Mashabiki wa Club Africain tukutane hapa maana tuna jambo letu

Mashabiki wa Club Africain tukutane hapa maana tuna jambo letu

Baada ya kuwafurusha Kipanga mabao saba, tumepewa hiki kikundi cha Wakongomani wa jangwani wanaoitwa Utopolo.

Tujipange kwa ajili ya sherehe pale kwa Mkapa na hitimisho kule Tunis.
[emoji38][emoji38][emoji38]
 
JamiiForums605260976.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom