Masanja Mkandamizaji: Watu ooh! Mama anasafiri sana. Ulitaka asafiri babaako?

Masanja Mkandamizaji: Watu ooh! Mama anasafiri sana. Ulitaka asafiri babaako?

Wakati Magufuli hasafiri mlikuwa mnasema hoo hasafiri kajifungia tu, ni mshamba nk

Hangaya anasafiri bado mnaalaumu.
Mwacheni mama asafiri akatuletee mahela ya bure bure kutoka kwa wazungu. Sisi tunapenda vya bure.
 
Kauli hii ya kifedhuli ameitoa Masanja Mkandamizaji alipopewa nafasi ya kuburudisha leo hii mbele ya mamilioni ya Watanzania na wana-Afirika Mashariki kwa ujumla, waliokuwa wanafuatilia sherehe za Uhuru wa Tanganyika kupitia runinga.

Kauli hii inawabeza Watanzania wenye moyo wa kuipenda nchi yao wanaohoji kwanini Rais Samia anafanya sana safari za nje?

Hii dharau kwa umma wa Watanzania haikubaliki na haivumiliki.
Kwanza hakustaili azungumze mbele ya umati. Ni utovu wa maadili
 
hawa hawastahili kuongea mbele ya watu wenye heshima
Taifa zima limeangalia What a shame

Lakini msishangae ndio wanaotakiwa kama hao na wengine wa kusifia wengine na akili zao kugaragara chini
 
Huyu Masanja ni kama ana ugomvi na mtu au ana jambo.Nashauri baadhi yao waelezwe la kusema c kubwabwaja.
 
Kauli hii ya kifedhuli ameitoa Masanja Mkandamizaji alipopewa nafasi ya kuburudisha leo hii mbele ya mamilioni ya Watanzania na wana-Afirika Mashariki kwa ujumla, waliokuwa wanafuatilia sherehe za Uhuru wa Tanganyika kupitia runinga.

Kauli hii inawabeza Watanzania wenye moyo wa kuipenda nchi yao wanaohoji kwanini Rais Samia anafanya sana safari za nje?

Hii dharau kwa umma wa Watanzania haikubaliki na haivumiliki.
ukiwa na mijitu 10 kama hiii, nchi haisogei. (opportunist)
 
Hii haikuwa sawa, sio majibu sahihi lakini pia ni aibu kubwa kutumika kwenye jukwaa lile. We must have limitations with these fuckin dudez.
Na ndio maana MC aliwatoa yeye na mwenzie aka nyerere alipogundua kuwa wameanzakudemka!!
 
Hiyo ndiyo hazina ya CCM.

Mwakani atapewa ukuu wa wilaya kama kawaida

Awe mwenyekiti wa kamati ya usalama wilaya!?
Ina maana maafisa kificho na wale wengine wawechini yake...daah!
Tuseme yeye ni "eagle" mwenye force number yake...huuhuuuh nchi hii jameeeeniiii!!
 
Hii mada iondolewe, kwa kuwa tunamjadili mtu asiye na hadhi ya kujadiliwa hapa, licha ya kututukana, ondoa mada!
 
Huyu masanja ni jamii ya yule msukuma, jamani tusomeshe watoto wawe na elimu watoke ktk hili kundi
 
Ni wapi alisema hasafiri sababu hajui kingereza?

Na kama ni hivyo mbona wakati hasafiri mlilaumu na huyu anasafiri bado mnalaumu?

Bqvicha mna shida sana vichwani mwenu
Hamnaaaa baaanaaa tatizo ilikuwa 'KIINGELETHA' Baas na ni bora aliamua kutosafiri angetuaibisha Sana
 
masanja hakufaa kupewa nafasi pale ni mropokaji hana la kufurahisha analo la kuaibisha watu wamemchoka sana hajijui jinga sana hili jamaa
 
Kauli hii ya kifedhuli ameitoa Masanja Mkandamizaji alipopewa nafasi ya kuburudisha leo hii mbele ya mamilioni ya Watanzania na wana-Afirika Mashariki kwa ujumla, waliokuwa wanafuatilia sherehe za Uhuru wa Tanganyika kupitia runinga.

Kauli hii inawabeza Watanzania wenye moyo wa kuipenda nchi yao wanaohoji kwanini Rais Samia anafanya sana safari za nje?

Hii dharau kwa umma wa Watanzania haikubaliki na haivumiliki.
Hapana Aisee, Na sisi Wa-Tanzania tuna maneno sana, na hatujui tunataka nini. JPM alikuwa hasafiri, watu wakamsema sana, na kudai nchi haiwezi kwenda mbele bila ya JPM kusafiri. Wengine wakasema zaidi, kuwa jamaa lugha haipandi, ndio maana hasafiri. Sasa Mama anasafiri, tena amekwenda kuhutubia mpaka Baraza la Umoja wa Mataifa, watu tena wanasema. Sasa tunataka Rais gani? Akisafiri, maneno, asiposafiri, nayo maneno pia. Nadhani Tanzania kuna watu wakowako tu...wanatafuta cha kuongea, na sio uhalisia wa Mambo.
 
Back
Top Bottom