Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu sio muhubiri...mnisamehe bure....ni mganga njaaNajaribu kuwaza tu kwa sauti...je huyu Masanja na hao wanaompa nafasi kama hiyo mbele ya wageni, yupi kichaa zaidi! Watanzania tuna tatizo na hilo tatizo ni kubwa na kama hatukuchukua hatua tutajikuta pabaya nawaambia!
Najaribu kutafuta nchi ya kuifananisha na Tanzania siioni...tuko kundi la peke yetu.
Ukuta ukijengwa kuzunguka nchi yetu nina hakika watalii wangefurika zaidi na zaidi kuja tu kujiridhisha kwamba sisi nasi ni binadamu kama wao.
Anko @mshanajr kama hautajali sema neno kwa muktadha wa lile andiko lako kuhusu picha za pamoja. Nakumbuka mada ile niliisoma kwa utulivu nikaielewa na kulinganisha na matukio ninayojua ikaniacha mdomo wazi. Ebu jipe muda toa comment yenye kujibu hisia zangu kwa msaada wa hii picha muambata aliyoleta mkuuu Inside10
UtanitagAnko @mshanajr kama hautajali sema neno kwa muktadha wa lile andiko lako kuhusu picha za pamoja. Nakumbuka mada ile niliisoma kwa utulivu nikaielewa na kulinganisha na matukio ninayojua ikaniacha mdomo wazi. Ebu jipe muda toa comment yenye kujibu hisia zangu kwa msaada wa hii picha muambata aliyoleta mkuuu Inside10
Hatua zilizochukuliwa dhidi yake ni Katibu wake wa Kanisa kumfumua marinda mke wake. Kongole sana KatibuUnataka hatua gani zichukuliwe[emoji1782][emoji89]
100%[emoji3581]Anko @mshanajr kama hautajali sema neno kwa muktadha wa lile andiko lako kuhusu picha za pamoja. Nakumbuka mada ile niliisoma kwa utulivu nikaielewa na kulinganisha na matukio ninayojua ikaniacha mdomo wazi. Ebu jipe muda toa comment yenye kujibu hisia zangu kwa msaada wa hii picha muambata aliyoleta mkuuu Inside10
Masanja ni mchungaji kama Msigwa!
Mkewe akunwe mgongoUnataka hatua gani zichukuliwe[emoji1782][emoji89]
Katibu kafanya jambo la maana sanaHatua zilizochukuliwa dhidi yake ni Katibu wake wa Kanisa kumfumua marinda mke wake. Kongole sana Katibu
Yalikuwa makubaliano maana jamaa alidongokewa kitovu,sasa ishu lianza kunuka baada ya mwendazake kudai watoto wakati alilipwa kuja kurutubisha shamba tu mazao amwachie mwenye shamba.Ila ni dharau mtu anakuibia mke harafu anamwagia ndani matoto yanatoka copy na katibu