Mashabiki wa Morocco ninaamini mmeshamaliza kupakia mizigo yenu, ndege inaondoka baada ya swala ya Isha

Acha kupayuka ukiongozwa na dini wewe dogo. Morocco ni timu nzuri ila wanatembea kwenye bahati kubwa sana. Wamekoswa mno leo na lile ni jambo hatarishi. Sijui ni how long their luck will hold.
Sasa kwenye mpira kosa kosa si kawaida we ulitaka wasishambuliwe kwani wao hawajakosa magoli tena wao wamekosa mengi kuliko ureno unabahatisha kaa na chuki zake na Morocco anabeba ndoo jiandae kisaikolojia kwenye mpira hakuna neno bahati
 
Acha kupayuka ukiongozwa na dini wewe dogo. Morocco ni timu nzuri ila wanatembea kwenye bahati kubwa sana. Wamekoswa mno leo na lile ni jambo hatarishi. Sijui ni how long their luck will hold.
Kwani mpira si mchezo wa makosa
 
Acha kupayuka ukiongozwa na dini wewe dogo. Morocco ni timu nzuri ila wanatembea kwenye bahati kubwa sana. Wamekoswa mno leo na lile ni jambo hatarishi. Sijui ni how long their luck will hold.
Ila waafrika dini zimetufanya kuwa wapumbavu sasa hapo dini imeingiaje mkuu?
Kama ni dini hata hizo timu za ulaya mnazo shabikia kama Uingereza na Ufaransa zimejaa wachezaji wa kiislam.
 
haya bado una hayo mawazo?
 
Umechelewa kutoa maoni haya. Au ndio kusema hukuuona huu uzi kabla ya mechi?
 
Acha kupayuka ukiongozwa na dini wewe dogo. Morocco ni timu nzuri ila wanatembea kwenye bahati kubwa sana. Wamekoswa mno leo na lile ni jambo hatarishi. Sijui ni how long their luck will hold.
Mzee mimi sijui mpira ila wewe sasa ni kiazi kwenye mpira. Huwa sichangii mada za mpira ila nimekuja hapa kukwambia achana na hizi mambo hujui kitu. Kwanza hii WC unatazama au unaendeshwa na kumbukumbu za kihistoria
 
Mzee mimi sijui mpira ila wewe sasa ni kiazi kwenye mpira. Huwa sichangii mada za mpira ila nimekuja hapa kukwambia achana na hizi mambo hujui kitu. Kwanza hii WC unatazama au unaendeshwa na kumbukumbu za kihistoria
Kijana huwa naheshimu michango yako kuhusu ndege ila kwenye mpira usiwe mwepesi kuongea na wazoefu kama sisi. Narudia tena Morocco ni timu nzuri ila inatembea kwenye bahati ambayo sijui wataipata mpaka lini.
 
Umechelewa kutoa maoni haya. Au ndio kusema hukuuona huu uzi kabla ya mechi?
Waliuona uzi wakaukimbia halafu wamekuja kuuvamia baada ya kupita huku wakiwa wamekoswakoswa sana. Hawajiamini.
 
Sasa kwenye mpira kosa kosa si kawaida we ulitaka wasishambuliwe kwani wao hawajakosa magoli tena wao wamekosa mengi kuliko ureno unabahatisha kaa na chuki zake na Morocco anabeba ndoo jiandae kisaikolojia kwenye mpira hakuna neno bahati
Umezidiwa na mapenzi ya dini ndio maana unasema Portugal kakoswa zaidi.
 
Ila waafrika dini zimetufanya kuwa wapumbavu sasa hapo dini imeingiaje mkuu?
Kama ni dini hata hizo timu za ulaya mnazo shabikia kama Uingereza na Ufaransa zimejaa wachezaji wa kiislam.
Mimi nimekuwa fan wa zidane tangu nimfahamu mwaka 1998 na wala dini yake haijawahi kuwa kikwazo. Nitasema ukweli siku zote. Narudia tena Morocco ni timu nzuri ila inatembea kwenye bahati ambayo sijui wataipata mpaka lini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…