britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
Habari za wanandugu hapa!
Wakiwa wamekufa wanajeshi zaidi ya 10,000 wa Urusi na 2600 wa Ukraine na raia 5200 wa Ukraine, Hakuna aliyeamini Kama Kuna Kifaru cha Urusi kitaguswa wala hakuna aliyeamini kama Urusi ataruhusu hata majeshi wake mmoja kuuwawa huko vitani, maana wengi walilibeka kiushabiki na kujipa scale ya 72 hours kufika Kiev na kuangusha Serikali, wakati tunaongea Hapa kuna watu walisema bwana mkubwa Putin kashaweza zana on high alert na mbaya zaidi yeyote atakayeingilia vita ataona cha mtema kuni Hahaha sasa hakuna cha mtema kuni wala nyasi, Leo hii hata Poland anaingilia vita anatoa msaada UKRAINE , hata Estonia kanchi kadogo kanatia msaada wa vifaa na majeshi, sasa Mbona hasemi tena
Okay ndo maana tunasema
Maisha yapo katika kasi yake inayotuacha kila siku.
Wakati vita inaanza tulikua tunasikia Russia hivi, Russia vile. Yaani ilikuwa kama vile wameenda Ukraine kwenye matembezi ya Mshikamano au mbio za mwenge au kwenye Goba Marathon...ilikuwa kama vile Ukraine wote wameikumbia nchi baada ya kusikia Russia wanakuja.
Baada ya wiki moja kupita na kibao kugeuka, taarifa zikabadilika, mara Russia anashinikiza kufanyika kwa mazungumzo ya kumaliza vita, mara wameanza kufa, mara kile.
Watu walewale waliokua wakiwacheka Ukraine, wakaanza kuzishambulia medias zilezile kuwa zinapotosha.
Sasa hivi hawataki tena kusikia habari za vita hadi iwahakikishia kwanza habari hiyo itaelezea mafanikio ya Russia
Britanicca
Wakiwa wamekufa wanajeshi zaidi ya 10,000 wa Urusi na 2600 wa Ukraine na raia 5200 wa Ukraine, Hakuna aliyeamini Kama Kuna Kifaru cha Urusi kitaguswa wala hakuna aliyeamini kama Urusi ataruhusu hata majeshi wake mmoja kuuwawa huko vitani, maana wengi walilibeka kiushabiki na kujipa scale ya 72 hours kufika Kiev na kuangusha Serikali, wakati tunaongea Hapa kuna watu walisema bwana mkubwa Putin kashaweza zana on high alert na mbaya zaidi yeyote atakayeingilia vita ataona cha mtema kuni Hahaha sasa hakuna cha mtema kuni wala nyasi, Leo hii hata Poland anaingilia vita anatoa msaada UKRAINE , hata Estonia kanchi kadogo kanatia msaada wa vifaa na majeshi, sasa Mbona hasemi tena
Okay ndo maana tunasema
Maisha yapo katika kasi yake inayotuacha kila siku.
Wakati vita inaanza tulikua tunasikia Russia hivi, Russia vile. Yaani ilikuwa kama vile wameenda Ukraine kwenye matembezi ya Mshikamano au mbio za mwenge au kwenye Goba Marathon...ilikuwa kama vile Ukraine wote wameikumbia nchi baada ya kusikia Russia wanakuja.
Baada ya wiki moja kupita na kibao kugeuka, taarifa zikabadilika, mara Russia anashinikiza kufanyika kwa mazungumzo ya kumaliza vita, mara wameanza kufa, mara kile.
Watu walewale waliokua wakiwacheka Ukraine, wakaanza kuzishambulia medias zilezile kuwa zinapotosha.
Sasa hivi hawataki tena kusikia habari za vita hadi iwahakikishia kwanza habari hiyo itaelezea mafanikio ya Russia
Britanicca