Mashabiki wa Ronaldo njooni huku

Mashabiki wa Ronaldo njooni huku

Nyie rukeni rukeni humuu team messi
Ila mfungaji wa muda wote mnamfahamu
Mtoa assist wa muda wote mnamfahamu
Mwenye rekodi ya magoli mengi ndani ya muda mfupi hapo hispania mnamjua
Rekodi hio hio ireplicate italia mnamjua
Haya maswala ya ballon d'or mimi siwezi kuyaangalia maana ni kura na kura zinaweza kumtoa mtu sahihi kwenye kitu anachostahili refer to sneijder, xavi ,iniesta and so...
Kwan hilo goli la copa amefunga yeye?
Sasa kwann mumtukuze kiasi hiki...
Kombe moja la kitaifa mnapiga keleeeele watu wakina cr7 wana mawili
 
Huyo
Kiufupi wote wako vizuri

Lakini mimi huwa naangalia sana hadi zile clips wanazofanyaga training kwenye camps zao

Nimegundua Ronaldo ni mtu anayetrain sana na anayetumia nguvu nyingi sana kujifunza mpira kwa kufanya mazoezi kwa muda mrefu hata akiwa nyumbani kwake wakati Messi huwa hatumii nguvu na wala siyo mtu wa mazoezi sana

Na hata Ronaldo naturally ni right footed ila hiyo kuchezea miguu miwili ni ile alijilazimisha tu kujua kutumia na left foot ila Messi hajataka hata kupoteza muda kujifunza kutumia right foot yeye na ule ule mguu wake wa kushoto amefanya maajabu mengi

Pique aliwahi kuulizwa nani ni bora kati ya Ronaldo na Messi akasema "to me Ronaldo is the best of all humans but Messi is not human" (in football obviously) yaani hapo ni sawa na kusema "Ronaldo is the king of football but Messi is the god of football"

Mbappe aliwahi kunukuliwa akisema "i wish i had Neymar's right foot, Messi's left foot, Ronaldo's mentality and Buffon's class" ili kuwa the best footballer the world has ever seen

Na kuna mdau mmoja aliwahi kusema "nguvu za Ronaldo mwili mzima ni sawa na nguvu za mguu wa kushoto wa Messi"

Kwahiyo kwa kifupi naweza kusema kwamba Ronaldo anaujua mpira ila Messi mpira unamjua

Ila mimi wote nawakubali na ni shabiki yao wote maana wote maajabu yao nimeyaona
Aliesema nguvu za ronaldo ni sawa na mguu wa messi na sisi team cr7 tusemr kichwa cha cr7 ni sawa sawa na nn cha messi?
 
Google ya Buza hii hivi wewe Kati ya Messi na Ronaldo Nani anaichezesha timu yake?

Nani akikosekana kwenye timu timu yake haipati matokeo?

Hamuoni hata haya kusema eti Messi yupo kwenye timu ambayo amezungukwa na wachezaji wazuri haya angalia Man of the match,Goals na maasist yakutosha na Messi ndo anatengeneza nafasi nyingi Barcelona

Ronaldo mzee wa tapins to yeye ndo anategemea wachezaji wenzake wamfanyie kazi yeye amalizie tu
Mzee em nawewe Google uone kama inaleta majibu tofauti upost hapa
 
Nyie rukeni rukeni humuu team messi
Ila mfungaji wa muda wote mnamfahamu
Mtoa assist wa muda wote mnamfahamu
Mwenye rekodi ya magoli mengi ndani ya muda mfupi hapo hispania mnamjua
Rekodi hio hio ireplicate italia mnamjua
Haya maswala ya ballon d'or mimi siwezi kuyaangalia maana ni kura na kura zinaweza kumtoa mtu sahihi kwenye kitu anachostahili refer to sneijder, xavi ,iniesta and so...
Kwan hilo goli la copa amefunga yeye?
Sasa kwann mumtukuze kiasi hiki...
Kombe moja la kitaifa mnapiga keleeeele watu wakina cr7 wana mawili
Messi kombe la kimataifa anayo mawili
 
Nyie rukeni rukeni humuu team messi
Ila mfungaji wa muda wote mnamfahamu
Mtoa assist wa muda wote mnamfahamu
Mwenye rekodi ya magoli mengi ndani ya muda mfupi hapo hispania mnamjua
Rekodi hio hio ireplicate italia mnamjua
Haya maswala ya ballon d'or mimi siwezi kuyaangalia maana ni kura na kura zinaweza kumtoa mtu sahihi kwenye kitu anachostahili refer to sneijder, xavi ,iniesta and so...
Kwan hilo goli la copa amefunga yeye?
Sasa kwann mumtukuze kiasi hiki...
Kombe moja la kitaifa mnapiga keleeeele watu wakina cr7 wana mawili
Goal ameshinda di maria, lakin messi alikua uwanjan akipambana had dakika ya 90+

Cr7 final euro alicheza takribani dakika 15-20
Watu wakiwa uwanjani wanapambana
 
Wana taarifa kua Cris keshabeba shuzi lake la dhahabu huko😂😂😂😂

4 games
5 goals

Talk your stupidity shit!!!😂😂😂😂😂
 
Nyie rukeni rukeni humuu team messi
Ila mfungaji wa muda wote mnamfahamu
Mtoa assist wa muda wote mnamfahamu
Mwenye rekodi ya magoli mengi ndani ya muda mfupi hapo hispania mnamjua
Rekodi hio hio ireplicate italia mnamjua
Haya maswala ya ballon d'or mimi siwezi kuyaangalia maana ni kura na kura zinaweza kumtoa mtu sahihi kwenye kitu anachostahili refer to sneijder, xavi ,iniesta and so...
Kwan hilo goli la copa amefunga yeye?
Sasa kwann mumtukuze kiasi hiki...
Kombe moja la kitaifa mnapiga keleeeele watu wakina cr7 wana mawili
Hajafunga yeye lakini yeye ndo top scorer na ndo mchezaji Bora wa tournament

FB_IMG_1626104192094.jpg
 
Mzee em nawewe Google uone kama inaleta majibu tofauti upost hapa
Nigoogle kwa mm mpira siangalii? Wewe umeenda kugoogle opinions za watuukianza kuangalia mpira utajua Nani Ni bora
 
Haya Sasa Messi huyooo kabeba kombe akiwa na timu ya taifa

Mlikua mnamuona Messi si lolote na wala si chochote kwa C.Ronaldo,kwasababu C.Ronaldo alishinda EURO mkawa mnamponda Messi kwakua hajashinda taji lolote akiwa na timu yake ya Taifa

Najua mtataka Messi afanye Kama Ronaldo kuhama Hama ligi [emoji23] huu ni upuuzi nawaambieni hivi MESSI hahitaji kuhamia ligi yoyote ile ili athibitishe uwezo wake.

Sasa sisi team Messi tunawadai ninyi team Ronaldo Balon'Dor ya 6 na tunataka mchezaji wenu aipeleke timu yake ya taifa fainali tu za kombe la dunia.

Daadeki zenu nyinyi.

View attachment 1849190
Kitu pekee ambacho Messi anamzidi Ronaldo ni ballon d or vinginevyo vyote kaachwa mbali sana
 
Team Messi msisahau goal la ushindi alifunga Di Maria

Ki messi kilikua kinaruka ruka tu uwanjani

Kila visababu mtatuletea, kwanza mlikua mnamsema sana hana kombe timu ya taifa ronaldo analo, sasa messi ametwaa akiwa best player, mfungaji bora, assist 4, man of the match mara 4 n.k..na amepambana dakika zote kama kawaida yake, mechi ya colombia aliumizwa na kuvuja damu but aliendelea kupambania taifa lake mpaka wameingia final.
Ronaldo kwenye final hajamaliza first half akatolewa.


Ballon d ore hiyoooo ya 7 inakujaaaa.
Screenshot_20210712-174237_Instagram.jpg


Mwaka huu mtatukoma tu, tunasubiri na world cup
 
Sawa sasa ahame ligi akachukue kombe huko. Ronaldo ana kila kombe ligi mbali mbali

Ballon aiseee labda mbebwe mbeleko at its best. Messi hastahili ballon kuna wachezaji ligi mbali mbali huko wanastahili ballon
Kila visababu mtatuletea, kwanza mlikua mnamsema sana hana kombe timu ya taifa ronaldo analo, sasa messi ametwaa akiwa best player, mfungaji bora, assist 4, man of the match mara 4 n.k..na amepambana dakika zote kama kawaida yake, mechi ya colombia aliumizwa na kuvuja damu but aliendelea kupambania taifa lake mpaka wameingia final.
Ronaldo kwenye final hajamaliza first half akatolewa.


Ballon d ore hiyoooo ya 7 inakujaaaa.
View attachment 1851160

Mwaka huu mtatukoma tu, tunasubiri na world cup
 
Sawa sasa ahame ligi akachukue kombe huko. Ronaldo ana kila kombe ligi mbali mbali

Ballon aiseee labda mbebwe mbeleko at its best. Messi hastahili ballon kuna wachezaji ligi mbali mbali huko wanastahili ballon
Bangi usivutie chooni...eti wachezaji wa ligi mbalimbali...haaaahaaaaaa
 
mpemba hujaona euro,uefa etc au wewe umeona copa na la liga pekee?(hata la liga yenyewe hajanyayua msimu huu)

Too much know na unacheka kabisa aiseee
Bangi usivutie chooni...eti wachezaji wa ligi mbalimbali...haaaahaaaaaa
 
Sawa sasa ahame ligi akachukue kombe huko. Ronaldo ana kila kombe ligi mbali mbali

Ballon aiseee labda mbebwe mbeleko at its best. Messi hastahili ballon kuna wachezaji ligi mbali mbali huko wanastahili ballon

Wataje hao wanaositahili uweke na vigezo vyao..

kuhusu ligi kumbuka
Leo Messi level with Harry Kane on goals scored against Premier League top 6 - and he's never left La Liga
6 months ago, Maggie K.
The Argentine has scored 26 goals against the Premier League best teams - all of them have come in the Champions League.

Leo Messi is fourth-best in goals scored against the Premier League top-6 sides, level with Tottenham's marksman Harry Kane on 26 goals.

This number is truly mind-blowing considering the Argentine has never played in the Premier League - all these goals have arrived in the Champions League.

Here are Leo Messi's numbers against each side from the Premier League top 6:

Arsenal: 9 goals in 6 games
Manchester City: 6 goals in 6 games
Manchester United: 4 goals in 6 games
Chelsea: 3 goals in 10 games
Liverpool: 2 goals in 4 games
Tottenham: 2 goals in 2 games



Ukija timu ya taifa anafanya vizuri sana, club yake anafanya vizuri, world cup kaipeleka timu yake mara moja, na copa amerika mara tatu ila wenzie walimuangusha...sasa unataka ahame aende wapi wakati club kubwa duniani ni Barcelona na kila kitu anachohitajia pale wanampatia na mshahara mnono! Huko unakotaka aende wataweza kumhudumia!!!


Ronaldo amekimbilia timu yenye uhakika wa kila mwaka kubeba vikombe (Juventus) kwanini asiende Napoli au Ac Milan akawape vikombe! Anajua ataibika huko....
 
Back
Top Bottom