kisikose kimojawapo.
Amina
Maombi yako hayajapokelewa...Mungu aamini katka pesa..jaribu kuomba kwa njia nyingine
 
Ujisikiliza ile audio mke wa Mwendazake anaeleza Monica na huyo hayati walikuwa wapenzi kabla na lilijulikana ila kuna wanawake wana ujasiri jamani mimi huyu wangu alinusa tu harufu ya Usaliti balaa lake nilikimbia kwetu kuokoa roho yangu sembuse kuzaa🤷🏼‍♀️
Kumbe ushatolewa baru upo kwenu 😂😂😂
 
Unaumia kuzidi Masanja mwenyewe ashasema hamuachi mke wake
Ukilazimisha kuuvaa uanaume huwezi ku-fit wewe ni mwanamke huwezi kuyaona yaliyo kwa wanaume.

Hakuna anayeumia as long as ni maisha yake sisi wanaume wenzake tunaliangalia hili jambo kwenye angle ya msingi wa familia yake kama mwanaume mwenzetu,mwanaume aliyeowa anakuwa na utulivu wa maisha pale ametoa na kulea watoto kutoka ktk kiuno chake siyo vinginevyo!

Mazanja ana-act ana utulivu wa nafsi wakati tunajua na tunaamini kwamba kama ana uume kama wanaume wengine lazima hili jambo linamla vibaya sana,namaanisha vibaya kweli kweli na asipokaa kwa akili atakuja afanye kitu apotee kabisa.
 
Kama kuna watu wanamdaganya eti ooh wewe ni kioo cha jamii mara pasta

Huo ni uboya. Mtu yeyote anayejielewa hawezi kukubali upuuzi uliofanywa na Monica.

Kuendelea kuishi naye ni kujitakia maumivu ya moyo maisha yake yote.

Let it go. Waafrica tudanganyana Sana eti ndoa za maisha, Bill gate kavunja ndoa utakuwa we masanja.

Kwanza mtaishije humo ndani na watoto wasio wako. Au ndo tusubiri tusikie mmechinjana. Let it go continue with your hustles man.

Utampendaje mwanamke asiyekuheshimu umerogwa au yaani achepuke Hadi kukuletea watoto wote wa nje what the F**k dharau ya namna gani hiyo acha uboya piga chini akwende zake.
Aisee dah! This is the price of fem
 
Mungu baba katika jina la mwanao bwana wetu yesu kristo nakuja kwako kwa maombi maalumu.
Mawaombea wanaume wote ulimwenguni wanyime vyote ila usiwanyime hivi vitu viwili

1: nguvu za kiume
2: vipesa vya matumizi visivyo vya kusuasua.

Mungu no 1&2 viwe sambamba kisikose kimojawapo.
Amina
Hayo yote ni bure tu kama hutaweza kumteka kihisia mwanamke. Kama wewe sio Alfa na Omega kwake jua tu hata ungekuwa Aliko Dangote kuchapiwa ni lazima.

Mwanamke asipokuzimia kinoma noma rahisi kuwekwa na wahuni.
 
Hayo yote ni bure tu kama hutaweza kumteka kihisia mwanamke. Kama wewe sio Alfa na Omega kwake jua tu hata ungekuwa Aliko Dangote kuchapiwa ni lazima.

Mwanamke asipokuzimia kinoma noma rahisi kuwekwa na wahuni.
Masanja ndio aliingilia penzi la watu kwa maelezo ya mke wa Mwendazake,
Nadhani alitumia nguvu ya pesa kumpata yule bibie.
 
Sijui lakini kama wewe unafamilia au la. unapata wapi ujasiri wa kulea watoto wa nje.

Mwanamke Tu mwenye watoto kuolewa ni bahati na sibu. Je aliyezaa watoto wote na mtu mwingine huku tayari mmeoona labda uwe zezeta ndo utavumilia. Hata malaika angemtosa huyu mwanamke.

Kwani Monica ana kitu gani cha ziada Hadi amzalilishe masanja kiasi hicho. Masanja ndo anamiliki uchumi wa familia, Mwanamke mpumbavu siyo wa kucheka naye.


Afu eti kuhusu watoto watalelewana Nani Monica atajua mwenyewe masanja siyo jukumu lake kulea watoto wa watu wengine.


Yaani kitu cha aibu Sana mkeo anazalishwa na wewe upo kweli tena watoto wawili..

Monica anabahati ingekuwa Kwa mwanaume mwingine tungekuwa tumeshaimba parapanda imelia
Labda Masanja hana uwezo wa kuzalisha mkuu.
 
Kama niko sahihi Masanja siyo Msukuma, ni Mnyakyusa. Hilo jina Masanja ni la "kazi"
Ni wale wale tu hiyo Mbeya yote kuna sehemu unaweza zunguka mchana kutwa usikutane na mwanamke rangi nyeupe ambayo ni OG sasa kama yeye amekulia mazingira hayo lazima aone ugumu kumuacha.
 
Tatizo Mazanja (ashakum siyo matusi) kinachom-cost ni kabila,Msukuma na rangi nyeupe ni kama Mbwa kwa Chatu yaani anajipeleka mwenyewe na hii kwa experience yangu niliyowahi kushudia kwa watu ninaowajua litamyumbisha sana!
Masanja ni jina la kazi (comed) sio jina lake halisi na masanja sio msukuma kwa taarifa yako.
 
Back
Top Bottom