Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna mtu anataka waachane maumivu yao ndani ya ndoa yao yamesababisha mke wa Masanja abaki fuvu balada ya kichwa.Ahaaa kumbe kelele zote lengo waachane?
Amesema hawaachani mkajinyonge
Usimcheke mwenye maradhiHuyo zoba jogoo hapandi mtungi. Ilikuwa dili lao watatu hao ila mwendazake akaanza kudai mtoto wake ndiyo jamaa akaamua kumtoa roho kidizaini.
Basj amuue aanze upya.Monica ana siri nyingi sana za uchungaji wake na safari zake za marekani za mara kwa mara. Akimuacha ni kama anajivua nguo
Tatizo Mazanja (ashakum siyo matusi) kinachom-cost ni kabila,Msukuma na rangi nyeupe ni kama Mbwa kwa Chatu yaani anajipeleka mwenyewe na hii kwa experience yangu niliyowahi kushudia kwa watu ninaowajua litamyumbisha sana!Utampendaje mwanamke asiyekuheshimu umerogwa au yaani achepuke Hadi kukuletea watoto wote wa nje what the F**k dharau ya namna gani hiyo acha uboya piga chini akwende zake.
Na Bora hakuwa mke want wa ndoa.nisingeweza kumuoa kea kero zile.hatujawahi kukaa hata siku moja bila kugomgana na hapo NI kwenye simu.mwanamke haishiwi matatizojiulize angekuwa mkeo wa ndoa ingekuwaje
Kama niko sahihi Masanja siyo Msukuma, ni Mnyakyusa. Hilo jina Masanja ni la "kazi"Tatizo Mazanja (ashakum siyo matusi) kinachom-cost ni kabila,Msukuma na rangi nyeupe ni kama Mbwa kwa Chatu yaani anajipeleka mwenyewe na hii kwa experience yangu niliyowahi kushudia kwa watu ninaowajua litamyumbisha sana!
Maombi yako hayajapokelewa...Mungu aamini katka pesa..jaribu kuomba kwa njia nyingineMungu baba katika jina la mwanao bwana wetu yesu kristo nakuja kwako kwa maombi maalumu.
Mawaombea wanaume wote ulimwenguni wanyime vyote ila usiwanyime hivi vitu viwili
1: nguvu za kiume
2: vipesa vya matumizi visivyo vya kusuasua.
Mungu no 1&2 viwe sambamba kisikose kimojawapo.
Amina
Kumbe ushatolewa baru upo kwenu 😂😂😂Ujisikiliza ile audio mke wa Mwendazake anaeleza Monica na huyo hayati walikuwa wapenzi kabla na lilijulikana ila kuna wanawake wana ujasiri jamani mimi huyu wangu alinusa tu harufu ya Usaliti balaa lake nilikimbia kwetu kuokoa roho yangu sembuse kuzaa🤷🏼♀️
Ukilazimisha kuuvaa uanaume huwezi ku-fit wewe ni mwanamke huwezi kuyaona yaliyo kwa wanaume.Unaumia kuzidi Masanja mwenyewe ashasema hamuachi mke wake
Aisee dah! This is the price of femKama kuna watu wanamdaganya eti ooh wewe ni kioo cha jamii mara pasta
Huo ni uboya. Mtu yeyote anayejielewa hawezi kukubali upuuzi uliofanywa na Monica.
Kuendelea kuishi naye ni kujitakia maumivu ya moyo maisha yake yote.
Let it go. Waafrica tudanganyana Sana eti ndoa za maisha, Bill gate kavunja ndoa utakuwa we masanja.
Kwanza mtaishije humo ndani na watoto wasio wako. Au ndo tusubiri tusikie mmechinjana. Let it go continue with your hustles man.
Utampendaje mwanamke asiyekuheshimu umerogwa au yaani achepuke Hadi kukuletea watoto wote wa nje what the F**k dharau ya namna gani hiyo acha uboya piga chini akwende zake.
Hayo yote ni bure tu kama hutaweza kumteka kihisia mwanamke. Kama wewe sio Alfa na Omega kwake jua tu hata ungekuwa Aliko Dangote kuchapiwa ni lazima.Mungu baba katika jina la mwanao bwana wetu yesu kristo nakuja kwako kwa maombi maalumu.
Mawaombea wanaume wote ulimwenguni wanyime vyote ila usiwanyime hivi vitu viwili
1: nguvu za kiume
2: vipesa vya matumizi visivyo vya kusuasua.
Mungu no 1&2 viwe sambamba kisikose kimojawapo.
Amina
😁😁hana uwezo wa kunitoa baru alikuja nyumbani kwetu siku ya pili tukayamaliza,kaka zangu wakampa mikwara aache wivu wa kiboya😀😀😀Kumbe ushatolewa baru upo kwenu 😂😂😂
Masanja ndio aliingilia penzi la watu kwa maelezo ya mke wa Mwendazake,Hayo yote ni bure tu kama hutaweza kumteka kihisia mwanamke. Kama wewe sio Alfa na Omega kwake jua tu hata ungekuwa Aliko Dangote kuchapiwa ni lazima.
Mwanamke asipokuzimia kinoma noma rahisi kuwekwa na wahuni.
Labda Masanja hana uwezo wa kuzalisha mkuu.Sijui lakini kama wewe unafamilia au la. unapata wapi ujasiri wa kulea watoto wa nje.
Mwanamke Tu mwenye watoto kuolewa ni bahati na sibu. Je aliyezaa watoto wote na mtu mwingine huku tayari mmeoona labda uwe zezeta ndo utavumilia. Hata malaika angemtosa huyu mwanamke.
Kwani Monica ana kitu gani cha ziada Hadi amzalilishe masanja kiasi hicho. Masanja ndo anamiliki uchumi wa familia, Mwanamke mpumbavu siyo wa kucheka naye.
Afu eti kuhusu watoto watalelewana Nani Monica atajua mwenyewe masanja siyo jukumu lake kulea watoto wa watu wengine.
Yaani kitu cha aibu Sana mkeo anazalishwa na wewe upo kweli tena watoto wawili..
Monica anabahati ingekuwa Kwa mwanaume mwingine tungekuwa tumeshaimba parapanda imelia
Ni wale wale tu hiyo Mbeya yote kuna sehemu unaweza zunguka mchana kutwa usikutane na mwanamke rangi nyeupe ambayo ni OG sasa kama yeye amekulia mazingira hayo lazima aone ugumu kumuacha.Kama niko sahihi Masanja siyo Msukuma, ni Mnyakyusa. Hilo jina Masanja ni la "kazi"
Wanawake wamekuwa malaya kuliko wanaume mkuu, hilo nalo fatilia kwa makini. Ni mabadiliko ya tabia nchi tu 😂Wanaume tumekuwa wambea sana kuliko wanawake hii ni hatare sana kwa taifa
Masanja ni jina la kazi (comed) sio jina lake halisi na masanja sio msukuma kwa taarifa yako.Tatizo Mazanja (ashakum siyo matusi) kinachom-cost ni kabila,Msukuma na rangi nyeupe ni kama Mbwa kwa Chatu yaani anajipeleka mwenyewe na hii kwa experience yangu niliyowahi kushudia kwa watu ninaowajua litamyumbisha sana!
Ulitaka uchepuke!?Ujisikiliza ile audio mke wa Mwendazake anaeleza Monica na huyo hayati walikuwa wapenzi kabla na lilijulikana ila kuna wanawake wana ujasiri jamani mimi huyu wangu alinusa tu harufu ya Usaliti balaa lake nilikimbia kwetu kuokoa roho yangu sembuse kuzaa🤷🏼♀️