Sang'udi
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 9,138
- 22,236
Uelewa wako mdogo sana.Mwanajeshi sio raia?View attachment 2175364
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uelewa wako mdogo sana.Mwanajeshi sio raia?View attachment 2175364
Mwanajeshi sio raia?View attachment 2175364
Acha ku complicate mamboUnaweza nieleza unaelimu gani kuhusu vita. Kama sio vita diplomasia ya nje.
Unaweza nieleza ulishawai kuandikia ripoti vita gani kati ya vita zilizotokea.
Kijana huko tandale ujuaji na porojo za urusi na ukraine
Wewe mzee wa maripoti kila thread mtu akiandika against russia unasema ulishawahi kuandika ripoti, hemu wewe anzisha thread halafu uweke ripoti za vita uvijuavyo.,Unaweza nieleza unaelimu gani kuhusu vita. Kama sio vita diplomasia ya nje.
Unaweza nieleza ulishawai kuandikia ripoti vita gani kati ya vita zilizotokea.
Kijana huko tandale ujuaji na porojo za urusi na ukraine
Mkuu dela lako halichoki? Maana unalizungusha sana nguo ya ndani itaonekana sasaPambana na garama za gesi na chakula zilizopanda huko uliko.
A person livining in Europe or Amercia should be well informed na mwenye kujua kuandika vema sio kwa utumbo huu ulioandika hapa bora hata na mtu wa matombo anaweza kuandika vizuri kuliko unaejinasibu kukaa huko ulipo.
Tatu nilifikiri kukaa huko ulipo ungeelimika zaidi but unaonekana sawa na wacheza vigodoro wa kule ngamiani Tanga. Andiko halina reference ni sawa na waimba taarabu za kuchambana wakwe wenza
Sasa mbona unaandika mipasho ya taarabuPambana na garama za gesi na chakula zilizopanda huko uliko.
A person livining in Europe or Amercia should be well informed na mwenye kujua kuandika vema sio kwa utumbo huu ulioandika hapa bora hata na mtu wa matombo anaweza kuandika vizuri kuliko unaejinasibu kukaa huko ulipo.
Tatu nilifikiri kukaa huko ulipo ungeelimika zaidi but unaonekana sawa na wacheza vigodoro wa kule ngamiani Tanga. Andiko halina reference ni sawa na waimba taarabu za kuchambana wakwe wenza
Hakuna misafara ya Urusi huko Ukraine, Javeline ya muingereza imekuja kutuambia kuwa hakuna mbabe wa vifaru na misafara ya kipumbavu dhidi yake.Kumbe mataifa mengine yalishaingilia na Putin akaufyata? Kwa hiyo kumbe Ile kauli ya atakayeingilia naye atapigwa ulikuwa ni mkwala mbuzi tu[emoji38][emoji38]
Mwanzo wa vita ilkuwa Russia 3 - Ukraine 0.Wana kakatuni kao dogo putin anachezea switch ya nuke wanakapenda sana kwi kwi kwi
@saysafiriUrusi kwa ujuha walioufanya wametuacha pabaya sana dunia hii, siku zote tuliwategemea uwepo wao kama wababe wa Marekani, ili kuwe na balance of power duniani, wangeendelea kuficha udhaifu wao tuendelee kuwaogopa, sasa wameshonyesha walivyo hovyo, Marekani ameachwa pekee yake kama mmiliki wa dunia, hata Waarabu waliokua wanamtegemea Urusi, kwenye hili wamepiga kimya kwa mshtuko.
Tena watasema propaganda.Ili habari ya CCN na BBC iwe ya kweli kwao iandike Drone ya Ukraine yadunguliwa na Askri wa Urusi", hapo meno 34 yote nje kwa KICHEKO na watajaza katika hiyo thread kama kumbikumbi[emoji23][emoji23].
ila ikiandika", vifaru vya Urusi vime-towed kwa KUKOSA mafuta!!!, wewe ulieleta habari utashambuliwa na chanzo chako habari.
Wewe unajua nini? Huwezi kusema mwenzio hajui wakati wewe hujaeleza chochoteUnaweza nieleza unaelimu gani kuhusu vita. Kama sio vita diplomasia ya nje.
Unaweza nieleza ulishawai kuandikia ripoti vita gani kati ya vita zilizotokea.
Kijana huko tandale ujuaji na porojo za urusi na ukraine
Naomba kujua umri wako na elim yako please...Habari za wanandugu hapa!
Wakiwa wamekufa wanajeshi zaidi ya 10,000 wa Urusi na 2600 wa Ukraine na raia 5200 wa Ukraine, Hakuna aliyeamini Kama Kuna Kifaru cha Urusi kitaguswa wala hakuna aliyeamini kama Urusi ataruhusu hata majeshi wake mmoja kuuwawa huko vitani, maana wengi walilibeka kiushabiki na kujipa scale ya 72 hours kufika Kiev na kuangusha Serikali, wakati tunaongea Hapa kuna watu walisema bwana mkubwa Putin kashaweza zana on high alert na mbaya zaidi yeyote atakayeingilia vita ataona cha mtema kuni Hahaha sasa hakuna cha mtema kuni wala nyasi, Leo hii hata Poland anaingilia vita anatoa msaada UKRAINE , hata Estonia kanchi kadogo kanatia msaada wa vifaa na majeshi, sasa Mbona hasemi tena
Okay ndo maana tunasema
Maisha yapo katika kasi yake inayotuacha kila siku.
Wakati vita inaanza tulikua tunasikia Russia hivi, Russia vile. Yaani ilikuwa kama vile wameenda Ukraine kwenye matembezi ya Mshikamano au mbio za mwenge au kwenye Goba Marathon...ilikuwa kama vile Ukraine wote wameikumbia nchi baada ya kusikia Russia wanakuja.
Baada ya wiki moja kupita na kibao kugeuka, taarifa zikabadilika, mara Russia anashinikiza kufanyika kwa mazungumzo ya kumaliza vita, mara wameanza kufa, mara kile.
Watu walewale waliokua wakiwacheka Ukraine, wakaanza kuzishambulia medias zilezile kuwa zinapotosha.
Sasa hivi hawataki tena kusikia habari za vita hadi iwahakikishia kwanza habari hiyo itaelezea mafanikio ya Russia
Britanicca
Mbona Marekani na NATO ndiyo hawataki Urusi isikike mpaka wakakata hata mtandao wa RT wa Urusi ili ulimwengu usikie upande wao tu? Unachosema ni kinyume kabisa na ukweli unaojiri.Habari za wanandugu hapa!
Wakiwa wamekufa wanajeshi zaidi ya 10,000 wa Urusi na 2600 wa Ukraine na raia 5200 wa Ukraine, Hakuna aliyeamini Kama Kuna Kifaru cha Urusi kitaguswa wala hakuna aliyeamini kama Urusi ataruhusu hata majeshi wake mmoja kuuwawa huko vitani, maana wengi walilibeka kiushabiki na kujipa scale ya 72 hours kufika Kiev na kuangusha Serikali, wakati tunaongea Hapa kuna watu walisema bwana mkubwa Putin kashaweza zana on high alert na mbaya zaidi yeyote atakayeingilia vita ataona cha mtema kuni Hahaha sasa hakuna cha mtema kuni wala nyasi, Leo hii hata Poland anaingilia vita anatoa msaada UKRAINE , hata Estonia kanchi kadogo kanatia msaada wa vifaa na majeshi, sasa Mbona hasemi tena
Okay ndo maana tunasema
Maisha yapo katika kasi yake inayotuacha kila siku.
Wakati vita inaanza tulikua tunasikia Russia hivi, Russia vile. Yaani ilikuwa kama vile wameenda Ukraine kwenye matembezi ya Mshikamano au mbio za mwenge au kwenye Goba Marathon...ilikuwa kama vile Ukraine wote wameikumbia nchi baada ya kusikia Russia wanakuja.
Baada ya wiki moja kupita na kibao kugeuka, taarifa zikabadilika, mara Russia anashinikiza kufanyika kwa mazungumzo ya kumaliza vita, mara wameanza kufa, mara kile.
Watu walewale waliokua wakiwacheka Ukraine, wakaanza kuzishambulia medias zilezile kuwa zinapotosha.
Sasa hivi hawataki tena kusikia habari za vita hadi iwahakikishia kwanza habari hiyo itaelezea mafanikio ya Russia
Britanicca
Kwelii kabisa nguvu ya kibamia🤣🤣Urusi kwa ujuha walioufanya wametuacha pabaya sana dunia hii, siku zote tuliwategemea uwepo wao kama wababe wa Marekani, ili kuwe na balance of power duniani, wangeendelea kuficha udhaifu wao tuendelee kuwaogopa, sasa wameshonyesha walivyo hovyo, Marekani ameachwa pekee yake kama mmiliki wa dunia, hata Waarabu waliokua wanamtegemea Urusi, kwenye hili wamepiga kimya kwa mshtuko.
Muulize America Vietnam alichukua muda gani..., na hapo alikuwa anatumia mabomu na bila uonga wa Propaganda....