permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Hizi kwa sasa wanaziita Saint Javelin.Javelin ndio litakuwa jina maarufu zaidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi kwa sasa wanaziita Saint Javelin.Javelin ndio litakuwa jina maarufu zaidi
Na ndio mana sina upande kwa sababu nafahamu propaganda iliyopo. Na vita kubwa kwa sasa ni PetrodollarWewe unachekesha sana,hutaki kuamini britanicca anaishi huko,halafu wewe unataka tukuamini kwa maneno matupu kuwa unaishi Scandinavia [emoji3][emoji3],kama huamini mwenzio aishi huko basi hata wewe unaishi Kolomije huko jirani na Bashite[emoji3]
Kubomoa bomoa magorofa au siyo, huongelei zaidi ya watu milioni 5 ambao ni wakimbizi sasa hivi na maisha yao hayatarudi kama yalivyokuwa tena...kuishi normal life una nyumba watoto wanaenda shule, hospital access, na wazazi wanaingiza kipato...unajua hamna kinachofanyika huko ukraine mda huu?Majamaa yamekufa kiboya sana vifaa vyote vya kisasa yanavyo lakini yanauliwa kizembezembe kweli kweli yalichofanikiwa ni kubomoa bomoa maghorofa ya hapo mauripol & Odessa
Hili ni jambo jema. Lakini haifai kitu kuipenda familia yako lakini ukashangilia madhila yanayozipata familia zisizo na hatia huko Ukraine.
Hizi ni dalili za awali kwamba utakua mchawi katika uzee wako
Operations imekamilika tumeharibu kila kitu, tumeharibu miundombinu na baadhi ya majimbo tumeyapa uhuru wao, unataka nini kima ww tena ??Wazee wa operation ya siku tatu mnabadilisha hoja kila leo.
Mmemjua sasa mrusi wenu kuwa ni mweupe sana. Ukweli mchungu ni kwamba hata mreno tu anampasua vipande
NaamBali ni Military Operation cyo [emoji38][emoji38]
Uache kukurupuka mdogo wanguWazee wa kubazi muachage double standard eti. Marekani akivamia Afghanistan akaharibu kila kitu ni vita. Ila Putin akivamia Ukraine akaharibu kila kitu ni operation maalum. Ujinga ulioje
Lini na wapi aliingia vitani halafu Dunia nzima ikatetemeka au ikaelewa? Yaani nyie pro Duma ni kama kichwani hazipo iwezo wake umeishia pale thanks to St javelin kifaa kutoka Lockheed USA vifaru vimepata shidaNaam
RUSSIA hajapigana ama hjaingia VITANI na UKRAINE
Siku RUSSIA akiingia VITANI na UKRAINE amini yakwamba DUNIA nzima itaelewa yakwamba sasa MOSCVA iko VITANI na UKRAINE rasmi !!!
Nakuambia siku yapili usilete shoboMatusi ni mkongojo wa mtu mwenye ulemavu katika kufikiri. Wewe unao ulemavu wa akili. Lakini usiogope, Muone mwanasaikolojia akusaidie
Tokea lini mm nikawa na mdogo ambae anachuki ndani ya moyo dhidi ya Uislamu?? Safisa uchafu wako kwanza moyoni mwako ndio uje uongee na mm, mada imeongea vita ya Ukraine ww unakuja na shobo za kidini ndio maana mm huwa sitaki kudeal na watu kama nyinyiAchana na matusi mdogo angu. Hayatakusaidia kitu
Wewe umeweka sasa hiyo ripoti ya vita?? Yaani ni kitu gani kinachoweza kutufanya tukuone wewe una elimu ya vita?Unaweza nieleza unaelimu gani kuhusu vita. Kama sio vita diplomasia ya nje.
Unaweza nieleza ulishawai kuandikia ripoti vita gani kati ya vita zilizotokea.
Kijana huko tandale ujuaji na porojo za urusi na ukraine
Wewe hiyo official yako umepata wapi?? Umeweka source?? Punguzeni ujuaji maandazi aisee. Kama unapinga data zake weka za kwako with reliable source pia.Hizo takwimu umepata wapi wakati official figure raia waliokufa 1,437 wewe unatoa 5000+ lakini pia hujatoa vyanzo vya taafifa zako ni kipi. Acheni propaganda ya vita visivyokuhusu.
badala yake Fikiria namna ya kupambana na gharama za maisha zilizopanda namna gani utasaidia familia na jamii yako.
Wewe umeweka sasa hiyo ripoti ya vita?? Yaani ni kitu gani kinachoweza kutufanya tukuone wewe una elimu ya vita?
IRAN ipi!!!!?Marekani alipovamia Iran akamuua Qassem Suleimani pia yeye hakuiita vita. Alisema ni operation ya kumkamata kiongozi wa magaidi. Naye tumsikilize?
😀😀😀 Mimi huwa nawaambia shida sio chanzo cha habari,shida yao ni je habari inawafurahisha wao??.Ili habari ya CCN na BBC iwe ya kweli kwao iandike Drone ya Ukraine yadunguliwa na Askri wa Urusi", hapo meno 34 yote nje kwa KICHEKO na watajaza katika hiyo thread kama kumbikumbi😂😂.
ila ikiandika", vifaru vya Urusi vime-towed kwa KUKOSA mafuta!!!, wewe ulieleta habari utashambuliwa na chanzo chako habari.
HahahIli habari ya CCN na BBC iwe ya kweli kwao iandike Drone ya Ukraine yadunguliwa na Askri wa Urusi", hapo meno 34 yote nje kwa KICHEKO na watajaza katika hiyo thread kama kumbikumbi😂😂.
ila ikiandika", vifaru vya Urusi vime-towed kwa KUKOSA mafuta!!!, wewe ulieleta habari utashambuliwa na chanzo chako habari.
Wakati unakaza fuvu kuleta ndoto za kufikirika Russia anakusanya mapato makubwa ya mafuta na gas toka Nchi za Ulaya hasa Germany. Ungeelekeza nguvu zako kutathimini namna ya kuikomboa familia kutoka kwenye dimbwi la umaskini na kuongeza kipato chako.Habari za wanandugu hapa!
Wakiwa wamekufa wanajeshi zaidi ya 10,000 wa Urusi na 2600 wa Ukraine na raia 5200 wa Ukraine, Hakuna aliyeamini Kama Kuna Kifaru cha Urusi kitaguswa wala hakuna aliyeamini kama Urusi ataruhusu hata majeshi wake mmoja kuuwawa huko vitani, maana wengi walilibeka kiushabiki na kujipa scale ya 72 hours kufika Kiev na kuangusha Serikali, wakati tunaongea Hapa kuna watu walisema bwana mkubwa Putin kashaweza zana on high alert na mbaya zaidi yeyote atakayeingilia vita ataona cha mtema kuni Hahaha sasa hakuna cha mtema kuni wala nyasi, Leo hii hata Poland anaingilia vita anatoa msaada UKRAINE , hata Estonia kanchi kadogo kanatia msaada wa vifaa na majeshi, sasa Mbona hasemi tena
Okay ndo maana tunasema
Maisha yapo katika kasi yake inayotuacha kila siku.
Wakati vita inaanza tulikua tunasikia Russia hivi, Russia vile. Yaani ilikuwa kama vile wameenda Ukraine kwenye matembezi ya Mshikamano au mbio za mwenge au kwenye Goba Marathon...ilikuwa kama vile Ukraine wote wameikumbia nchi baada ya kusikia Russia wanakuja.
Baada ya wiki moja kupita na kibao kugeuka, taarifa zikabadilika, mara Russia anashinikiza kufanyika kwa mazungumzo ya kumaliza vita, mara wameanza kufa, mara kile.
Watu walewale waliokua wakiwacheka Ukraine, wakaanza kuzishambulia medias zilezile kuwa zinapotosha.
Sasa hivi hawataki tena kusikia habari za vita hadi iwahakikishia kwanza habari hiyo itaelezea mafanikio ya Russia
Britanicca
ZipoHizo takwimu umepata wapi wakati official figure raia waliokufa 1,437 wewe unatoa 5000+ lakini pia hujatoa vyanzo vya taafifa zako ni kipi. Acheni propaganda ya vita visivyokuhusu.
badala yake Fikiria namna ya kupambana na gharama za maisha zilizopanda namna gani utasaidia familia na jamii yako.