Mashabiki wa mpira ni watu wanafiki Sana,,..

mugah di matheo

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2018
Posts
6,307
Reaction score
12,410
Walivyokuwa wanamprovoke Maguire pale United mambo yalipokua hayaendi sawa walijua ndio mwisho,Saivi gari limebadilika wanajisahaulisha..

Simba vs P.dynamo mashabiki walibeza Sub ya Bocco alivyofanya jambo wakashangilia.

Aziz ki walimbeza Leo kafunga hat trick wanamuona mtu...

Ilishamtokea kibu pia Ozil pale ujeruman na wengine wengi..
Mashabiki hawasimami na wachezaji kipindi Cha mpito
 
Siyo mashabiki wa mpira tu bali ni binadamu wote kwa ujumla wao. Hata wewe hapo pata matatizo ya kiafya, kiuchumi au vinginevyo. Marafiki, ndugu, mpenzi na hata mke na watoto wanaweza kukukimbia. Ila ukinyanyuka utawaona wanaanza kujirudisha pole pole.

Mtu pekee anayeweza kuwa nawe katika hali zote, kwa kiasi kikubwa, ni Bi. Mkubwa wako tu basi. Na kama bado unaye hakikisha leo hii hii unampigia simu na kumwambia kuwa unampenda sana. Akija kuondoka huyo basi jua kuwa uko peke yako hapa duniani!


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…