Usalama wa Taifa Tanzania umelala ,wanatakiwa wafanye investigation wangegundua utapeli mwingi sana
Matokeo yake wapo bize na Upinzani
Mfano Kiboko ya wachawi,bila kujichanganya yeye mwenyewe angeendelea kuibia watu Hadi sasa
Sasa Sampuli ya kina Kiboko ya wachawi ni wengi sana ,mwamposa,masanja,Bushiri,mwingira,kuhani Musa, n.k
Bila kusahau Roman catholic na KKKT wote ni matapeli