smaki
JF-Expert Member
- Jan 23, 2019
- 4,976
- 3,098
Waajameni kwani katibu kavuta?? au kajivutisha mbona siwaelewi mara MC pilipili wa Zamani...na sasa namsikia Katibu...sijui wa kanisa au katibu wa safari za Israel!!
Mke wa Mtumishi wa Mungu wa kweli haliwi kizembe ivo!...ni sawa na kumchezea Mungu...na nyie wadada mnao fanya na wacgungaji acheni mara moja!...Nisawa na Abosalom alikula mke wa Daudi hadhalani.....
kilichompata Heeeee!! dogo hakuwa na nafasi ya kutubu.........moja kwa moja fireni!!........ kila mtu anakijua!!....ni kawaida utafanya safiii!! utaburudika lkn huna mwisho mwema Duniani na ahera!
ukizidi Mungu atakunyima hata nafasi ya kutubu!
Mke wa Mtumishi wa Mungu wa kweli haliwi kizembe ivo!...ni sawa na kumchezea Mungu...na nyie wadada mnao fanya na wacgungaji acheni mara moja!...Nisawa na Abosalom alikula mke wa Daudi hadhalani.....
kilichompata Heeeee!! dogo hakuwa na nafasi ya kutubu.........moja kwa moja fireni!!........ kila mtu anakijua!!....ni kawaida utafanya safiii!! utaburudika lkn huna mwisho mwema Duniani na ahera!
ukizidi Mungu atakunyima hata nafasi ya kutubu!