Masanja awachana 'live' wambea wa ndoa yake

Yaani kwa Jinsi tulivyo sisi naamini kabisa katika hilo kanisa lake kuna njemba zinajipanga kumtongoza huyo mwanamke.
Ni kama walikuwa hawaamini kuwa anatoa ila baada ya kushuhudia ya katibu basi nao wanapanga mikakati ya kumtia.
Moyoni wanajisemea:
“KUMBE ANATOA???
ngoja
Lazima na mimi nimgonge”

Na watamgonga kweli alafu nao wajiue tena kama katibu.
 
It's a Bad man! Trying to look good in Dior!…. Ni hisia zangu tu!...
 
Wewe ndo unawaona vicheche lakini ukweli ni kwamba wanaume wengi wanapenda slut chicks mnajishaua tu hapa.
Huko mlipo wake zenu hawawezi tena mambo wapo wapo tu wameshakosa ladha au wamewachoka na hao vicheche ndo pona yenu.
Sasa si utulie na wewe kicheche!? Mtakuja kuuawa nyie!?
 
Sawa mwanawane, tunawatakia ndoa yenye amani
 
Lakin kumbuka kuna mtu amejiua walitakiwa wakae kimya na kutoa pole kwa msiba angebalance sasa wanafurahi utafikiri kawaida tu wakati mtu kajiua kwaajili ya mkeo
yaaani... nimeshindwa kumuelewa huyu dogo masanja yaani kachukulia poa kabissaa yaani yeye anawaza mcharuko wake tu amesahau kabisaa kuwa alikuwa anasaidiwa💦💦💦kunyoroshewa mcharuko wake pia hakuonyesha kabisa huzuni juu ya kifo cha katibu wake yaani kaishia .. "namuachaje mcharuko kama huyu kweli☹☹☹😎🙄🙄"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…