Masanja Mkandamizaji aililia Benz iliyochomwa moto na Goodluck Gozbert

Masanja Mkandamizaji aililia Benz iliyochomwa moto na Goodluck Gozbert

Mkuu

Mkuu ungetuchambulia hilo tukio Kwa muktadha wa kiroho, badala ya kutumiminia vifungu tuu, sisi mangumbaru wa mambo ya neno tupate japo picha!
nilimsikia akitaja neno madhabahu
Madhabahu nyakati za biblia ilikuwa inatumiwa na watu wa imani fulahi katika kumtolea Mungu wao sadaka ,kwa namna hiyo unapotaja madhabahu unamaanisha kitu kiabuduacho
Kwa nyati nyingi madhabahu au kwa asili sehemu ya kutolea sadaka kienyeji nyakati za mababu waliota sehemu ya kutambikia zote hizo no madhabahu ilimwakilisha mungu flani
Tuje kwenye tukio lenyewe
Nabii aliyetoa gari ukiulizwa leo utasema ni mkristo au ni wa imani gani kulingana na madundisho yake kama umewahi kumsikia
Kwa mwimbaji wa nyimbo ni wazi kabisa nyimbo zake zinamtaja yesu kuonyesha yeye ni wa imani hiyo
Tukio la xawadi je lilikuwa la kiroho au la kawaida
Jibu lilikuwa la kiroho kwani kumleta mwimbaji katika hudumu ile ilikuwa kuhalalisha kwamba wote ni wa imani hiyo na support ilikuwa kuuqmbia umma kwamba wote wanafanya kazi moja ni ngumu kwa rugha nyepesi kuelezea

Kula nyama sio tatizo ila kula nyama ambayo imetolea sadaka kwa miungu ni kosa
Matendo ya Mitume 15:20 bali tuwaandikie kwamba wajiepushe na unajisi wa sanamu, na uasherati, na nyama zilizosongolewa, na damu. But that we write unto them, that they abstain from pollutions of idols, and from fornication, and from things strangled, and from blood.

Matendo ya Mitume 15:21 Kwa maana tangu zamani za kale Musa anao watu wahubirio mambo yake; katika kila mji husomwa kila sabato katika masinagogi. Barua ya Baraza kwa Waumini wa Mataifa For Moses of old time hath in every city them that preach him, being read in the synagogues every sabbath day.

Zawadi kiroho utumika kama njia ya kuonyesha umemkubali mtu huyo na lolote analofanya ni sahihi

Mwanzo 33:10 Yakobo akasema, Sivyo; kama nimekubalika machoni pako tafadhali upokee zawadi yangu mkononi mwangu, iwapo nimeona uso wako kama kuona uso wa Mungu, ukapendezwa nami. And Jacob said, Nay, I pray thee, if now I have found grace in thy sight, then receive my present at my hand: for therefore I have seen thy face, as though I had seen the face of God, and thou wast pleased with me.
Wakati wa escrow kila alipokea zawadi ya pesa alihukumiwa mkosa wa kukubaliana na wizi hule
Zawadi ile ilikuwa na maana zaidi kiroho kwani huduma zao hazichangamani ni itikati tofauti
Hivyo kuna siri nyuma ya pazia ya kufanya hivyo
 
"Nimeona story ya Kuchomoa gari!!
ninachojua Nabii @geordavietv amewapa Magari watu Kadhaa!"

Ameendelea kusema....

"Ombi langu kwa yeyote aliyepewa gari na Nabii, kama anataka na yeye kuchoma naliomba mimi na ninalifata mwenyewe ulipo!!"
Hayo yatakuwa ni magari yenye maddudu yenye utata ndani yake
 
Jibu lilikuwa la kiroho kwani kumleta mwimbaji katika hudumu ile ilikuwa kuhalalisha kwamba wote ni wa imani hiyo na support ilikuwa kuuqmbia umma kwamba wote wanafanya kazi moja ni ngumu kwa rugha nyepesi kuelezea
Na wwahuni nao wanapitia humohumo wakimtaja Yesu machoni huku rohoni wakiwa na yao
 
Huyu jamaa nimesoma naye.

Very talented kwenye kuimba, melody, kutengeneza beats na kupiga vyombo. Hakosi kanisani kila Jumapili na tulikua chaka haswa so kama alikua anaenda kanisani kule chaka hua nashangaa watu wanaodoubt imani yake na wamemjua kupitia TV.

Nikamuuliza atajiunga na nani ili atoboe Bongo Fleva akajibu mpango wake ni kumuimbia Mungu. Hiyo ni wayback Kitulo FM inapokea CDs za mwanamuziki yoyote lakini alisema atakomaa asome akimaliza ndiyo hustle za injili zianze.

I just hope imani aliyokua nayo wakati tupo shule atakua nayo kipindi hichi pia.
 
Tanzania Nchi yetu wengine wanapata tabu kupelekwa Hospital wanafia njiani wakipelekwa hospital kwa boda boda wengine wanachoma moto gari...angechoma moto kwenye Nchi Wanasheria wanatafuta kazi angecheza na Mercedes-Benz mahakamani mpaka wangemfirisi...
 
Huyu jamaa nimesoma naye.

Very talented kwenye kuimba, melody, kutengeneza beats na kupiga vyombo. Hakosi kanisani kila Jumapili na tulikua chaka haswa so kama alikua anaenda kanisani kule chaka hua nashangaa watu wanaodoubt imani yake na wamemjua kupitia TV.

Nikamuuliza atajiunga na nani ili atoboe Bongo Fleva akajibu mpango wake ni kumuimbia Mungu. Hiyo ni wayback Kitulo FM inapokea CDs za mwanamuziki yoyote lakini alisema atakomaa asome akimaliza ndiyo hustle za injili zianze.

I just hope imani aliyokua nayo wakati tupo shule atakua nayo kipindi hichi pia.
Hana imani muhuni tu mtu mwenye imani hawezi kuchoma moto hela wakati wahitaji wakihangaika huko hospital au imani umeichukulia vip mkuu..Imani ni matendo yako.
 
Ukisimama vizuri katika imani kuna vitu huwa vinatokea ambapo mtu wa kawaida ukimueleza hawezi kukuelewa, anaweza kuhisi umechanganyikiwa,hatujui Goodluck amekutana na nini baada ya kupewa hiyo gari,ndio maana amesema neema ya Mungu ikimuongoza kuyaongelea ataongea...
 
nilimsikia akitaja neno madhabahu
Madhabahu nyakati za biblia ilikuwa inatumiwa na watu wa imani fulahi katika kumtolea Mungu wao sadaka ,kwa namna hiyo unapotaja madhabahu unamaanisha kitu kiabuduacho
Kwa nyati nyingi madhabahu au kwa asili sehemu ya kutolea sadaka kienyeji nyakati za mababu waliota sehemu ya kutambikia zote hizo no madhabahu ilimwakilisha mungu flani
Tuje kwenye tukio lenyewe
Nabii aliyetoa gari ukiulizwa leo utasema ni mkristo au ni wa imani gani kulingana na madundisho yake kama umewahi kumsikia
Kwa mwimbaji wa nyimbo ni wazi kabisa nyimbo zake zinamtaja yesu kuonyesha yeye ni wa imani hiyo
Tukio la xawadi je lilikuwa la kiroho au la kawaida
Jibu lilikuwa la kiroho kwani kumleta mwimbaji katika hudumu ile ilikuwa kuhalalisha kwamba wote ni wa imani hiyo na support ilikuwa kuuqmbia umma kwamba wote wanafanya kazi moja ni ngumu kwa rugha nyepesi kuelezea

Kula nyama sio tatizo ila kula nyama ambayo imetolea sadaka kwa miungu ni kosa
Matendo ya Mitume 15:20 bali tuwaandikie kwamba wajiepushe na unajisi wa sanamu, na uasherati, na nyama zilizosongolewa, na damu. But that we write unto them, that they abstain from pollutions of idols, and from fornication, and from things strangled, and from blood.

Matendo ya Mitume 15:21 Kwa maana tangu zamani za kale Musa anao watu wahubirio mambo yake; katika kila mji husomwa kila sabato katika masinagogi. Barua ya Baraza kwa Waumini wa Mataifa For Moses of old time hath in every city them that preach him, being read in the synagogues every sabbath day.

Zawadi kiroho utumika kama njia ya kuonyesha umemkubali mtu huyo na lolote analofanya ni sahihi

Mwanzo 33:10 Yakobo akasema, Sivyo; kama nimekubalika machoni pako tafadhali upokee zawadi yangu mkononi mwangu, iwapo nimeona uso wako kama kuona uso wa Mungu, ukapendezwa nami. And Jacob said, Nay, I pray thee, if now I have found grace in thy sight, then receive my present at my hand: for therefore I have seen thy face, as though I had seen the face of God, and thou wast pleased with me.
Wakati wa escrow kila alipokea zawadi ya pesa alihukumiwa mkosa wa kukubaliana na wizi hule
Zawadi ile ilikuwa na maana zaidi kiroho kwani huduma zao hazichangamani ni itikati tofauti
Hivyo kuna siri nyuma ya pazia ya kufanya hivyo
Kwa kutumia imani alionayo mchoma gari hakuweza kubaini kwamba mahala alipoenda kupokea zawadi panakinzana na imani yake?
 
Hana imani muhuni tu mtu mwenye imani hawezi kuchoma moto hela wakati wahitaji wakihangaika huko hospital au imani umeichukulia vip mkuu..Imani ni matendo yako.
Inategemea amepata ufunio Gani kwenye hiyo zawadi......kama amepata ufunuo wa mabaya sio viziri ampe mwingine hiyo gari ili yamkute huyo mabaya .
Usiyotaka kutendewa usimtendee mwenzio

Gozbert anaweza kuwa sahihi kbs
 
Kwa kutumia imani alionayo mchoma gari hakuweza kubaini kwamba mahala alipoenda kupokea zawadi panakinzana na imani yake?
Kiroho Kuna mambo MUNGU anakuficha ili ujue ukuu wake,

Sisi wanawake mara nyingi tunasali kuliko waume zetu na watoto, mara nyingi tunayaona mambo kabla hayajatokea.

Ila Kuna wkt familia inapata bonge la tatizo, na when you recall unagundua Kuna siku mtoto alinigusia ndoto ya namna hii, unaanza kuniuliza Kwa Nini MUNGU hakunionesha?
 
Sio kila mnaloliona gari ni gari halisi,Mengine rohoni,jicho la tatu likifunguka ni fisi,majeneza tu hayo...pengine kaoneshwa ya rohoni.
Yupo mbali na Mungu yule, Kama angekuwa na Mungu asingeweza kulichukua. Sasa badala yakurudi kwa Mungu kisawasawa et anachoma gari kudhani ndo nyota itang'aa.
Atazidi kupotea kabisa.
 
Nabii wa mwisho alikua Yohana mbatizaji, ambaye alitoa unabii wa ujio wa Yesu masihi na kutengeneza njia, hawa manabii wengine waliokuja baada ya hapo ni akina nani.
Kila upande una series ya manabii kuelekea ujio wa mkuu wao.
 
Back
Top Bottom