Masanja Mkandamizaji amzidi Utajiri Diamond Platnumz

Masanja Mkandamizaji amzidi Utajiri Diamond Platnumz

Jipange sawa sawa as kuna mmoja pale Mabibo huishia kuhubiri viti tu. Mwingine pale Morogoro maeneo ya Nane nane ana muumini mmoja wa kudumu.

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

Mkewe nn?
 
Tehe
Injili inalipa sana.. na naona imelipa masanja fasta zaidi.

Yetu macho

Imemlipa hasa si unacheki mambo yake..... mmh
 

Attachments

  • 1411914860748.jpg
    1411914860748.jpg
    91.9 KB · Views: 700
  • 1411914873405.jpg
    1411914873405.jpg
    74.3 KB · Views: 656
Heaven on Earth kalianzaga katetesi kuwa jamaa anahusika na madawa..

hizo mipunga, injil..zaweza kuwa njia za kujificha tu.
 
Last edited by a moderator:
inategemea a circumstance ya mtu.wengine background yao ya kimaisha bongo sio mbaya,akienda ulaya anaona bora maisha ya bongo.kuna jamaa mmoja alikuwa anauza supu sokoni,amekuja ulaya anabeba boksi,amejenga nyumba zaidi ya moja bongo,kwake yeye anasema angeishi bongo asingekuwa na huo uwezo,kwa sasa ameshaoa maisha yake yako poa na bado yupo nje

nakubaliana na wewe. kwa mbangaizaji wa bongo (kama huyo aliyekuwa akipata laki 1 kwa mwezi) ni bora aoshe vyombo ulaya na sio bongo. ila kama bongo upo vizuri na deal za kuingiza pesa na kipato vinaeleweka, ni bora kuwa bongo TZ kuliko ulaya.
 
Lyamber wewe mtoto wa kishua hata usipoamka siku nzima bado uhakika wa kula na kupewa hela ya matumizi unao. Mtoto laini kama wewe kazi ngumu huwezi. Lakini ikitokea mtu aliekwisha kuonja maisha ya taabu hapo tanzania akapata bahati ya kufanya kazi ulaya wala suala la baridi halimsumbui. Kwanza huendi kazini uchi kuna nguo maharumu kwa ajili ya baridi ushindwe wewe tu.

Mimi sio wakishua sema nilishapata exposure na kuona watu jinsi wanavyoishi sasa kwa comment ya jamaa iliashiaria kama yupo kwenye nchi yenye asali na maziwa kitu ambacho kiuhalisia sicho na ukipiga hesabu hela anazosifia kwa miaka mi5 ni reasonable ambazo zinafikika ikitegemea mtu binafsi umeweka juhudi gani..kuhusu umayai hilo ni kwa mtazamo wako kwaio siwezi kukupinga wala kukataa kwaio naliacha kama ulivyosema..
 
nirudi bongo kufanya nini kwasasa. Niliteseka sana bongo. Nilishinda njaa mara nyingi. Nilidharauliwa kibaruani. Nilifight sana. Nilimuibia ndugu yangu hela nyingi kuja ulaya. Alilaani sana ila sasa ananimwagia baraka. Wabongo wenzang ambao ni wavivu kupindukia hapa wananiita landrover. Eeh bwana napiga mzigo c mchezo. Huko mzigon naheshimiwa sana. Nina miaka mi5 hapa Denmark. Kwenye account Amin uciamini ki2 284,000 krone kimetulia ma'am maee. Nilikuwa napata laki moja kwa mwezi bongo. Nå ss iv nakuingizia kama laki 5 madaf kwa cku hupo håpo cheseya Denmark wewe. Halaf unasema nirud bongo et håpa tighty. Thubutu. Bongo narudi kusalimu Tusind. Nyumban ni Nyumban. Ila nilikuw a fukara sana halaf KJ anatutukana. I really hate him

Kwa hesabu za haraka haraka kwa hayo maelezo yako ni Kwamba umetengeneza Tsh 70M(248,000 kroners: 1kroner ni sawa Tsh 285) kwa miaka 5 ambayo ni sawa Tsh 14M kwa mwaka, sawa na Tsh 1M kwa mwezi.

Kwahiyo kipato chako kwa mwezi ukitoa matumizi ni 1M

Sasa hiyo laki 5 kwa siku mbona haina uhusiano na hii 1M kwa mwezi?!! Nilitegemea kama umesema unapata laki 5 kwa siku kwa mwezi uwe unapata Tsh 15M,kuna Tofauti ya Tsh 14M hapo,au unataka kutuambia kuwa Tsh 14M inaenda kwenye kodi?

Hapa kuna kujipaisha,uhalisia ni mdogo mnoo,labda utupe maelezo vizuri
 
inategemea a circumstance ya mtu.wengine background yao ya kimaisha bongo sio mbaya,akienda ulaya anaona bora maisha ya bongo.kuna jamaa mmoja alikuwa anauza supu sokoni,amekuja ulaya anabeba boksi,amejenga nyumba zaidi ya moja bongo,kwake yeye anasema angeishi bongo asingekuwa na huo uwezo,kwa sasa ameshaoa maisha yake yako poa na bado yupo nje

Umeongea points kabisa. Kazi ya mwenzio waweza iona haifai wkt ndo inampa yeye mkate wa kila siku, so dharau c nzuri.
Ila dada hak ka jina kako mmh!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Kwa hesabu za haraka haraka kwa hayo maelezo yako ni Kwamba umetengeneza Tsh 70M(248,000 kroners: 1kroner ni sawa Tsh 285) kwa miaka 5 ambayo ni sawa Tsh 14M kwa mwaka, sawa na Tsh 1M kwa mwezi.

Kwahiyo kipato chako kwa mwezi ukitoa matumizi ni 1M

Sasa hiyo laki 5 kwa siku mbona haina uhusiano na hii 1M kwa mwezi?!! Nilitegemea kama umesema unapata laki 5 kwa siku kwa mwezi uwe unapata Tsh 15M,kuna Tofauti ya Tsh 14M hapo,au unataka kutuambia kuwa Tsh 14M inaenda kwenye kodi?

Hapa kuna kujipaisha,uhalisia ni mdogo mnoo,labda utupe maelezo vizuri

Mmmh, watu mna upembuzi yakinifuuu! Dah, jamaa aje atujibu basi

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Jipange sawa sawa as kuna mmoja pale Mabibo huishia kuhubiri viti tu. Mwingine pale Morogoro maeneo ya Nane nane ana muumini mmoja wa kudumu.

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
kwangu kila ukija ibadani unapata 5000
 
Kwa hesabu za haraka haraka kwa hayo maelezo yako ni Kwamba umetengeneza Tsh 70M(248,000 kroners: 1kroner ni sawa Tsh 285) kwa miaka 5 ambayo ni sawa Tsh 14M kwa mwaka, sawa na Tsh 1M kwa mwezi.

Kwahiyo kipato chako kwa mwezi ukitoa matumizi ni 1M


Sasa hiyo laki 5 kwa siku mbona haina uhusiano na hii 1M kwa mwezi?!! Nilitegemea kama umesema unapata laki 5 kwa siku kwa mwezi uwe unapata Tsh 15M,kuna Tofauti ya Tsh 14M hapo,au unataka kutuambia kuwa Tsh 14M inaenda kwenye kodi?

Hapa kuna kujipaisha,uhalisia ni mdogo mnoo,labda utupe maelezo vizuri

huyo mtu kajipaisha sana... anatakiwa ajue wapo waliopitia hayo maisha wakiwa wanafanya kazi na allowances za scholarship wanapata. Kodi na bills zipo juu sana, savings ni ndogo mno. wana nafuu wale wanaosoma maana wapo exempted na baadhi ya bills na kodi pia. siku ukimaliza shule na kuingia mtaani uishi kama wazungu, mbona utaomba kurudi bongo.

wapo wanaokuja bongo na vizawadi ambavyo hata hapa vinapatikana (bongo siku hizi kila kitu kipo), na wanakuta wenzao waliograduate nao washafikia ranks za usenior kama sio ukurugenzi na business zao binafsiwanazo, wakati aliyejilipua huko majuu unakuta hata kiwanja hana.
 
huyo mtu kajipaisha sana... anatakiwa ajue wapo waliopitia hayo maisha wakiwa wanafanya kazi na allowances za scholarship wanapata. Kodi na bills zipo juu sana, savings ni ndogo mno. wana nafuu wale wanaosoma maana wapo exempted na baadhi ya bills na kodi pia. siku ukimaliza shule na kuingia mtaani uishi kama wazungu, mbona utaomba kurudi bongo.

wapo wanaokuja bongo na vizawadi ambavyo hata hapa vinapatikana (bongo siku hizi kila kitu kipo), na wanakuta wenzao waliograduate nao washafikia ranks za usenior kama sio ukurugenzi na business zao binafsiwanazo, wakati aliyejilipua huko majuu unakuta hata kiwanja hana.

Thank youu

Mimi napenda watu wakweli,Hawa jamaa huwa wana exaggerate vitu na kuficha ukweli. Wapo ambao mambo yao ni njema huko majuu lakini asilimia nyingi hali mbaya lkn hawataki kukubali.

Mimi nilibahatika kusafiri kikazi kipindi fulani kwenda nchi za watu,jamaa zangu ambao nilisoma nao wanaoishi hiyo nchi wali nikikwepa,hamna hata mmoja aliyetaka nipajue kwake.
 
Jamani
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni...

Masanja anajituma sio issue ya injili tu ndo imemfikisha hapo mashamba aliyasimamia na kupata mazao vzr sn na ukizingatia alikuwa na uzoefu.

Suala la injili, Mungu ana uwezo wa kumtumia yyt akitaka bt kinachowasumbua watu ile kuwa ni comedian wanaona km haiwezekani lkn njia za Mungu hazichunguziki!
 
Back
Top Bottom