Masanja awachana 'live' wambea wa ndoa yake

Masanja awachana 'live' wambea wa ndoa yake

Hakuna mwanaume yoyote mwenye utimamu wa akili anaweza kumpa taraka mkewe kwa kesi kama hii......labda awe ni mvulana pekee........
 
Video hiyo hapo
View attachment 2378508
"Yaani namuachaje huyu msichana, nimuache huyu dada halafu? Yaani hata ndoa ziishe leo zote halafu kesho tuanze upya namrukia huyu huyu! Nataka niwaambie kwa lugha rahisi, ninamshukuru Mungu kwasababu Mungu yupo kazini."

"Yote ambayo wanangu mnasikia, msiende na mikumbo watu wanachoongea, endelea kuamini katika ukweli ya kwamba tunachokwambia mke wangu mimi ni mke ambaye mnaishi naye hapa kanisani mnaelewa. Ni mke ambaye anajichanganya na ninyi, hatengenezi umbali kati yenu na sisi, na hili ni darasa nililifanya kwakwe."

"Anaongea na watu wote, anacheka na watu wote, hivyo ndivyo huyu mwanamke alivyo. Haiwezi kutokea tutengeneza mazingira ya kumfanya asiongee na watu."

"Natamani dunia ielewe leo kwa jinsi ninavyomuelewa huyu msichana, tuweke uchungaji na kanisa pembeni, nimkute uso kwa uso anapiga "gemu" na mtu, namkamata kwanza wife halafu nampima yule jamaa nammudu au simmudu? Nikiona hii ngoma siiwezi kuzipanga atanipasua, nitarusha maneno tu lakini wife naondoka naye."

"Sisi tumeoana hadi kitutenganishe kifo. Hakuna stori hapa kati kati, mchawi, pepo, jini cha kusambaratisha. Nataka nikukwambie mabaya yote yanayokuja mbele yetu hatushindi kwa akili, uweza na nguvu zetu, tunaye anayetupa kushinda, ndiyo maana nina uhakika wa kubaki na mke wangu mpaka siku ya unyakuo."
Hadi hapa ushindi upo kwa Masanja, wengine wanasema angekaa kimya, nani aliwaambia kila wakati unapaswa kukaa kimya?
 
Video hiyo hapo
View attachment 2378508
"Yaani namuachaje huyu msichana, nimuache huyu dada halafu? Yaani hata ndoa ziishe leo zote halafu kesho tuanze upya namrukia huyu huyu! Nataka niwaambie kwa lugha rahisi, ninamshukuru Mungu kwasababu Mungu yupo kazini."

"Yote ambayo wanangu mnasikia, msiende na mikumbo watu wanachoongea, endelea kuamini katika ukweli ya kwamba tunachokwambia mke wangu mimi ni mke ambaye mnaishi naye hapa kanisani mnaelewa. Ni mke ambaye anajichanganya na ninyi, hatengenezi umbali kati yenu na sisi, na hili ni darasa nililifanya kwakwe."

"Anaongea na watu wote, anacheka na watu wote, hivyo ndivyo huyu mwanamke alivyo. Haiwezi kutokea tutengeneza mazingira ya kumfanya asiongee na watu."

"Natamani dunia ielewe leo kwa jinsi ninavyomuelewa huyu msichana, tuweke uchungaji na kanisa pembeni, nimkute uso kwa uso anapiga "gemu" na mtu, namkamata kwanza wife halafu nampima yule jamaa nammudu au simmudu? Nikiona hii ngoma siiwezi kuzipanga atanipasua, nitarusha maneno tu lakini wife naondoka naye."

"Sisi tumeoana hadi kitutenganishe kifo. Hakuna stori hapa kati kati, mchawi, pepo, jini cha kusambaratisha. Nataka nikukwambie mabaya yote yanayokuja mbele yetu hatushindi kwa akili, uweza na nguvu zetu, tunaye anayetupa kushinda, ndiyo maana nina uhakika wa kubaki na mke wangu mpaka siku ya unyakuo."
Hii mipasho anayoendelea kutoa inaonyesha udhaifu mkubwa sana wa kiume,hakuna anayeweza kujua hisia zake moyoni,ukweli anaujua yeye na mkewe,kama mke alikuwa analiwa kwa muda mrefu Masanja anajua,kama ni story za kuchafuana,anajua,sasa hakuna haja ya kutoa maelezo meeengi kwa wabongo,that is ur life bro!!!you don't owe anybody explanation,don't explain urself kwa wabongo,once we we believe something,u can't unbelieve us!!we endelea na maisha yako kimya kimya,kiatu kinapobana,anajua aliyekivaa,
Kuendelea kutoa maelezo inaonyesha jinsi ambavyo unaogopa kuachwa na mkeo,unahofia kumuacha mkeo ushahidi unapoonyesha kweli aliliwa,na jamii ina kupa presha umuache.
 
Ukiangalia anavyoongea...body language inakinzana na matamshi yake....he is burning inside.......enewei sio shida zetu...ni zao[emoji3]
 
I love the way masanja has handles this scenario ,Mke wa Mtu sumu na shetani yupo kazini
 
Nakwambia hakuna Uzinzi uliofanyika.
Hamna Mchepuko wala kutongozwa.

Sio kuwa Mke NI mwaminifu hapana.
Simjui Mimi.
Kipo kikubwa zaidi ya uzinzi WA MKE na msamaha WA MUME .

Hamna mtu atafuatilia zaidi as YEYE KAMA MUME ANASEMA KASAMEHE,

Kuna spacegoat hapa.
Kuanzia masanja kuwa US kipindi cha issue mpk kurudi. Kwamba ndo amerudi.

Weeeeeeh Bana!!
Hem mi nilale
hebu tutolee ujinga hapa ... we unaona kugongewa ni ishu ndogo.. we ukigundua tu mumeo anakimchepuko tena cha kupotezea muda tu UNAPAGAWA na nyumba haikaliki.. hicho unachojua wewe ni kipi kikubwa ?
ngoja na wewe umjue anaemkatikia bwanako ndo utajua hujui... hapa ISHU ni msanii Masanja kugongewa mcharuko wake.
 
Nakwambia hakuna Uzinzi uliofanyika.
Hamna Mchepuko wala kutongozwa.

Sio kuwa Mke NI mwaminifu hapana.
Simjui Mimi.
Kipo kikubwa zaidi ya uzinzi WA MKE na msamaha WA MUME .

Hamna mtu atafuatilia zaidi as YEYE KAMA MUME ANASEMA KASAMEHE,

Kuna spacegoat hapa.
Kuanzia masanja kuwa US kipindi cha issue mpk kurudi. Kwamba ndo amerudi.

Weeeeeeh Bana!!
Hem mi nilale
yaaani umeongea utadhani unakaa kiunoni mwa mcharuko wa masanja kama chachandu vileee!!
 
hebu tutolee ujinga hapa ... we unaona kugongewa ni ishu ndogo.. we ukigundua tu mumeo anakimchepuko tena cha kupotezea muda tu UNAPAGAWA na nyumba haikaliki.. hicho unachojua wewe ni kipi kikubwa ?
ngoja na wewe umjue anaemkatikia bwanako ndo utajua hujui... hapa ISHU ni msanii Masanja kugongewa mcharuko wake.
Pole Kwa mkeo kuwa anagongwa.
Hizi hasira hebu kafanyie kazi your sexual insecurities.
 
yaaani umeongea utadhani unakaa kiunoni mwa mcharuko wa masanja kama chachandu vileee!!
Poooole maskin.

Sasa hasira za umalaya wako na MKEO ndo unataka umalizie Kwa kila MTU!!

Wanamkaza ndio!!..
Jishkilie bro.
Sio unavamia kila mtu.
We mkaze vizur asiwe anashoboka shoboka na ngozi za watu.

Level up Bro!!
NNACHOKIONGEA HATA HUKIELEWI!!
 
Hakuna kitu kinaua stimu kama wakati unataka kutumbukiza kwa ndani linakuja wazo daaa hili tundu Katibu alilichezea ndo hapo ataanza kwenda kinyume na maneno yake ya kujikosha
 
Lakin kumbuka kuna mtu amejiua walitakiwa wakae kimya na kutoa pole kwa msiba angebalance sasa wanafurahi utafikiri kawaida tu wakati mtu kajiua kwaajili ya mkeo
Yeah inaonekana kama ni game la kumnyonga Katibu.
Mwanaume husamee akichapiwa pale tu
1.Ana matatizo kwenye sex reproductive system including matatizo ya nguvu za kiume
2.Mke anajua siri nzito za mumewe ambazo anajua kuachana kutayumbisha maisha yake haswa kiuchumi
3.Kisasi iwapo mara kadhaa mke amemfuma mumewe aki cheat
4.Uoga wa kugawana mali na kuburuzana mahakamani
5.Uzoba au high maturity stage ya mwanaume kwenye kuhandle stress
 
Poooole maskin.

Sasa hasira za umalaya wako na MKEO ndo unataka umalizie Kwa kila MTU!!

Wanamkaza ndio!!..
Jishkilie bro.
Sio unavamia kila mtu.
We mkaze vizur asiwe anashoboka shoboka na ngozi za watu.

Level up Bro!!
NNACHOKIONGEA HATA HUKIELEWI!!
haya ulipaswa umwambie huyoo mchungaji feki alietafuniwa afu ww nae kimbilimbili eti unajua hajatafunwa yaani utadhani unaning'inia kwenye kiuno chake.
unadhani huyo katibu kajiua kwa makusudi?
😂😂😂😂imebidi nikucheke tu kumbe micharuko dizain ya mcharuko wa Masanja mpo wengi hivi!!😆😆😆nilidhani ni huo mcharuko wa Masanja peke yake bora mnajitokeza sasa tunawajua wakaa viunoni yaani CHAWA micharuko😎😃😄😄😤😤😤poleee chawa wa Mcharuko👌😎😜💦💦💦
 
What I will advise you people here ,is to mind ur own business let masanja leave his life ,no body here is feeding masanja familiy so stay away from people life .tumerewanaaaaa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom