Waterloo
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 25,356
- 38,922
Sasa mbona kila ukiongea kitaalamu unaishia kupigwa d.ole si bora ungekua unanyamaza?Huwa sibeti kabisa. Mimi naongea kitaalam kwa kuangalia mpira kiufundi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mbona kila ukiongea kitaalamu unaishia kupigwa d.ole si bora ungekua unanyamaza?Huwa sibeti kabisa. Mimi naongea kitaalam kwa kuangalia mpira kiufundi.
ungekuwa unaongea kitaalamu usingeleta upuuzi wako;binafsi nilikuwa na waswas na forward ila kwa leo walivoingia ni tofauti na juzi,acha ujuajiWewe una mihemko ya kidini. Mpira una utaalamu wake na ndio ninaouongelea hapa.
Uliniita mpumbavu, nikatulia kimya sababu huwa sipendi lugha ya matusi kwenye kujibu hoja. Ila mpaka hapa umeshajiona umetawaliwa na ushabiki. Kila mtu anakushangaa wewe. Na mwisho wa siku umetulia kama maji mtungini. Jifunze kuzuia hisia za kishabiki.Yule jamaa anakosa sana magoli hata kwenye mechi na Spain alikosa nafasi za wazi. Ila lango la Morocco limekuwa kwenye presha kubwa tangu mwanzo wa mchezo mpaka mwisho.
Leo wameweza ku-hold lakini kwa staili ile sijui kama wataweza kufanikiwa kwa kucheza chini ya mashambulizi na presha kubwa vile.
Sisi ngozi nyeusi ni wapumbavu sanaIla waafrika dini zimetufanya kuwa wapumbavu sasa hapo dini imeingiaje mkuu?
Kama ni dini hata hizo timu za ulaya mnazo shabikia kama Uingereza na Ufaransa zimejaa wachezaji wa kiislam.
Mimi naangalia mpira wowote na kuandika kitaalamu. Angalia hapa niliwasifia mabwana zako:Uliniita mpumbavu, nikatulia kimya sababu huwa sipendi lugha ya matusi kwenye kujibu hoja. Ila mpaka hapa umeshajiona umetawaliwa na ushabiki. Kila mtu anakushangaa wewe. Na mwisho wa siku umetulia kama maji mtungini. Jifunze kuzuia hisia za kishabiki.
Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
Wewe kiazi acha kuropoka ovyo. Hapa niliwasifia Saudi Arabia mbona hukupayuka?Sisi ngozi nyeusi ni wapumbavu sana
Huyu bwege nazi tu, achana nae
Utapata tabu sana na uislam ndugu yangu.Dole wamepigwa Qatar, Iran, Saudi Arabia na Tunisia.
Hapa sikuona ukileta mdomo wako kwasababu niliwasifia mabwana zako. Mimi siongozwi na itikadi kuchagua ubora wa mechi.Utapata tabu sana na uislam ndugu yangu.
Ila nmeangalia stat hapa ni kama waliwazid france kwa kila kituChief-Mkwawa kurlzawa
Nadhani mtakuwa mmenielewa sasa. Morocco hakuwahi kukutana na pressing za maana. Alicheza na wapiga pasi na sio waenda kasi.
Mkuu unajua hata maana ya pressing? Inahuasiana nini na pasi na kasi?Chief-Mkwawa kurlzawa
Nadhani mtakuwa mmenielewa sasa. Morocco hakuwahi kukutana na pressing za maana. Alicheza na wapiga pasi na sio waenda kasi.
Msenge kweli wewe, hujui Kuna mechi ya mshindi wa tatu?Ndugu zangu kila lenye mwanzo halikosi kuwa na mwisho. Mara baada ya adhana jioni ya leo majira ya saa mbili kasorobo tutakuwa tunatoka uwanjani na tukimaliza kuswali ndege itakuwa inaondoka.
Tunawatakia safari njema na tutakuja marakesh kutalii hivi karibuni.
Wenzako wanajifunza kuwekea akiba ya manenoNaona kijana umekuja kuropoka baada ya mechi kuisha.