Mashabiki wa Club Africain tukutane hapa maana tuna jambo letu

Baada ya kuwafurusha Kipanga mabao saba, tumepewa hiki kikundi cha Wakongomani wa jangwani wanaoitwa Utopolo.

Tujipange kwa ajili ya sherehe pale kwa Mkapa na hitimisho kule Tunis.
[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…