Masanja Mkandamizaji aililia Benz iliyochomwa moto na Goodluck Gozbert

Masanja Mkandamizaji aililia Benz iliyochomwa moto na Goodluck Gozbert

Ni k

Ni kweli ndio maana YESU mwenyewe mwanzo akimteuwa YUDA hakujua kama atamuuza....baadae YESU ndio akajua...
Madam hii statement uliotoa inahitaji justification ya kimaandiko, kwamba awali yesu hakujua kwamba Yuda ndie ataemsaliti! Yesu ni Mungu...japo aliuvaa mwili wa kibinadamu lkn haikuondoa ule uungu wake, sasa ni vp hakumbaini Yuda tangu awali?
 
Bishop Masanja Mkandamizaji amefunguka kwa uchungu.....

"Nimeona story ya Kuchomoa gari!!
ninachojua Nabii @geordavietv amewapa Magari watu Kadhaa!"

Ameendelea kusema....

"Ombi langu kwa yeyote aliyepewa gari na Nabii, kama anataka na yeye kuchoma naliomba mimi na ninalifata mwenyewe ulipo!!"

Pia ametuma ombi kwa Nabii mkuu...

"Kama Nabii ana nyingine yoyote Pale ndani anasikia ndani kumbariki mtu wala usipige simu nabii mkuu nikuni beep tu ntakuwa Kisongo shaaaaa

Nakumbuka wakati wa uzinduzi wangu wa albamu ya HAKUNA JIPYA uwanja wa SHEKHE AMRI ABEID ARUSHA
Nabii mkuu alishuka na helcopta akanipa Milioni kadhaa na mpaka leo namalizia ghorofa na nyota inazidi kung’aa".

#Nimelia sana ile Benz inavyounguaaaaa😌
#JiweWalikoKataaWaashi

Bishop Masanja Mkandamizaji.

Ushauri wangu ni huu...
Mliopewa zawadi na nabii mkuu wasilianeni na Bishop kabla mapepo ya kuteketeza zawadi hayajawavagaa. View attachment 3213736
😿😿😿 Afya ya akili
 
Uungwana kama hutaki tena kitu ulichopewa na mtu mrudishie tu aliyekupa maana kuna wahitaji wengi sema yule kijana ana matatizo yupo kama mtoto wa kike na ni mtu wa kujisikia sikia hivi huenda maisha yake aliyokulia yalikuwa tia maji tia maji sasa analeta ulimbukeni wake.
Anasema aliacha kulitumia, kuna siku mtu akaliazima kwenda harusini akampatia. Usiku akapewa tena maono kuwa siyo tu asilitumie yeye, bali mtu yeyote asilitumie...
 
Anasema aliacha kulitumia, kuna siku mtu akaliazima kwenda harusini akampatia. Usiku akapewa tena maono kuwa siyo tu asilitumie yeye, bali mtu yeyote asilitumie...
Mtu yeyote siyo pamoja na aliyempa hilo gari,yeye angemrudishia mwenyewe ili kama ubaya apambane nao mwenyewe ingekuwa vibaya kama angempa mtu mwingine.
Halafu Mswahili siyo mtu wa kuaminika sana yeye mwenyewe anaweza kuwa mlozi pia.
Waafrika wengi mafanikio yao yanapitia makandokando mengi japo baadhi yao hujificha kwenye mgongo wa dini.
 
Bishop Masanja Mkandamizaji amefunguka kwa uchungu.....

"Nimeona story ya Kuchomoa gari!!
ninachojua Nabii @geordavietv amewapa Magari watu Kadhaa!"

Ameendelea kusema....

"Ombi langu kwa yeyote aliyepewa gari na Nabii, kama anataka na yeye kuchoma naliomba mimi na ninalifata mwenyewe ulipo!!"

Pia ametuma ombi kwa Nabii mkuu...

"Kama Nabii ana nyingine yoyote Pale ndani anasikia ndani kumbariki mtu wala usipige simu nabii mkuu nikuni beep tu ntakuwa Kisongo shaaaaa

Nakumbuka wakati wa uzinduzi wangu wa albamu ya HAKUNA JIPYA uwanja wa SHEKHE AMRI ABEID ARUSHA
Nabii mkuu alishuka na helcopta akanipa Milioni kadhaa na mpaka leo namalizia ghorofa na nyota inazidi kung’aa".

#Nimelia sana ile Benz inavyounguaaaaa😌
#JiweWalikoKataaWaashi

Bishop Masanja Mkandamizaji.

Ushauri wangu ni huu...
Mliopewa zawadi na nabii mkuu wasilianeni na Bishop kabla mapepo ya kuteketeza zawadi hayajawavagaa. View attachment 3213736
Hahaha
 
Back
Top Bottom