ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Jambo gani seriou? Huyo dogo ni mpumbavu mmja tuu😂mh huyu analeta vichekesho kwenye jambo serious
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jambo gani seriou? Huyo dogo ni mpumbavu mmja tuu😂mh huyu analeta vichekesho kwenye jambo serious
Biashara ya kubariki watu nao wapateMajibu mepesi kwenye masuala magumu.
Muziki wako hauendi, unadhani umeibiwa nyota!
Sema na hawa manabii wa mchongo utajiri wao unatia mashaka, wanafanya biashara gani?
Tanzania ni Nchi masikini sio ya watu kuchoma kitu chochote chenye thamani watu wasipokua na imani ya kweli watafanya mambo ya ajabu sana na mtaona wapo sahihi..hata yeye ni masikini ndio maana alienda kuomba gari na pesa..Inategemea amepata ufunio Gani kwenye hiyo zawadi......kama amepata ufunuo wa mabaya sio viziri ampe mwingine hiyo gari ili yamkute huyo mabaya .
Usiyotaka kutendewa usimtendee mwenzio
Gozbert anaweza kuwa sahihi kbs
Ni kweli uliloongea! huwa mnasali sana kuliko sisi! 100%Kiroho Kuna mambo MUNGU anakuficha ili ujue ukuu wake,
Sisi wanawake mara nyingi tunasali kuliko waume zetu na watoto, mara nyingi tunayaona mambo kabla hayajatokea.
Ila Kuna wkt familia inapata bonge la tatizo, na when you recall unagundua Kuna siku mtoto alinigusia ndoto ya namna hii, unaanza kuniuliza Kwa Nini MUNGU hakunionesha?
Huku Mercedes Benz siku ile ile wangemtia ndani amefanya kitu cha hovyo sana kuwahi kutokea kwenye jamii ya watu wastaarabu.Naona washaanza kumtafuta makosa gozibeti ili wamfunge
Watu wakishakua na imani fulani wanaamini katika wao tu na kuwaona wengine hawapo sawa..Ni kweli uliloongea! huwa mnasali sana kuliko sisi! 100%
Mbona hatoki mitaani na kuwapa nafuu ya maisha masikini wa hapo Arusha, yeye ni viongozi na watu maarufu tu!Bishop Masanja Mkandamizaji amefunguka kwa uchungu.....
"Nimeona story ya Kuchomoa gari!!
ninachojua Nabii @geordavietv amewapa Magari watu Kadhaa!"
Ameendelea kusema....
"Ombi langu kwa yeyote aliyepewa gari na Nabii, kama anataka na yeye kuchoma naliomba mimi na ninalifata mwenyewe ulipo!!"
Pia ametuma ombi kwa Nabii mkuu...
"Kama Nabii ana nyingine yoyote Pale ndani anasikia ndani kumbariki mtu wala usipige simu nabii mkuu nikuni beep tu ntakuwa Kisongo shaaaaa
Nakumbuka wakati wa uzinduzi wangu wa albamu ya HAKUNA JIPYA uwanja wa SHEKHE AMRI ABEID ARUSHA
Nabii mkuu alishuka na helcopta akanipa Milioni kadhaa na mpaka leo namalizia ghorofa na nyota inazidi kung’aa".
#Nimelia sana ile Benz inavyounguaaaaa😌
#JiweWalikoKataaWaashi
Bishop Masanja Mkandamizaji.
Ushauri wangu ni huu...
Mliopewa zawadi na nabii mkuu wasilianeni na Bishop kabla mapepo ya kuteketeza zawadi hayajawavagaa. View attachment 3213736
If that's the case basi ni vigumu kuuelezea utendaji wa Mungu..Kiroho Kuna mambo MUNGU anakuficha ili ujue ukuu wake,
Sisi wanawake mara nyingi tunasali kuliko waume zetu na watoto, mara nyingi tunayaona mambo kabla hayajatokea.
Ila Kuna wkt familia inapata bonge la tatizo, na when you recall unagundua Kuna siku mtoto alinigusia ndoto ya namna hii, unaanza kuniuliza Kwa Nini MUNGU hakunionesha?
Aiseee 🤣 sema hatuwezi jua sababu ya kuchomaHuku Mercedes Benz siku ile ile wangemtia ndani amefanya kitu cha hovyo sana kuwahi kutokea kwenye jamii ya watu wastaarabu.
We una Uhakika GaniMasanja ni tapeli na mshirikina ,ni kundi moja na hao mitume na manabii fake ,kwahiyo yupo sahihi kulitaka gari maana linarudi kwenye himaya Yao ya matapeli wa kidini
Nimekuwa kwenye tasnia hii ya matapeli, wanaojiita mitume na manabiiWe una Uhakika Gani
Hilo kundi linamilikiwa na CCM na lilizinduliwa rasmi kipindi mkwere alipoingia madarakani...Masanja ni tapeli na mshirikina ,ni kundi moja na hao mitume na manabii fake
Wapo wengi na wote ni Wana CCMHilo kundi linamilikiwa na CCM na lilizinduliwa rasmi kipindi mkwere alipoingia madarakani...
Mzee wa upako ni katibu mkuu wa hilo kundi la washirikina na wanatumia majina ya utani kumtambulisha ushirikina wao..
... Ngurumo ya upako..
... Mzee wa upako..
... Mzee wa misukule.. Nk
malango ndio kina nani hao nduguView attachment 3213758
Hiyo hapo
Huyu naye ni msanii tuBishop Masanja Mkandamizaji amefunguka kwa uchungu.....
"Nimeona story ya Kuchomoa gari!!
ninachojua Nabii @geordavietv amewapa Magari watu Kadhaa!"
Ameendelea kusema....
"Ombi langu kwa yeyote aliyepewa gari na Nabii, kama anataka na yeye kuchoma naliomba mimi na ninalifata mwenyewe ulipo!!"
Pia ametuma ombi kwa Nabii mkuu...
"Kama Nabii ana nyingine yoyote Pale ndani anasikia ndani kumbariki mtu wala usipige simu nabii mkuu nikuni beep tu ntakuwa Kisongo shaaaaa
Nakumbuka wakati wa uzinduzi wangu wa albamu ya HAKUNA JIPYA uwanja wa SHEKHE AMRI ABEID ARUSHA
Nabii mkuu alishuka na helcopta akanipa Milioni kadhaa na mpaka leo namalizia ghorofa na nyota inazidi kung’aa".
#Nimelia sana ile Benz inavyounguaaaaa😌
#JiweWalikoKataaWaashi
Bishop Masanja Mkandamizaji.
Ushauri wangu ni huu...
Mliopewa zawadi na nabii mkuu wasilianeni na Bishop kabla mapepo ya kuteketeza zawadi hayajawavagaa. View attachment 3213736