Let us wait and see what will happen.Not yet not so fast
SEma tena yanga asipopita mwaka huu nusu fainali upigwe block ya mwakaπππHapana mkuu... mean wanaiogopa Yanga
Huyo aliongea kauli ni tofauti na huyu mwingine ana idea yake huwezi kukusanya maoni ya kila mtu ukatengeneza seriesIsome comment ya Ezekiel ya pili kulia "They got massive following and always filling the stadium,we need to be stronger there".
KWA KAULI HII ITOSHE KUSEMA MASHABIKI WANAIHOFIA YANGA.
Sema upigwe block simba akipita si una uhakikaπππNi mjinga tu ataamini Simba atapita Kwa Al ahly
ππ
Harudii πππSema upigwe block simba akipita si una uhakikaπππ
Comments za Utopolo hizo...MAMELODI "TULIITAKA SIMBA SIO YANGA"
Mashabiki wa Mamelodi huko SOUTH AFRICA wamesema waliomba sana wakutane na SIMBA sio YANGA
Baadhi ya mashabiki wamesema hawana furaha kupangiwa Yanga.
Mamelodi watakula mnara β
View attachment 2934099
Kamdai ada mwalimu mkuu!Kwa maoni inaonekana wanasikitika kwasababu hawatapata upizani wa kutosha kwa yanga,unajua ukijua mpinzani wako ni mdhaifu sana hauwezi kuwa na furaha kwasababu hatakupa changamoto..tukbuke yanga ndio timu iliyoingia robo final kwa point ndogo sana point 8,pia ndio timu iliyoingia robo final kwa kufungwa sana..ndio maana hawa washabaiki wa MAMELODY hawana furaha kukutana na timu dhaifu
Sahihi mkuuKamdai ada mwalimu mkuu!
Caf champion π ni pesa tupu, ukipata kibonde kama Simba waliopigwa khamsa, thimba wenye desturi ya kuishia robo fainali unaenjoy boli maana unajipigia tu kibonde unachukua pesa.
Mamelodi wanajua Yanga haitabiriki na huimarika jinsi inavyoenda juu na haitakuwa kinyonge yaani itakuwa vita haswa kina Ki Aziz, Pakome na Djigui wakitaka ku shine! Huko hawalali! US Alger walipigwa kwao mbele ya uwanja uliojaa! Yanga hii ni ya kutafuna mifupa yote iliyomshinda thimba kolowizard!
Ingekuwa sio timu basi wangekuwa wavuvi wa πΈπΈSasa horoya nayo ni timu mkuu
Ikiwa ndivyo hivyo basi na CAFCL inahusisha tuvikundi twa watu wa mitaani among πΈπΈHoroya kalikua ni kakundi ka watu wa mitaani