johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Wampeleke nani sasa?!Waache hayo mambo ya kuwapeleka hao
Maana taifa linaonekana kituko tu
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wampeleke nani sasa?!Waache hayo mambo ya kuwapeleka hao
Maana taifa linaonekana kituko tu
Ova
Siyo lazima segment hiyo kuwepo wakatiWampeleke nani sasa?!
Unataka uwe mkutano wa kununa tu?Siyo lazima segment hiyo kuwepo wakati
Wa shuguli
Ova
Mama yangu ametoka wap kwenye hii mada?, usinichekee kinafiki kama una hamu ya kupakatwa useme sio ujichekeshe kwenye comment za wanaumeAnahela kuliko mamako[emoji1787]
Huyu hana akili timamu, ni mshenzi tu asiye na adabu wala hekimaView attachment 2040199
Kauli hii ya kifedhuli ameitoa Masanja Mkandamizaji alipopewa nafasi ya kuburudisha leo hii mbele ya mamilioni ya Watanzania na wana-Afirika Mashariki kwa ujumla, waliokuwa wanafuatilia sherehe za Uhuru wa Tanganyika kupitia runinga.
Kauli hii inawabeza Watanzania wenye moyo wa kuipenda nchi yao wanaohoji kwanini Rais Samia anafanya sana safari za nje?
Hii dharau kwa umma wa Watanzania haikubaliki na haivumiliki.
Sawa sisterMama yangu ametoka wap kwenye hii mada?, usinichekee kinafiki kama una hamu ya kupakatwa useme sio ujichekeshe kwenye comment za wanaume
jamaa aikuwa anaibiwa hapo hapo bila kujua eee, penzi la wizi taaaaam balaaaa.
asante sana katibu, umetuheshimisha sana katibu, nasema asante sana
Kubwa jinga fulani, litafuta sifa ndo maana katibu wetu kamwagia ndani ....halafu achunguzwe huyu katengeneza sinema ya mazingira ya kifo cha jemedari katibu wetu yaani ndio yeye kamwua, utalipa roho ya katibu wetu mshenzi weweeeHuyu hana akili timamu, ni mshenzi tu asiye na adabu wala hekima
Daaah! Mwanaume mwenzetu yamemkuta.asante sana katibu, umetuheshimisha sana katibu, nasema asante sana
Kwa ubwege huu haki kabisa kumegewa mke wake na bado atamegwa sanaView attachment 2040199
Kauli hii ya kifedhuli ameitoa Masanja Mkandamizaji alipopewa nafasi ya kuburudisha leo hii mbele ya mamilioni ya Watanzania na wana-Afirika Mashariki kwa ujumla, waliokuwa wanafuatilia sherehe za Uhuru wa Tanganyika kupitia runinga.
Kauli hii inawabeza Watanzania wenye moyo wa kuipenda nchi yao wanaohoji kwanini Rais Samia anafanya sana safari za nje?
Hii dharau kwa umma wa Watanzania haikubaliki na haivumiliki.
View attachment 2040199
Kauli hii ya kifedhuli ameitoa Masanja Mkandamizaji alipopewa nafasi ya kuburudisha leo hii mbele ya mamilioni ya Watanzania na wana-Afirika Mashariki kwa ujumla, waliokuwa wanafuatilia sherehe za Uhuru wa Tanganyika kupitia runinga.
Kauli hii inawabeza Watanzania wenye moyo wa kuipenda nchi yao wanaohoji kwanini Rais Samia anafanya sana safari za nje?
Hii dharau kwa umma wa Watanzania haikubaliki na haivumiliki.