Gucci gang
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 2,682
- 5,277
Aliesema nguvu za ronaldo ni sawa na mguu wa messi na sisi team cr7 tusemr kichwa cha cr7 ni sawa sawa na nn cha messi?Kiufupi wote wako vizuri
Lakini mimi huwa naangalia sana hadi zile clips wanazofanyaga training kwenye camps zao
Nimegundua Ronaldo ni mtu anayetrain sana na anayetumia nguvu nyingi sana kujifunza mpira kwa kufanya mazoezi kwa muda mrefu hata akiwa nyumbani kwake wakati Messi huwa hatumii nguvu na wala siyo mtu wa mazoezi sana
Na hata Ronaldo naturally ni right footed ila hiyo kuchezea miguu miwili ni ile alijilazimisha tu kujua kutumia na left foot ila Messi hajataka hata kupoteza muda kujifunza kutumia right foot yeye na ule ule mguu wake wa kushoto amefanya maajabu mengi
Pique aliwahi kuulizwa nani ni bora kati ya Ronaldo na Messi akasema "to me Ronaldo is the best of all humans but Messi is not human" (in football obviously) yaani hapo ni sawa na kusema "Ronaldo is the king of football but Messi is the god of football"
Mbappe aliwahi kunukuliwa akisema "i wish i had Neymar's right foot, Messi's left foot, Ronaldo's mentality and Buffon's class" ili kuwa the best footballer the world has ever seen
Na kuna mdau mmoja aliwahi kusema "nguvu za Ronaldo mwili mzima ni sawa na nguvu za mguu wa kushoto wa Messi"
Kwahiyo kwa kifupi naweza kusema kwamba Ronaldo anaujua mpira ila Messi mpira unamjua
Ila mimi wote nawakubali na ni shabiki yao wote maana wote maajabu yao nimeyaona
Umeanza lini kufuatilia mpira wa miguu mkuu?Naona Mnamzungumzia Messi Wakati DiMaria ndo Kaipa Ubingwa Argentina.
Mzee em nawewe Google uone kama inaleta majibu tofauti upost hapaGoogle ya Buza hii hivi wewe Kati ya Messi na Ronaldo Nani anaichezesha timu yake?
Nani akikosekana kwenye timu timu yake haipati matokeo?
Hamuoni hata haya kusema eti Messi yupo kwenye timu ambayo amezungukwa na wachezaji wazuri haya angalia Man of the match,Goals na maasist yakutosha na Messi ndo anatengeneza nafasi nyingi Barcelona
Ronaldo mzee wa tapins to yeye ndo anategemea wachezaji wenzake wamfanyie kazi yeye amalizie tu
Messi kombe la kimataifa anayo mawiliNyie rukeni rukeni humuu team messi
Ila mfungaji wa muda wote mnamfahamu
Mtoa assist wa muda wote mnamfahamu
Mwenye rekodi ya magoli mengi ndani ya muda mfupi hapo hispania mnamjua
Rekodi hio hio ireplicate italia mnamjua
Haya maswala ya ballon d'or mimi siwezi kuyaangalia maana ni kura na kura zinaweza kumtoa mtu sahihi kwenye kitu anachostahili refer to sneijder, xavi ,iniesta and so...
Kwan hilo goli la copa amefunga yeye?
Sasa kwann mumtukuze kiasi hiki...
Kombe moja la kitaifa mnapiga keleeeele watu wakina cr7 wana mawili
Goal ameshinda di maria, lakin messi alikua uwanjan akipambana had dakika ya 90+Nyie rukeni rukeni humuu team messi
Ila mfungaji wa muda wote mnamfahamu
Mtoa assist wa muda wote mnamfahamu
Mwenye rekodi ya magoli mengi ndani ya muda mfupi hapo hispania mnamjua
Rekodi hio hio ireplicate italia mnamjua
Haya maswala ya ballon d'or mimi siwezi kuyaangalia maana ni kura na kura zinaweza kumtoa mtu sahihi kwenye kitu anachostahili refer to sneijder, xavi ,iniesta and so...
Kwan hilo goli la copa amefunga yeye?
Sasa kwann mumtukuze kiasi hiki...
Kombe moja la kitaifa mnapiga keleeeele watu wakina cr7 wana mawili
Team mess bwana akili hamna. Mwakani ni world cup subirini tuone maajabu yenu
Ni sawa na kidole gumba cha mguu wa Kushoto wa MessiHuyo
Aliesema nguvu za ronaldo ni sawa na mguu wa messi na sisi team cr7 tusemr kichwa cha cr7 ni sawa sawa na nn cha messi?
Hajafunga yeye lakini yeye ndo top scorer na ndo mchezaji Bora wa tournamentNyie rukeni rukeni humuu team messi
Ila mfungaji wa muda wote mnamfahamu
Mtoa assist wa muda wote mnamfahamu
Mwenye rekodi ya magoli mengi ndani ya muda mfupi hapo hispania mnamjua
Rekodi hio hio ireplicate italia mnamjua
Haya maswala ya ballon d'or mimi siwezi kuyaangalia maana ni kura na kura zinaweza kumtoa mtu sahihi kwenye kitu anachostahili refer to sneijder, xavi ,iniesta and so...
Kwan hilo goli la copa amefunga yeye?
Sasa kwann mumtukuze kiasi hiki...
Kombe moja la kitaifa mnapiga keleeeele watu wakina cr7 wana mawili
Mwambie huyoMessi kombe la kimataifa anayo mawili
Nigoogle kwa mm mpira siangalii? Wewe umeenda kugoogle opinions za watuukianza kuangalia mpira utajua Nani Ni boraMzee em nawewe Google uone kama inaleta majibu tofauti upost hapa
Kitu pekee ambacho Messi anamzidi Ronaldo ni ballon d or vinginevyo vyote kaachwa mbali sanaHaya Sasa Messi huyooo kabeba kombe akiwa na timu ya taifa
Mlikua mnamuona Messi si lolote na wala si chochote kwa C.Ronaldo,kwasababu C.Ronaldo alishinda EURO mkawa mnamponda Messi kwakua hajashinda taji lolote akiwa na timu yake ya Taifa
Najua mtataka Messi afanye Kama Ronaldo kuhama Hama ligi [emoji23] huu ni upuuzi nawaambieni hivi MESSI hahitaji kuhamia ligi yoyote ile ili athibitishe uwezo wake.
Sasa sisi team Messi tunawadai ninyi team Ronaldo Balon'Dor ya 6 na tunataka mchezaji wenu aipeleke timu yake ya taifa fainali tu za kombe la dunia.
Daadeki zenu nyinyi.
View attachment 1849190
Team Messi msisahau goal la ushindi alifunga Di Maria
Ki messi kilikua kinaruka ruka tu uwanjani
Kitu pekee ambacho Messi anamzidi Ronaldo ni ballon d or vinginevyo vyote kaachwa mbali sana
Kila visababu mtatuletea, kwanza mlikua mnamsema sana hana kombe timu ya taifa ronaldo analo, sasa messi ametwaa akiwa best player, mfungaji bora, assist 4, man of the match mara 4 n.k..na amepambana dakika zote kama kawaida yake, mechi ya colombia aliumizwa na kuvuja damu but aliendelea kupambania taifa lake mpaka wameingia final.
Ronaldo kwenye final hajamaliza first half akatolewa.
Ballon d ore hiyoooo ya 7 inakujaaaa.
View attachment 1851160
Mwaka huu mtatukoma tu, tunasubiri na world cup
Bangi usivutie chooni...eti wachezaji wa ligi mbalimbali...haaaahaaaaaaSawa sasa ahame ligi akachukue kombe huko. Ronaldo ana kila kombe ligi mbali mbali
Ballon aiseee labda mbebwe mbeleko at its best. Messi hastahili ballon kuna wachezaji ligi mbali mbali huko wanastahili ballon
Bangi usivutie chooni...eti wachezaji wa ligi mbalimbali...haaaahaaaaaa
Sawa sasa ahame ligi akachukue kombe huko. Ronaldo ana kila kombe ligi mbali mbali
Ballon aiseee labda mbebwe mbeleko at its best. Messi hastahili ballon kuna wachezaji ligi mbali mbali huko wanastahili ballon