Masanja Mkandamizaji: Watu ooh! Mama anasafiri sana. Ulitaka asafiri babaako?

Masanja Mkandamizaji: Watu ooh! Mama anasafiri sana. Ulitaka asafiri babaako?

Kauli hii ya kifedhuli ameitoa Masanja Mkandamizaji alipopewa nafasi ya kuburudisha leo hii mbele ya mamilioni ya watanzania na wana-Afirika Mashariki kwa ujumla, waliokuwa wanafuatilia sherehe za Uhuru wa Tanganyika kupitia runinga.

Kauli hii inawabeza watanzania wenye moyo wa kuipenda nchi yao wanaohoji kwanini Rais Samia anafanya sana safari za nje?.

Hii dharau kwa umma wa watanzania haikubaliki na haivumiliki.

Ccm mnatuzalilisha sana! Hivi wanaachaje kujua nini Masanja ataongea; wakati Ni:

  • Mropokaji
  • Hana busara

Hivi kweli serikal haina chujio la content Kwenye audience serious Kama ile?

Hii nchi imekuwa ya hovyo sana Kwa kweli, kweli mnatuzalilisha! Ila Mbowe sio gaid
 
Kauli hii ya kifedhuli ameitoa Masanja Mkandamizaji alipopewa nafasi ya kuburudisha leo hii mbele ya mamilioni ya watanzania na wana-Afirika Mashariki kwa ujumla, waliokuwa wanafuatilia sherehe za Uhuru wa Tanganyika kupitia runinga.

Kauli hii inawabeza watanzania wenye moyo wa kuipenda nchi yao wanaohoji kwanini Rais Samia anafanya sana safari za nje?.

Hii dharau kwa umma wa watanzania haikubaliki na haivumiliki.
Aiseee tunakosa sana torelance.

Kwani wenye hoja ya kwamba ana safiri sana kosa lao ni nini?
 
Kifupi Masanja na yule mwenzie hawakuwa wamejiandaa kufanya VIP comedy walikuwa wakihutubia na kuvurumisha matusi badala ya kuchekesha hopeless kabisa


Masanja hajui VIP comedy inatakiwa isiguse individuals on any way offensive. Kaniudhi sana aliposema Vifaa vyetu vya Kavita vya kisasa vinapata kutu tu havitumiki kivita akamtaka Mkuu wa Majeshi Mabeyo aongee na Raisi Kagame ili waliamshe waanzishe vita ili vitumike Ile statement ilikuwa offensive kwa Kagame na Mabeyo kwa nchi na ya kichochezi why amtaje Kagame na sio Rais mwingine yeyote aliyeko pale? Why Kagame? Siku ingine waigize kabla vyumbani huko chini ya usimamizi kabla kuonyeshwa public


Huyo mwigiza sauti ya Nyerere naye hopeless ohhhh mke wangu Maria Nyerere yule pale, Mwanangu Hussain Mwinyi, kijana wangu Majaliwa ujinga mtupu hakuwa na theme nyingine isiyokuwa offensive?

Kiujumla nobody should be allowed just ku perform chochote Mbele ya VIP mpaka kionwe kwanza

Hana ajili Masanja nadhani atakuwa alivuta bangi
 
Huyo ndo mchungaji eti, why lakini? Kwann watu wanaichukulia kazi ya uchungaji poa namna hii?

Na tena ajabu unakuta mtu anawafuasi lukuki kanisani, hivi huwa anawapumbuza na nini!!

Achaneni na hawa watu, nendeni kwa watu wanaomuabudu Mungu katika kweli yote!!
Hii dunia ione hivihivi....imejaa watu wajinga wajinga wa kutosha...na hata sasa hivi kuna wajinga wajinga wengi tu wanazaliwa...
Kikubwa kila mtu ashinde mechi zake.
 
Ccm mnatuzalilisha sana! Hivi wanaachaje kujua nini Masanja ataongea; wakati Ni:

  • Mropokaji
  • Hana busara

Hivi kweli serikal haina chujio la content Kwenye audience serious Kama ile?

Hii nchi imekuwa ya hovyo sana Kwa kweli, kweli mnatuzalilisha! Ila Mbowe sio gaid
Kwakweli katia sana aibu na katudharirisha sana mbele ya wageni kwasababu lile ni internal affairs hakustahili kutukana mbele ya ugeni ule
 
Kwa
Kauli hii ya kifedhuli ameitoa Masanja Mkandamizaji alipopewa nafasi ya kuburudisha leo hii mbele ya mamilioni ya Watanzania na wana-Afirika Mashariki kwa ujumla, waliokuwa wanafuatilia sherehe za Uhuru wa Tanganyika kupitia runinga.

Kauli hii inawabeza Watanzania wenye moyo wa kuipenda nchi yao wanaohoji kwanini Rais Samia anafanya sana safari za nje?

Hii dharau kwa umma wa Watanzania haikubaliki na haivumiliki.
Kwani uongo ? 🤣🤣
Lilikua jibu murua kabisa kwa vizabinazabina na wanafiki wote wanaomnafikia Mama . Wakati wanajua fika kwanini rais anasafiri lakini wanajizima data
 
Masanja kaongea kihuni lakini ujumbe mpana umeeleweka vyema. Watanzania tunapenda sana kulialia.

JPM alipokuwa hasafiri watu walimnanga wakasema kingereza chake ni not reachable. Amekuja Mama anafanya kinyume na mtangulizi wake bado nongwa ni nyingi tu.

Lugha kali ya matusi lakini ujumbe umefika.
 
Huyo ndo mchungaji eti, why lakini? Kwann watu wanaichukulia kazi ya uchungaji poa namna hii?

Na tena ajabu unakuta mtu anawafuasi lukuki kanisani, hivi huwa anawapumbuza na nini!!

Achaneni na hawa watu, nendeni kwa watu wanaomuabudu Mungu katika kweli yote!!
Ninaona umeumia kweli lakini ujue wengine ni watumishi wa shetani utawatambua kwa maneno yao na matendo yao.
 
Back
Top Bottom