Mr the dragon
JF-Expert Member
- Apr 14, 2017
- 1,937
- 3,718
Both team to scoreWakati mchungaji anakula sadaka waumini wanamla mama mchungaji.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Both team to scoreWakati mchungaji anakula sadaka waumini wanamla mama mchungaji.
Hapana Yeye ni wa Iringa, most likely Mhehe.hivi Mchungaji Massanja ni msukuma kwani
Si mhehe ni mpangwa huyo bwana, wa ilininda hukoHapana Yeye ni wa Iringa, most likely Mhehe.
Nyuma ya leaders clubHivi kanisa la Masanja liko wapi? Nataka niwe naenda maana ni kama umehudhuria stand up comedy.
Hawezi kupona haraka kwa sababu anajichelewesha kulia, anahangaika na sisi!Ni kweli unayosema lakini ni afadhali anajaribu kuwa positive na kutosikiliza watu wanataka achukue hatua gani. Ameenda against na matarajio ya wengi na hilo litamfanya apone haraka.
Inawezekana analia kwa kujificha😅😅Hawezi kupona haraka kwa sababu anajichelewesha kulia, anahangaika na sisi!
Sasa si utulie na wewe kicheche!? Mtakuja kuuawa nyie!?Wewe ndo unawaona vicheche lakini ukweli ni kwamba wanaume wengi wanapenda slut chicks mnajishaua tu hapa.
Huko mlipo wake zenu hawawezi tena mambo wapo wapo tu wameshakosa ladha au wamewachoka na hao vicheche ndo pona yenu.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji38][emoji445]Anajikooo, Anajikosha[emoji445]
Awiiiii....... Awaaaaa
Umeona eeh, anyway, anajaribu kuua soo.Bora angenyamaza tu. Ni kama yupo defensive, body language inamkataa anachosema
Sawa mwanawane, tunawatakia ndoa yenye amaniVideo hiyo hapo
View attachment 2378508
"Yaani namuachaje huyu msichana, nimuache huyu dada halafu? Yaani hata ndoa ziishe leo zote halafu kesho tuanze upya namrukia huyu huyu! Nataka niwaambie kwa lugha rahisi, ninamshukuru Mungu kwasababu Mungu yupo kazini."
"Yote ambayo wanangu mnasikia, msiende na mikumbo watu wanachoongea, endelea kuamini katika ukweli ya kwamba tunachokwambia mke wangu mimi ni mke ambaye mnaishi naye hapa kanisani mnaelewa. Ni mke ambaye anajichanganya na ninyi, hatengenezi umbali kati yenu na sisi, na hili ni darasa nililifanya kwakwe."
"Anaongea na watu wote, anacheka na watu wote, hivyo ndivyo huyu mwanamke alivyo. Haiwezi kutokea tutengeneza mazingira ya kumfanya asiongee na watu."
"Natamani dunia ielewe leo kwa jinsi ninavyomuelewa huyu msichana, tuweke uchungaji na kanisa pembeni, nimkute uso kwa uso anapiga "gemu" na mtu, namkamata kwanza wife halafu nampima yule jamaa nammudu au simmudu? Nikiona hii ngoma siiwezi kuzipanga atanipasua, nitarusha maneno tu lakini wife naondoka naye."
"Sisi tumeoana hadi kitutenganishe kifo. Hakuna stori hapa kati kati, mchawi, pepo, jini cha kusambaratisha. Nataka nikukwambie mabaya yote yanayokuja mbele yetu hatushindi kwa akili, uweza na nguvu zetu, tunaye anayetupa kushinda, ndiyo maana nina uhakika wa kubaki na mke wangu mpaka siku ya unyakuo."
Watu wana machungu sana. Hawajathibitisha ila sasa walivyokomaa utafikiri waliwashikia miguu.Ubaya au uzuri hakuna ushahidi wa utambi kupachikwa
yaaani... nimeshindwa kumuelewa huyu dogo masanja yaani kachukulia poa kabissaa yaani yeye anawaza mcharuko wake tu amesahau kabisaa kuwa alikuwa anasaidiwa💦💦💦kunyoroshewa mcharuko wake pia hakuonyesha kabisa huzuni juu ya kifo cha katibu wake yaani kaishia .. "namuachaje mcharuko kama huyu kweli☹☹☹😎🙄🙄"Lakin kumbuka kuna mtu amejiua walitakiwa wakae kimya na kutoa pole kwa msiba angebalance sasa wanafurahi utafikiri kawaida tu wakati mtu kajiua kwaajili ya mkeo
SijakuelewaSasa si utulie na wewe kicheche!? Mtakuja kuuawa nyie!?
Demi mambo dear love [emoji177] uSijakuelewa