Usalama wa Taifa Tanzania umelala ,wanatakiwa wafanye investigation wangegundua utapeli mwingi sana
Matokeo yake wapo bize na Upinzani
Mfano Kiboko ya wachawi,bila kujichanganya yeye mwenyewe angeendelea kuibia watu Hadi sasa
Sasa Sampuli ya kina Kiboko ya wachawi ni wengi sana ,mwamposa,masanja,Bushiri,mwingira,kuhani Musa, n.k
Wamekutapeli mali gani?Bila kusahau Roman catholic na KKKT wote ni matapeli
nabii gani anakula kuku shavu dodo? Wajihi wa manabii unajulikana tangu mwanzo. Manabii ilikuwa hawaachi kutifuana na dola inapofanya hovyo inaambiwa ukweli bila chenga. Hawa ni manabii wa mchongo na ni sehemu ya dola ndio maana hawaikemei dola inapofanya sivyo ndivyo. Wakumbukeni manabii wa ukweli kama samweli, eliya, yohana mbatizaji waliwapa makavu watawala walipoona wanafanya mambo sivyo. Hawa manabii wa mchongo wao ni kula bata tu na kuwa na utajiri mkubwa kuliko waumini wao, shame on themUnasali hapo?
Unajua zile kesi zake bila Dola alikuwa hatoboi ? Mwingira huyu anayegombania mashamba na wajane ?
Alikuwa na benk inatoza riba
Anyway tusiongee mengi kama kweli alipewa unabii na Mungu itadhihirika
Unabii sio mzaha ,
Ndiyo maana mkawa tofauti.Kwetu Islam tukishajenga mjengo wa ibada tunakabodhi maimam ili watoe huduma. Yaani no return on investment. Ila upande mwingine sasaa.
Nimecheka sana we jamaa cjui ulikuwa unawaza niniMtu akishasoma mistari miwili mitatu ya mtume Paulo ,anatafuta mabanzi na vitambaa vyekundu ,vyeupe, spika ya JBL ,mic mbili ,na suti ya mtumba ,anajiita mtume na nabii anafungua kanisa
Serikali ipo inakula nao
Jina la wimbo unaoimbwa kwenye hii video pleaseMsanii, mtangazaji, na mtumishi wa Mungu, Emmanuel "Masanja Mkandamizaji" Mgaya, leo Disemba 25, ameonesha kwa mara ya kwanza maendeleo ya ujenzi wa kanisa lake jipya, Feel Free Church.
View attachment 3184878
Kanisa la Feel Free Church linajengwa maeneo ya Uwanja wa Barafu, Mburahati, jijini Dar es Salaam, linatarajiwa kuwa kitovu cha ibada na huduma za kiroho kwa jamii.
View attachment 3184876
NakaziaAmejenga duka la kukusanyia mapato.
Na atawakamua kisawasawa aise.
Labda maeneo yenu. Huku kwetu misikiti imepewa majina ya kikabila kabisa, kuna msikiti wa Wamanyema, msikiti wa Wamakonde nk. Hapo uongozi ni kurithishana tu.Kwetu Islam tukishajenga mjengo wa ibada tunakabodhi maimam ili watoe huduma. Yaani no return on investment. Ila upande mwingine sasaa.
Je Imam mwenyewe akijenga msikiti anauacha tu au anamkabidhi nani? Au wenyewe hawajengi wanasubiri kukabidhiwa!!!?Kwetu Islam tukishajenga mjengo wa ibada tunakabodhi maimam ili watoe huduma. Yaani no return on investment. Ila upande mwingine sasaa.
😲😲😲Mungu hakaagi kwenye mijengo inayoweza kulipuka na kubaki majivu..
Bishop angelijua hili wala asingehangaika kupiga hela za watu kwa kisingizio cha kumjengea Mungu..
Hapo kashusha mjengo wa makahaba na wauza unga tu na ndio watoa michango (sadaka) wake.
Tz hatuna mossad bali uvccm wanaotumia taasisi nyeti za serikali kufanyia siasa.Usalama wa Taifa Tanzania umelala ,wanatakiwa wafanye investigation wangegundua utapeli mwingi sana
Matokeo yake wapo bize na Upinzani
Mfano Kiboko ya wachawi,bila kujichanganya yeye mwenyewe angeendelea kuibia watu Hadi sasa
Sasa Sampuli ya kina Kiboko ya wachawi ni wengi sana ,mwamposa,masanja,Bushiri,mwingira,kuhani Musa, n.k
Maimaam mara nyingi huwa ni watu wa imaan kwelikweli, huwa hawajishughulishi na mambo ya dunia, most of them wanaishi maisha ya kawaida sana.Je Imam mwenyewe akijenga msikiti anauacha tu au anamkabidhi nani? Au wenyewe hawajengi wanasubiri kukabidhiwa!!!?
Wamekutapeli mali gani?