42774277
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 6,833
- 8,853
Tanzania kuna free speech au hakuna free speech?kosa lao Ni kwamba kipindi Cha awamu ya 5 waliponda sana kwanini Magu hatoki nje Wala kusafiri na ndio hao hao wanahoji kwanin maza anasafiri sana.