Peter Madukwa
JF-Expert Member
- Sep 20, 2012
- 3,139
- 2,488
Ila kuna watu hawana shukrani
Magufuli alikuwa hasafiri wakamsema vibaya
Rais Samia anasafiri.... nayo inakuwa nongwa aseh.
Mimi ninachoamini Rais Samia hawezi kusafiri kwenda nje ya nchi bila sababu ya msingi. Marais wote duniani wanasafiri kikazi.
Magufuli alikuwa hasafiri wakamsema vibaya
Rais Samia anasafiri.... nayo inakuwa nongwa aseh.
Mimi ninachoamini Rais Samia hawezi kusafiri kwenda nje ya nchi bila sababu ya msingi. Marais wote duniani wanasafiri kikazi.