Masanja Mkandamizaji aililia Benz iliyochomwa moto na Goodluck Gozbert

Masanja Mkandamizaji aililia Benz iliyochomwa moto na Goodluck Gozbert

Inategemea amepata ufunio Gani kwenye hiyo zawadi......kama amepata ufunuo wa mabaya sio viziri ampe mwingine hiyo gari ili yamkute huyo mabaya .
Usiyotaka kutendewa usimtendee mwenzio

Gozbert anaweza kuwa sahihi kbs
Tanzania ni Nchi masikini sio ya watu kuchoma kitu chochote chenye thamani watu wasipokua na imani ya kweli watafanya mambo ya ajabu sana na mtaona wapo sahihi..hata yeye ni masikini ndio maana alienda kuomba gari na pesa..
 
Kiroho Kuna mambo MUNGU anakuficha ili ujue ukuu wake,

Sisi wanawake mara nyingi tunasali kuliko waume zetu na watoto, mara nyingi tunayaona mambo kabla hayajatokea.

Ila Kuna wkt familia inapata bonge la tatizo, na when you recall unagundua Kuna siku mtoto alinigusia ndoto ya namna hii, unaanza kuniuliza Kwa Nini MUNGU hakunionesha?
Ni kweli uliloongea! huwa mnasali sana kuliko sisi! 100%
 
Bishop Masanja Mkandamizaji amefunguka kwa uchungu.....

"Nimeona story ya Kuchomoa gari!!
ninachojua Nabii @geordavietv amewapa Magari watu Kadhaa!"

Ameendelea kusema....

"Ombi langu kwa yeyote aliyepewa gari na Nabii, kama anataka na yeye kuchoma naliomba mimi na ninalifata mwenyewe ulipo!!"

Pia ametuma ombi kwa Nabii mkuu...

"Kama Nabii ana nyingine yoyote Pale ndani anasikia ndani kumbariki mtu wala usipige simu nabii mkuu nikuni beep tu ntakuwa Kisongo shaaaaa

Nakumbuka wakati wa uzinduzi wangu wa albamu ya HAKUNA JIPYA uwanja wa SHEKHE AMRI ABEID ARUSHA
Nabii mkuu alishuka na helcopta akanipa Milioni kadhaa na mpaka leo namalizia ghorofa na nyota inazidi kung’aa".

#Nimelia sana ile Benz inavyounguaaaaa😌
#JiweWalikoKataaWaashi

Bishop Masanja Mkandamizaji.

Ushauri wangu ni huu...
Mliopewa zawadi na nabii mkuu wasilianeni na Bishop kabla mapepo ya kuteketeza zawadi hayajawavagaa. View attachment 3213736
Mbona hatoki mitaani na kuwapa nafuu ya maisha masikini wa hapo Arusha, yeye ni viongozi na watu maarufu tu!
 
Kiroho Kuna mambo MUNGU anakuficha ili ujue ukuu wake,

Sisi wanawake mara nyingi tunasali kuliko waume zetu na watoto, mara nyingi tunayaona mambo kabla hayajatokea.

Ila Kuna wkt familia inapata bonge la tatizo, na when you recall unagundua Kuna siku mtoto alinigusia ndoto ya namna hii, unaanza kuniuliza Kwa Nini MUNGU hakunionesha?
If that's the case basi ni vigumu kuuelezea utendaji wa Mungu..
 
Masanja ni tapeli na mshirikina ,ni kundi moja na hao mitume na manabii fake ,kwahiyo yupo sahihi kulitaka gari maana linarudi kwenye himaya Yao ya matapeli wa kidini
 
Masanja ni tapeli na mshirikina ,ni kundi moja na hao mitume na manabii fake
Hilo kundi linamilikiwa na CCM na lilizinduliwa rasmi kipindi mkwere alipoingia madarakani...

Mzee wa upako ni katibu mkuu wa hilo kundi la washirikina na wanatumia majina ya utani kumtambulisha ushirikina wao..

... Ngurumo ya upako..

... Mzee wa upako..

... Mzee wa misukule.. Nk
 
Hilo kundi linamilikiwa na CCM na lilizinduliwa rasmi kipindi mkwere alipoingia madarakani...

Mzee wa upako ni katibu mkuu wa hilo kundi la washirikina na wanatumia majina ya utani kumtambulisha ushirikina wao..

... Ngurumo ya upako..

... Mzee wa upako..

... Mzee wa misukule.. Nk
Wapo wengi na wote ni Wana CCM
 
Bishop Masanja Mkandamizaji amefunguka kwa uchungu.....

"Nimeona story ya Kuchomoa gari!!
ninachojua Nabii @geordavietv amewapa Magari watu Kadhaa!"

Ameendelea kusema....

"Ombi langu kwa yeyote aliyepewa gari na Nabii, kama anataka na yeye kuchoma naliomba mimi na ninalifata mwenyewe ulipo!!"

Pia ametuma ombi kwa Nabii mkuu...

"Kama Nabii ana nyingine yoyote Pale ndani anasikia ndani kumbariki mtu wala usipige simu nabii mkuu nikuni beep tu ntakuwa Kisongo shaaaaa

Nakumbuka wakati wa uzinduzi wangu wa albamu ya HAKUNA JIPYA uwanja wa SHEKHE AMRI ABEID ARUSHA
Nabii mkuu alishuka na helcopta akanipa Milioni kadhaa na mpaka leo namalizia ghorofa na nyota inazidi kung’aa".

#Nimelia sana ile Benz inavyounguaaaaa😌
#JiweWalikoKataaWaashi

Bishop Masanja Mkandamizaji.

Ushauri wangu ni huu...
Mliopewa zawadi na nabii mkuu wasilianeni na Bishop kabla mapepo ya kuteketeza zawadi hayajawavagaa. View attachment 3213736
Huyu naye ni msanii tu
 
Back
Top Bottom