NAGAMAHONGA
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 11,131
- 9,301
Lakini tunashinda ambayo ndo maana halisi ya mpira.Sisi tuna tatizo moja tu la umaliziaji?:vipi timu yako mliyokuwa mnajisifia kuwa mmeiba namba sita lakini leo kaja na kafichwa na Mkude, vipi mna matatizo yapi? Game mbili goal 0 halafu mmekuwa timu ya kupelekewa moto haswa muda wote roho juu, vipi nyie mmekamilika?
Hata wa simba ana nafasi, japo ana ukuta imara sana.Unalazimusha wewe kuonekana kama kuna masononeko ila sisi mashabiki wa Yanga leo tume enjoy burudani.. Kutotumia nafasi kwa leo ni sehemu ya makosa yaliyotugharimu kufika penati, lakini benchi la ufundi linalo nafasi ya kulirekebisha. Game tatu tumecheza kubwa na leo ndio mechi ya kwanza kutoa sare. Hivyo kocha atajua ni wapi pa kuweka sawa
Makocha huwa wanapoanza kuinoa timu kwanza huanza kwa kutengeneza ukuta kwa maana wasiweze kuruhusu magoli, pili ni namna ya kutengeneza mashambulizi kisha mwisho ni mifumo mizuri ya kupata magoli.
Kocha yupo hatua ya mwisho hivyo huku kwenye kiungo, beki na utengenezaji mashumbulizi kamaliza kabakiza tu kwenye namna ya kufanya nafasi zinakuwa converted kuwa magoli. Muda bado anao
Ishu ya ukuta kwa timu zote mbili ni zote hazijaruhusu goli, ila kwenye kucheza kitimu Yanga wameonekana wapo kitimu zaidi. Kuna maelewano kwanzia kwa goli kipa, mabeki, viungo hadi kwenye safu ya ushambuliaji. Mechi ya Yanga vs Azam mashabiki wengi waliina Azam ni mbovu kutokana na mpira mbovu wanaocheza na hao hao mashabiki wakatoa maoni kuwa Singida ni timu bora kuliko Azam. Hii analysis imefanywa kwavile Singida kamsumbua Simba huku Azam akionekana kuzidiwa kwa kila kitu na Yanga. Lakini mwisho wa siku huyo Singida kafungwa, na pia aina ya mpira waliokutana nao Simba mbele ya Yanga ndio vile vile kama ilivyokuwa kwa Azam, Simba ikashindwa kutandaza mpira zaidi ya kubutua butua uende mbele. Ligi ni mbio ndefu inayohitaji muendelezo wa ubora, kikosi imara kinachofanya uweze kufanya rotation, na mwisho ni kukusanya point kwa kila mechi ni tofauti na ilivyo kwenye ngao ya jamii.Hata wa simba ana nafasi, japo ana ukuta imara sana.
Ndio wachambuzi wenu hao [emoji1787]Mkude kamficha vipi Ngoma, umeangalia mpira upi? Kwanza Mkude kagusa mpira mara ngapi?
Manula mgonjwaWakati kocha wako anajitafuta kutekebisha finishing atakuta tayari Simba imepata muunganiko.
Atapigwa tena halafu awe na kazi nyingine ya kwenda kufanyia kazi madhaifu ya siku hiyo ili ajirekebishe.
Ndo itavyokuwa kama umeshindwa kushinda mechi ya leo ambayo kila kitu kilikuwa upande wenu.
Kujiamini kupita kiasi kumewaponza[emoji1787]Nashauri milingoti ya goli iondolewe ili timu inayochezea mpira bila malengo itangazwe mshindi.Shot on target moja mechi nzima halafu eti wameridhika na performance.Simba jana walikuwa na siku mbaya ofisini na bado mkashindwa kuwafunga. Mpo kwenye sonona na dalili ya kwanza ya sonona ni denial.Ku deny kwamba una tatizo. Kurudia kosa mara 3 na kutegemea matokeo tofauti ni ukichaa. Penalti zote walizopiga Yanga zilifanana kwa kupiga upande mmoja. Pamoja na kumsifia Ali Salum lakini wapigaji walikuwa wabovu sana.Mechi huamuliwa kwa mbinu tofauti.Mechi ya ligi sio sawa na mechi ya mtoano au fainali. The end justifies the means.Mourinho alikuwa bingwa sana wa kukochi mechi za kutafuta bingwa.
Labda tu niambie ni muda gani Simba walicheza mpira hata kwa dakika 8 tu. Kama Mkude hakuweza kumzidi Ngoma inamaana baada ya kutoka Mudathir na kuingia Mkude, Simba walitakiwa wauchukue mchezo. Sasa kama hilo halikutokea hilo maanake bado tatizo lilikuwa pale pale.Ndio wachambuzi wenu hao [emoji1787]
Mtu kaingia dk za mwisho alafu kamficha aliyeanza kipindi cha pili,
Hilo factor umeona upande mmoja pekee? Je umejiuliza swali kuwa ule mpira umechezwa na wachezaji waliofundishwa na kocha ambaye hata miezi mitatu hajafikisha tokea apewe timu.Manula mgonjwa
Enock mgonjwa
Luis hajarud ktk pick yake
Phiri bado hajarud ktk ubora wake
Niishie hapa,
Simba baada ya mechi kadhaa
Kuna mtu atakula 5
Hakika, ila katika kujirekebisha timu zote na makocha zinaweza jirekebisha.Simba ina wachezaji wazuri tu labda wawe na kocha wa hovyo.Ishu ya ukuta kwa timu zote mbili ni zote hazijaruhusu goli, ila kwenye kucheza kitimu Yanga wameonekana wapo kitimu zaidi. Kuna maelewano kwanzia kwa goli kipa, mabeki, viungo hadi kwenye safu ya ushambuliaji. Mechi ya Yanga vs Azam mashabiki wengi waliina Azam ni mbovu kutokana na mpira mbovu wanaocheza na hao hao mashabiki wakatoa maoni kuwa Singida ni timu bora kuliko Azam. Hii analysis imefanywa kwavile Singida kamsumbua Simba huku Azam akionekana kuzidiwa kwa kila kitu na Yanga. Lakini mwisho wa siku huyo Singida kafungwa, na pia aina ya mpira waliokutana nao Simba mbele ya Yanga ndio vile vile kama ilivyokuwa kwa Azam, Simba ikashindwa kutandaza mpira zaidi ya kubutua butua uende mbele. Ligi ni mbio ndefu inayohitaji muendelezo wa ubora, kikosi imara kinachofanya uweze kufanya rotation, na mwisho ni kukusanya point kwa kila mechi ni tofauti na ilivyo kwenye ngao ya jamii.
Sijui hata ulitaka kusema nini? Yaani stamina na control unasema huwezi kupata ukiwa Avic town lakini hao waliokuwa Avic town ndio walikuwa na stamina na control kuliko waliokuwa Uturuki na Tunisia. Timu haibutui mpira hata kama mpira upo golini kwao wanaanza moja moja hadi golini kwa mpinzani. Wee mpira utakuwa unasimuliwaga hauangliiMpira matokea hayo mambo ya control sijui stamina huwezi kuyapata ukiwa avic town.
Huyo huyo Robertinho ameshaiumiza yanga 2 kavu Mayele akimaliza zote 90. Kila mechi ina plan yakeKocha Robertinho atimuliwe Sasa, mnasubiri hadi Yanga iongoze ligi tofauti ya points kumi? Hatupendi makelele huko mbele fanyeni maamuzi magumu si mmeona Kwa macho yenu timu hamna! Simba inacheza kama ndondo cup!
Ligi inaanza timu ya Simba Haina fomesheni Wala possession, na usijidanganye kuwa itabidilika pale ndio uwezo wa Robertinho ulipoishua, Yani dkk moja tu Simba hawawezi kukaa na mpira, sio derby tu hata walipocheza na Singapore Big Stars ulimi nje!
Beki na midfielders wa Simba Kila mmoja anacheza kivyake timu nzima wanakimbia kimbia na kukaba tu, hadi Mkude kaonekana Bado ni Gold!!Kila mchezaji anacheza kivyake timu nzima, hujui mpira Unatoka Kwa nani unaenda Kwa nani ni kujipigia pigia tu aibu sana!
Kibu D anakimbia kimbia na kukukuruka tu kama chizi yuko alone, akijaribu juhudi binafsi aifunge Yanga asifiwe, ila Beki line ya Yanga Kali usipime!
ukweli Simba wameingia mtumbi wa vibwengo , Kwa Robertinho kocha hamna! Huu ni ukweli mchungu, nadhani Kuna fitna Yanga wamefanya kuingilia mchakato wa kocha Simba ili Simba iendelee kuwa mbovu mno kama Jana roho mkononi dkk 90 ni Yanga tu wameshindwa wenyewe no Mayele Jana angekuwepo Simba wangekufa hata nne bila!
Nilikuonya tokea mechi ya ngao ya jamii ulikuwa mbishi ila mwisho wa siku mkatulizwa na mkono.Wakati kocha wako anajitafuta kutekebisha finishing atakuta tayari Simba imepata muunganiko.
Atapigwa tena halafu awe na kazi nyingine ya kwenda kufanyia kazi madhaifu ya siku hiyo ili ajirekebishe.
Ndo itavyokuwa kama umeshindwa kushinda mechi ya leo ambayo kila kitu kilikuwa upande wenu.
Mbumbumbu hilo😂😂😂Nilikuonya tokea mechi ya ngao ya jamii ulikuwa mbishi ila mwisho wa siku mkatulizwa na mkono.