Mashabiki wa Simba SC tusipoenda Kuwapokea Wachezaji wakirejea kutoka Morocco tutawakosea sana

Mashabiki wa Simba SC tusipoenda Kuwapokea Wachezaji wakirejea kutoka Morocco tutawakosea sana

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Tusidanganyane hakuna Mtu ambaye Jana aliangalia Mpira na alidhani Simba SC ingetoka Salama kwa Waarabu ( tena Mabingwa Watetezi Wydad Casablanca FC ) hadi Kufungwa Goli Moja na aggregate kuwa 1 - 1 mpaka dakika 90.

Watu wengi ( hata Wanasimba Wenyewe ) achilia mbali wale Wendawazimu FC Wengine walijua Simba SC Jana ingefungwa idadi Kubwa ya Magoli ila haikuwa hivyo.

Hivyo basi Wanachama na Wapenzi wa Simba SC tutafanya Kosa kubwa sana kama tusipoenda Kuwapokea Mashujaa wetu Simba SC pale JNIA Terminal IIII wakirejea kutoka nchini Morocco.

Asanteni sana na Shukran mno Wachezaji wa Simba SC kwa Kuonyesha Ukomavu wenu na Kufa Kiume kweli.
 
Dah GENTAMYCINE andaa logistics za kupata Coaster Tano, jaza watu, mkawapokee Simba.

Dar nzima tukienda kuwapokea Simba si ndio utakuwa utaahira mkubwa zaidi? Uharibifu mkubwa utatokea uwanja wa ndege na kila sehemu halaiki itakakopita
 
Tusidanganyane hakuna Mtu ambaye Jana aliangalia Mpira na alidhani Simba SC ingetoka Salama kwa Waarabu ( tena Mabingwa Watetezi Wydad Casablanca FC ) hadi Kufungwa Goli Moja na aggregate kuwa 1 - 1 mpaka dakika 90.

Watu wengi ( hata Wanasimba Wenyewe ) achilia mbali wale Wendawazimu FC Wengine walijua Simba SC Jana ingefungwa idadi Kubwa ya Magoli ila haikuwa hivyo.

Hivyo basi Wanachama na Wapenzi wa Simba SC tutafanya Kosa kubwa sana kama tusipoenda Kuwapokea Mashujaa wetu Simba SC pale JNIA Terminal IIII wakirejea kutoka nchini Morocco.

Asanteni sana na Shukran mno Wachezaji wa Simba SC kwa Kuonyesha Ukomavu wenu na Kufa Kiume kweli.
Kufa ni kufa tu hakuna Cha kufa kiume au kufa kike. Wewe mwenyewe ulisema tusimlaumu kipa Kwa magoli yatakayofungwa kule saizi unajipendekeza. Wametoka na imeisha msubiri kombe la Azam labda mtaambulia chochote
 
Tusidanganyane hakuna Mtu ambaye Jana aliangalia Mpira na alidhani Simba SC ingetoka Salama kwa Waarabu ( tena Mabingwa Watetezi Wydad Casablanca FC ) hadi Kufungwa Goli Moja na aggregate kuwa 1 - 1 mpaka dakika 90.

Watu wengi ( hata Wanasimba Wenyewe ) achilia mbali wale Wendawazimu FC Wengine walijua Simba SC Jana ingefungwa idadi Kubwa ya Magoli ila haikuwa hivyo.

Hivyo basi Wanachama na Wapenzi wa Simba SC tutafanya Kosa kubwa sana kama tusipoenda Kuwapokea Mashujaa wetu Simba SC pale JNIA Terminal IIII wakirejea kutoka nchini Morocco.

Asanteni sana na Shukran mno Wachezaji wa Simba SC kwa Kuonyesha Ukomavu wenu na Kufa Kiume kweli.
Wewe acha kujifariji umekufa na kutupwa nje ya michuano, na miaka yote unayoingia robo fainali uwezo wa timu yako unakuwa umeishia hapo, Ulipigwa na kaizer chiefs maneno yakawa yale yale ''tumetolewa lakini tumejitahidi'' na kaizer akasonga mbele, ukapigwa na Orando pirates maneno yakawa ni yale yale, Orando akavuka, Sasa umepigwa na Whydad unasema mkawapokee wachezaji uwanja wa ndege kwakuwa kombe lenu la robo fainali mmelibeba tiyali!!! Acha kujiaibisha bwana!
 
Tusidanganyane hakuna Mtu ambaye Jana aliangalia Mpira na alidhani Simba SC ingetoka Salama kwa Waarabu ( tena Mabingwa Watetezi Wydad Casablanca FC ) hadi Kufungwa Goli Moja na aggregate kuwa 1 - 1 mpaka dakika 90.

Watu wengi ( hata Wanasimba Wenyewe ) achilia mbali wale Wendawazimu FC Wengine walijua Simba SC Jana ingefungwa idadi Kubwa ya Magoli ila haikuwa hivyo.

Hivyo basi Wanachama na Wapenzi wa Simba SC tutafanya Kosa kubwa sana kama tusipoenda Kuwapokea Mashujaa wetu Simba SC pale JNIA Terminal IIII wakirejea kutoka nchini Morocco.

Asanteni sana na Shukran mno Wachezaji wa Simba SC kwa Kuonyesha Ukomavu wenu na Kufa Kiume kweli.
wanastahili kupokewa kabisa
 
Kwenda kuwapokea ni sahihi kabisa maana wametimiza malengo yenu ya kutetea kombe lenu la robo fainali [emoji23]
 
Ntawapongeza Simba kwa kuhimili mziki wa mwarabu ambae alikua bora sana dhidi yake! Ndo maana hata vibe walilonalo Simba ni Kwa sababu hawajapigwa miti mingi

Lkn suala la kuishia robo fainali sioni maajabu makubwa maana washhafanya hvo zaidi ya mara tatu kama sikosei
 
Wewe acha kujifariji umekufa na kutupwa nje ya michuano, na miaka yote unayoingia robo fainali uwezo wa timu yako unakuwa umeishia hapo, Ulipigwa na kaizer chiefs maneno yakawa yale yale ''tumetolewa lakini tumejitahidi'' na kaizer akasonga mbele, ukapigwa na Orando pirates maneno yakawa ni yale yale, Orando akavuka, Sasa umepigwa na Whydad unasema mkawapokee wachezaji uwanja wa ndege kwakuwa kombe lenu la robo fainali mmelibeba tiyali!!! Acha kujiaibisha bwana!
We huwa unaishia wapi???ukijibu nitag
 
Babu Onyango ni huyo wa mwisho 😂😂😂😂😂
20230429_123513.jpg
 
Back
Top Bottom