Masanja awachana 'live' wambea wa ndoa yake

Masanja awachana 'live' wambea wa ndoa yake

Waajameni kwani katibu kavuta?? au kajivutisha mbona siwaelewi mara MC pilipili wa Zamani...na sasa namsikia Katibu...sijui wa kanisa au katibu wa safari za Israel!!

Mke wa Mtumishi wa Mungu wa kweli haliwi kizembe ivo!...ni sawa na kumchezea Mungu...na nyie wadada mnao fanya na wacgungaji acheni mara moja!...Nisawa na Abosalom alikula mke wa Daudi hadhalani.....

kilichompata Heeeee!! dogo hakuwa na nafasi ya kutubu.........moja kwa moja fireni!!........ kila mtu anakijua!!....ni kawaida utafanya safiii!! utaburudika lkn huna mwisho mwema Duniani na ahera!

ukizidi Mungu atakunyima hata nafasi ya kutubu!
 
Kuna mambo kadhaa ambayo ndo kweli kabisa na haipingwi!! Moja jamaa anaona kama aibu kuvunja ndoa kutokana italeta taswira mbaya hasa kwa dini yake ni process ndefu na yeye ni mchungaji.


Kingine jamaa tuna wasiwasi nae sio kwa kumpamba kule mkewe ilihali katibu ana msaidia kula mande,inawezekana jamaa ana matatizo na demu anamvumilia hakuna mtu anampost mkewe kama yeye kwamba yeye anampenda sana ila demu upendo hakuna huku nyuma katibu anakula ...
Hilo jambo alikiwea mzee Madiba peke yake hakujali wasifu wake bali alipiga chini Winnie.
 
Unaweza ukasahau changamoto nyengine nyingi tu, lakini hii yakuchapiwa na ni mke umpendae kwa dhati huwa haitoki moyoji. Huwa tunajitutumua tu ili kuituliza jamii.
kujifanya tu! mie nikupende halafu ukachapwe na jitu lingine mweee!!....lazima nikuroge mbaya tu! utembee kinyume nyume maisha yako yote! km siyo kukuua kabisaaaaa!! usiniulize ntaua wangapi??...ila mtavuta wengi...........

ASIKUDANGANYE mtu bana Mapenzi yanauma km Kidonda kibichi.!! watu wanakufa/chizika ajili ya Mapenzi.....sasa kwa nini niteseke mie utamu wangu lichukue jitu tena wazi wazi?

Hivi mnamjua Doddy Fayed nyie?? au mna sema! sema tu??....sasa mjiulize yuko wapi?? .kwanza nitajifanya sijui chochote, then Naanza ku deal na wewe!! tunamalizana kimya kimya!!

Africa watu mliuzwa km Mbuzi wa kafara ajili ya Mashamba ya biashara ili, kufurahisha wapenzi... Kule ulaya, usa, nk watumwa baru baru handsome, walihasiwa maksudi ili wasifanye mapenzi! na wake za wafuga watumwa!

lkn bado me watumwa walikuwa wanajiiba wanafanya ivo! vivo! tu wengi waliuawa kwa risasi!
 
Kuna shida mahala. Hii siyo kawaida, na hata ingekuwa lakini siyo kwa wakati huu.

Anyway, inasaidia kumrejeshea mwanamke roho ya kukabili macho ya wanajamii.
 
Mwambieni tu atulie.
Sasa atakuwa ameiona sura ya halisi YA KIUMBE ANAYEITWA MWANAMKE.
 
Kuna mwamba yupo somewhere anajifua kuchukua nafasi aliyoiacha katibu na anaandaa mashambulizi sio ya kuchukua point 3 tu hapana anaandaa mashambulizi ya kuchukua point 6 zote yaan atapiga home atapiga na away subiri siku zitaongea.. akishachapiwa mara ya pili sijui ataiweka wapi sura yake

😂😂😂
 
Hii movie watu walitegemea kuwa Masanja atamuacha mke wake sasa matarajio yamekua tofauti hapo ndio wanahamasisha uchunguzi uendelee...Masanja kumtoa hapo labda mtumie Bulldozer linalovuta vitu visito sana...
 
Huyo mwanamke ni Malaya atat*ombwa Sana, Bora umuache
mke wa mtu akishagongwa nje kwisha. Mwanamke ni tofauti na mwanaume ambaye anaangalia physical contacts tu akitoka hapo anasahau
 
Kweli nimeamini wabongo kwa mambo ya kufanyana/zinaa! hamjambo kabisa!... Dakika kumi ni nyingi Uzi ume-trend huu si kawaida! km ulee!! wa kula kimasihara!!!

lkn uzi wa kujifunza kiingereza Maweee!! haujajaa hata kurasa moja!....hali inakuwa mbaya zaidi mpaka na vidada navyo vina comment! vinakaza ma-midole hayo km nini!!...

yaani vi-wamama/vidada vinapendaaaa!! mambo hayo ya chini mnoo! vikiombwa, oooh! kanibaka huyo/yule! ikifika jioni leo duuu!! lkn pia Massanja ujue fika kuwa.......

ndo gharama za umaarufu hizo! km Pengo, kikwete Gwaji boy kayapitia!.......Lazima uwe na kifua hasa! tena kila mara ujiweke tayari kuyapokea, vinginevyo utaishia kujinyonga buuuure au......

Wabaya wako watatumia huo huo! Mwanya Kukuua kabisaa, halafu wanasingizia umekunywa sumu au umejinyonga ajili ya kuchapiwa na hicho ki mama! kitaishi kwa taabu sana! Masimango!

kubaguliwa kusiko isha, kila aendapo Madole hayooo!....Masanja ujue hata shetani yuko kazini kila wakt hapendi unavo Mkanyaga na kumzomea yeye atatumia udhaifu uliopo! ili kukumaliza!

Kazana hasa hapo! sasa mkeo a-keep distance na waumini wa kawaida awe mke wa Mchungaji hasa waumini wakawaida wasimzoee bado mbichi huyo! shetani ni rahisi kujichnganya na waumini wako dhaifu alipo mkeo!!

ataingizwa majaribuni maksudi tu, huyo siyo M-mama ni msichana mrembo tu, japo kazaa na weye! bado sheta atatumia ma predeshjee wabichi! waje kumshawishi tu aliwe tunda, halikwepeki hiloooo!

si unajuwa kuna wanakwaya wengi duniani wainjilisti wameangukaaa??....chali na weye bado mchanga kazi kwako mtumishi.......Ujue na wewe pia ni Mungu km baba yako ni Mungu! jilinde.......
 
Video hiyo hapo
View attachment 2378508
"Yaani namuachaje huyu msichana, nimuache huyu dada halafu? Yaani hata ndoa ziishe leo zote halafu kesho tuanze upya namrukia huyu huyu! Nataka niwaambie kwa lugha rahisi, ninamshukuru Mungu kwasababu Mungu yupo kazini."

"Yote ambayo wanangu mnasikia, msiende na mikumbo watu wanachoongea, endelea kuamini katika ukweli ya kwamba tunachokwambia mke wangu mimi ni mke ambaye mnaishi naye hapa kanisani mnaelewa. Ni mke ambaye anajichanganya na ninyi, hatengenezi umbali kati yenu na sisi, na hili ni darasa nililifanya kwakwe."

"Anaongea na watu wote, anacheka na watu wote, hivyo ndivyo huyu mwanamke alivyo. Haiwezi kutokea tutengeneza mazingira ya kumfanya asiongee na watu."

"Natamani dunia ielewe leo kwa jinsi ninavyomuelewa huyu msichana, tuweke uchungaji na kanisa pembeni, nimkute uso kwa uso anapiga "gemu" na mtu, namkamata kwanza wife halafu nampima yule jamaa nammudu au simmudu? Nikiona hii ngoma siiwezi kuzipanga atanipasua, nitarusha maneno tu lakini wife naondoka naye."

"Sisi tumeoana hadi kitutenganishe kifo. Hakuna stori hapa kati kati, mchawi, pepo, jini cha kusambaratisha. Nataka nikukwambie mabaya yote yanayokuja mbele yetu hatushindi kwa akili, uweza na nguvu zetu, tunaye anayetupa kushinda, ndiyo maana nina uhakika wa kubaki na mke wangu mpaka siku ya unyakuo."
Hii ndo tunaita siri ya ndani!kachapiwa lkn nje inambidi aongee hayo anayoongea lkn ndani huko kunawaka moto!refer mke wa gwajima, ilibidi nae akubali kuwa ule mkono sio wa gwajima ni wa baunsa!hahaha ndo ndoa zilivyo!hana namna
 
Back
Top Bottom