Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,256
- 16,317
Jipange sawa sawa as kuna mmoja pale Mabibo huishia kuhubiri viti tu. Mwingine pale Morogoro maeneo ya Nane nane ana muumini mmoja wa kudumu.
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Masanja ana yale mashamba ya mpunga hekari kibao ..., mjumba wake ule
Injili inalipa siku hizi..
Tehe
Injili inalipa sana.. na naona imelipa masanja fasta zaidi.
Yetu macho
inategemea a circumstance ya mtu.wengine background yao ya kimaisha bongo sio mbaya,akienda ulaya anaona bora maisha ya bongo.kuna jamaa mmoja alikuwa anauza supu sokoni,amekuja ulaya anabeba boksi,amejenga nyumba zaidi ya moja bongo,kwake yeye anasema angeishi bongo asingekuwa na huo uwezo,kwa sasa ameshaoa maisha yake yako poa na bado yupo nje
Lyamber wewe mtoto wa kishua hata usipoamka siku nzima bado uhakika wa kula na kupewa hela ya matumizi unao. Mtoto laini kama wewe kazi ngumu huwezi. Lakini ikitokea mtu aliekwisha kuonja maisha ya taabu hapo tanzania akapata bahati ya kufanya kazi ulaya wala suala la baridi halimsumbui. Kwanza huendi kazini uchi kuna nguo maharumu kwa ajili ya baridi ushindwe wewe tu.
nirudi bongo kufanya nini kwasasa. Niliteseka sana bongo. Nilishinda njaa mara nyingi. Nilidharauliwa kibaruani. Nilifight sana. Nilimuibia ndugu yangu hela nyingi kuja ulaya. Alilaani sana ila sasa ananimwagia baraka. Wabongo wenzang ambao ni wavivu kupindukia hapa wananiita landrover. Eeh bwana napiga mzigo c mchezo. Huko mzigon naheshimiwa sana. Nina miaka mi5 hapa Denmark. Kwenye account Amin uciamini ki2 284,000 krone kimetulia ma'am maee. Nilikuwa napata laki moja kwa mwezi bongo. Nå ss iv nakuingizia kama laki 5 madaf kwa cku hupo håpo cheseya Denmark wewe. Halaf unasema nirud bongo et håpa tighty. Thubutu. Bongo narudi kusalimu Tusind. Nyumban ni Nyumban. Ila nilikuw a fukara sana halaf KJ anatutukana. I really hate him
inategemea a circumstance ya mtu.wengine background yao ya kimaisha bongo sio mbaya,akienda ulaya anaona bora maisha ya bongo.kuna jamaa mmoja alikuwa anauza supu sokoni,amekuja ulaya anabeba boksi,amejenga nyumba zaidi ya moja bongo,kwake yeye anasema angeishi bongo asingekuwa na huo uwezo,kwa sasa ameshaoa maisha yake yako poa na bado yupo nje
Kwa hesabu za haraka haraka kwa hayo maelezo yako ni Kwamba umetengeneza Tsh 70M(248,000 kroners: 1kroner ni sawa Tsh 285) kwa miaka 5 ambayo ni sawa Tsh 14M kwa mwaka, sawa na Tsh 1M kwa mwezi.
Kwahiyo kipato chako kwa mwezi ukitoa matumizi ni 1M
Sasa hiyo laki 5 kwa siku mbona haina uhusiano na hii 1M kwa mwezi?!! Nilitegemea kama umesema unapata laki 5 kwa siku kwa mwezi uwe unapata Tsh 15M,kuna Tofauti ya Tsh 14M hapo,au unataka kutuambia kuwa Tsh 14M inaenda kwenye kodi?
Hapa kuna kujipaisha,uhalisia ni mdogo mnoo,labda utupe maelezo vizuri
Toa direction la eneo tuje
kwangu kila ukija ibadani unapata 5000Jipange sawa sawa as kuna mmoja pale Mabibo huishia kuhubiri viti tu. Mwingine pale Morogoro maeneo ya Nane nane ana muumini mmoja wa kudumu.
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
naomba unielekeze
Kwa hesabu za haraka haraka kwa hayo maelezo yako ni Kwamba umetengeneza Tsh 70M(248,000 kroners: 1kroner ni sawa Tsh 285) kwa miaka 5 ambayo ni sawa Tsh 14M kwa mwaka, sawa na Tsh 1M kwa mwezi.
Kwahiyo kipato chako kwa mwezi ukitoa matumizi ni 1M
Sasa hiyo laki 5 kwa siku mbona haina uhusiano na hii 1M kwa mwezi?!! Nilitegemea kama umesema unapata laki 5 kwa siku kwa mwezi uwe unapata Tsh 15M,kuna Tofauti ya Tsh 14M hapo,au unataka kutuambia kuwa Tsh 14M inaenda kwenye kodi?
Hapa kuna kujipaisha,uhalisia ni mdogo mnoo,labda utupe maelezo vizuri
huyo mtu kajipaisha sana... anatakiwa ajue wapo waliopitia hayo maisha wakiwa wanafanya kazi na allowances za scholarship wanapata. Kodi na bills zipo juu sana, savings ni ndogo mno. wana nafuu wale wanaosoma maana wapo exempted na baadhi ya bills na kodi pia. siku ukimaliza shule na kuingia mtaani uishi kama wazungu, mbona utaomba kurudi bongo.
wapo wanaokuja bongo na vizawadi ambavyo hata hapa vinapatikana (bongo siku hizi kila kitu kipo), na wanakuta wenzao waliograduate nao washafikia ranks za usenior kama sio ukurugenzi na business zao binafsiwanazo, wakati aliyejilipua huko majuu unakuta hata kiwanja hana.
Being successful is all about your hard work