Mashabiki wa Haji Manara njooni hapa!

Uto mnakera mbona mnashindwa kutaja hata HOJA moja ya HM??


we wasaidie wenzako taja mbili tu?
 
Neno. Sana mkuu mdomo hauwez kuifikisha simba ilipo ni uongo kusadiki kuwa manara kaifikisha simba hapa ilipo. Tujifunze kuwaheshimu watu waliothubutu kutoa kidogo chao
[emoji1756][emoji1756][emoji1756][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
 
Uto mnakera mbona mnashindwa kutaja hata HOJA moja ya HM??


we wasaidie wenzako taja mbili tu?
Tatzo hili swala yanga ndio wanalivalia njuga na kuzidi kufarakanisha na MO naye kapanicapokonywe simu
 
Huwez kuwa rafiki wa adui wa boss wako mzee baba haipo.
 
Sema simba inabidi waje baadhi ya viongozi wamwage ushuuzi wote wa manara
 
Mo amjibu nn haji..? Yaani mo atoke ajibu taarabu atonekana waajabu zaidi. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kumpotezea ni kuwapa kichwa Yanga huyu atachafuliwa na Simba kwa kutumia very normal people,

Ana siri nyingi chafu watu walizihifadhi. Kutokuchafua IMAGE/BRAND ya SIMBA, now that he's out he should learn to keep his mouth shut[emoji850][emoji850]
Hata mimi naamini huyu muda mfupi ana chafuliwa vibaya acha watu wanafukua mafaili waje kiutu uzima na evidence co yy anaongea tu vizibitisho hakuna
 
Hata mimi naamini huyu muda mfupi ana chafuliwa vibaya acha watu wanafukua mafaili waje kiutu uzima na evidence co yy anaongea tu vizibitisho hakuna
Atajuta sooon hata hao GSM na AZAM WATAMKIMBIA
 
Kanjibai Kesha tembeza mpunga kapata watetezi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…