Baba Kisarii
JF-Expert Member
- May 7, 2024
- 1,844
- 3,089
Kumbe unalijua hili mkuu!!Wapo wengi na wote ni Wana CCM
Ni kweli ndio maana YESU mwenyewe mwanzo akimteuwa YUDA hakujua kama atamuuza....baadae YESU ndio akajua...If that's the case basi ni vigumu kuuelezea utendaji wa Mungu..
Madam hii statement uliotoa inahitaji justification ya kimaandiko, kwamba awali yesu hakujua kwamba Yuda ndie ataemsaliti! Yesu ni Mungu...japo aliuvaa mwili wa kibinadamu lkn haikuondoa ule uungu wake, sasa ni vp hakumbaini Yuda tangu awali?Ni k
Ni kweli ndio maana YESU mwenyewe mwanzo akimteuwa YUDA hakujua kama atamuuza....baadae YESU ndio akajua...
Nakuunga mkono Kwa asilimia zote na Mungu akubarikiKAMA WEWE SIO MTUMWA WA MITUME NA MANABII , JIHESABU WEWE NI MWENYE BAHATI
😿😿😿 Afya ya akiliBishop Masanja Mkandamizaji amefunguka kwa uchungu.....
"Nimeona story ya Kuchomoa gari!!
ninachojua Nabii @geordavietv amewapa Magari watu Kadhaa!"
Ameendelea kusema....
"Ombi langu kwa yeyote aliyepewa gari na Nabii, kama anataka na yeye kuchoma naliomba mimi na ninalifata mwenyewe ulipo!!"
Pia ametuma ombi kwa Nabii mkuu...
"Kama Nabii ana nyingine yoyote Pale ndani anasikia ndani kumbariki mtu wala usipige simu nabii mkuu nikuni beep tu ntakuwa Kisongo shaaaaa
Nakumbuka wakati wa uzinduzi wangu wa albamu ya HAKUNA JIPYA uwanja wa SHEKHE AMRI ABEID ARUSHA
Nabii mkuu alishuka na helcopta akanipa Milioni kadhaa na mpaka leo namalizia ghorofa na nyota inazidi kung’aa".
#Nimelia sana ile Benz inavyounguaaaaa😌
#JiweWalikoKataaWaashi
Bishop Masanja Mkandamizaji.
Ushauri wangu ni huu...
Mliopewa zawadi na nabii mkuu wasilianeni na Bishop kabla mapepo ya kuteketeza zawadi hayajawavagaa. View attachment 3213736
... makosa yapo mengi tu! ... ameua viumbe wangapi wakati anachoma gari lake!? ... athari ya mazingira ya moto wake je?Naona washaanza kumtafuta makosa gozibeti ili wamfunge
Sasa wewe unaona palikuwa na viumbe pale??... makosa yapo mengi tu! ... ameua viumbe wangapi wakati anachoma gari lake!? ... athari ya mazingira ya moto wake je?
... wewe hujaona?Sasa wewe unaona palikuwa na viumbe pale??
Me sijaona kosa pale mkubwaaa coz GARI ni yake... wewe hujaona?
😅... hata pangekowa Sahara huo moto ungedhuru viumbe wa Mungu!
Ndivyo ajiitavyo... Kuna shida kwa yeye kujiita bishop?Bishop Masanja Mkandamizaji🥺🥺🥺😂duh
Anasema aliacha kulitumia, kuna siku mtu akaliazima kwenda harusini akampatia. Usiku akapewa tena maono kuwa siyo tu asilitumie yeye, bali mtu yeyote asilitumie...Uungwana kama hutaki tena kitu ulichopewa na mtu mrudishie tu aliyekupa maana kuna wahitaji wengi sema yule kijana ana matatizo yupo kama mtoto wa kike na ni mtu wa kujisikia sikia hivi huenda maisha yake aliyokulia yalikuwa tia maji tia maji sasa analeta ulimbukeni wake.
Mtu yeyote siyo pamoja na aliyempa hilo gari,yeye angemrudishia mwenyewe ili kama ubaya apambane nao mwenyewe ingekuwa vibaya kama angempa mtu mwingine.Anasema aliacha kulitumia, kuna siku mtu akaliazima kwenda harusini akampatia. Usiku akapewa tena maono kuwa siyo tu asilitumie yeye, bali mtu yeyote asilitumie...
HahahaBishop Masanja Mkandamizaji amefunguka kwa uchungu.....
"Nimeona story ya Kuchomoa gari!!
ninachojua Nabii @geordavietv amewapa Magari watu Kadhaa!"
Ameendelea kusema....
"Ombi langu kwa yeyote aliyepewa gari na Nabii, kama anataka na yeye kuchoma naliomba mimi na ninalifata mwenyewe ulipo!!"
Pia ametuma ombi kwa Nabii mkuu...
"Kama Nabii ana nyingine yoyote Pale ndani anasikia ndani kumbariki mtu wala usipige simu nabii mkuu nikuni beep tu ntakuwa Kisongo shaaaaa
Nakumbuka wakati wa uzinduzi wangu wa albamu ya HAKUNA JIPYA uwanja wa SHEKHE AMRI ABEID ARUSHA
Nabii mkuu alishuka na helcopta akanipa Milioni kadhaa na mpaka leo namalizia ghorofa na nyota inazidi kung’aa".
#Nimelia sana ile Benz inavyounguaaaaa😌
#JiweWalikoKataaWaashi
Bishop Masanja Mkandamizaji.
Ushauri wangu ni huu...
Mliopewa zawadi na nabii mkuu wasilianeni na Bishop kabla mapepo ya kuteketeza zawadi hayajawavagaa. View attachment 3213736