Mashabiki wa Urusi wanavyoswitch habari ziende wanavyotaka wao na wasikilize wanachotaka wao (walidharau Mwiba mguu waanza kuoza)

Mashabiki wa Urusi wanavyoswitch habari ziende wanavyotaka wao na wasikilize wanachotaka wao (walidharau Mwiba mguu waanza kuoza)

Wa,Russia tumewatuliza!!!!!
JamiiForums-1127402850.jpg
View attachment 2175372
 
Ushasema mwanajeshi sasa anakuwaje tena raia?.mwanajeshi ame sign kufa na kupona kwenye uwanja wa vita,yeye vita ndo maisha yake kwa iyo warusi kupoteza wanajeshi sio jambo geni kwao maana vita vyote lazima apoteze wanajeshi.ila yeye uwa anajilipa kwa kumega sehemu ya ardhi.

Ukraine usitegemee irudi kama ilivyokuwa mwanzo.lazima ardhi imegwe na nchi mpya izaliwe.
 
Unaweza nieleza unaelimu gani kuhusu vita. Kama sio vita diplomasia ya nje.

Unaweza nieleza ulishawai kuandikia ripoti vita gani kati ya vita zilizotokea.

Kijana huko tandale ujuaji na porojo za urusi na ukraine
Wewe mzee wa maripoti kila thread mtu akiandika against russia unasema ulishawahi kuandika ripoti, hemu wewe anzisha thread halafu uweke ripoti za vita uvijuavyo.,

Unaambiwa Russia aliwambia ukraine wekeni silaha chini kwa hiyari yenu au tunawaangamiza lakini Ukraine wakakataa kuweka silaha chini sasa badala yake hatukuona impact yoyote ya kukataa kwao kuweka silaha chini kumbe Russia alikuwa ashabanwa na kashafikishwa ukingoni, hatimae sasa miji yoote ya Kyiv imegombolewa watoto wanaaza kwenda shule.

Mulitishwa na kuaminishwa Mrusi hashikiki hashikiki, sasa unachokishuhudia kwa macho yako Ukraine kilichompata mrusi umebaki unataka ripoti ya vita, lete wewe kwanza hizo ripoti hapa tuzichambue.

Zelensky bado ni Rais wa Ukraine na anatamba kila siku mikutano hii na hii anafanya akiwa katika majengo ya kifahari ndani ya Ukraine hakuna Mrusi aliyethubutu hata kumkaribia alipo, huu ni udhaifu mkubwa wa Putini ambaye alikuwa na lengo la kumtoa madarakani na kumsimamisha wakala wake ambaye atafuata mila za urusi.,

Alichofanya mrusi kubwa ambacho tunakiona ni kuua raia ambao hawana hatia, na sasa hii ni weakness kubwa mtu ajigambaye kama huyu kenge Putini.

Marekani saiv wanajuta kuiaminisha dunia kwamba Ukitoa Marekani wenyewe basi Russia anafuatia kwa nchi ambazo zimeendelea katika technologia ya kivita na kwamba ni mataifa hatari, kumbe ni afadhali ya Ukraine taifa ambalo ukienda kwenye ramani za kivita kidunia ata alikuwa hatajwi.
 
Pambana na garama za gesi na chakula zilizopanda huko uliko.

A person livining in Europe or Amercia should be well informed na mwenye kujua kuandika vema sio kwa utumbo huu ulioandika hapa bora hata na mtu wa matombo anaweza kuandika vizuri kuliko unaejinasibu kukaa huko ulipo.

Tatu nilifikiri kukaa huko ulipo ungeelimika zaidi but unaonekana sawa na wacheza vigodoro wa kule ngamiani Tanga. Andiko halina reference ni sawa na waimba taarabu za kuchambana wakwe wenza
Mkuu dela lako halichoki? Maana unalizungusha sana nguo ya ndani itaonekana sasa
 
Pambana na garama za gesi na chakula zilizopanda huko uliko.

A person livining in Europe or Amercia should be well informed na mwenye kujua kuandika vema sio kwa utumbo huu ulioandika hapa bora hata na mtu wa matombo anaweza kuandika vizuri kuliko unaejinasibu kukaa huko ulipo.

Tatu nilifikiri kukaa huko ulipo ungeelimika zaidi but unaonekana sawa na wacheza vigodoro wa kule ngamiani Tanga. Andiko halina reference ni sawa na waimba taarabu za kuchambana wakwe wenza
Sasa mbona unaandika mipasho ya taarabu
 
Kumbe mataifa mengine yalishaingilia na Putin akaufyata? Kwa hiyo kumbe Ile kauli ya atakayeingilia naye atapigwa ulikuwa ni mkwala mbuzi tu[emoji38][emoji38]
Hakuna misafara ya Urusi huko Ukraine, Javeline ya muingereza imekuja kutuambia kuwa hakuna mbabe wa vifaru na misafara ya kipumbavu dhidi yake.

Heshima yake Javeline.
 
Urusi kwa ujuha walioufanya wametuacha pabaya sana dunia hii, siku zote tuliwategemea uwepo wao kama wababe wa Marekani, ili kuwe na balance of power duniani, wangeendelea kuficha udhaifu wao tuendelee kuwaogopa, sasa wameshonyesha walivyo hovyo, Marekani ameachwa pekee yake kama mmiliki wa dunia, hata Waarabu waliokua wanamtegemea Urusi, kwenye hili wamepiga kimya kwa mshtuko.
@saysafiri
 
Ili habari ya CCN na BBC iwe ya kweli kwao iandike Drone ya Ukraine yadunguliwa na Askri wa Urusi", hapo meno 34 yote nje kwa KICHEKO na watajaza katika hiyo thread kama kumbikumbi[emoji23][emoji23].
ila ikiandika", vifaru vya Urusi vime-towed kwa KUKOSA mafuta!!!, wewe ulieleta habari utashambuliwa na chanzo chako habari.
Tena watasema propaganda.
 
Habari za wanandugu hapa!

Wakiwa wamekufa wanajeshi zaidi ya 10,000 wa Urusi na 2600 wa Ukraine na raia 5200 wa Ukraine, Hakuna aliyeamini Kama Kuna Kifaru cha Urusi kitaguswa wala hakuna aliyeamini kama Urusi ataruhusu hata majeshi wake mmoja kuuwawa huko vitani, maana wengi walilibeka kiushabiki na kujipa scale ya 72 hours kufika Kiev na kuangusha Serikali, wakati tunaongea Hapa kuna watu walisema bwana mkubwa Putin kashaweza zana on high alert na mbaya zaidi yeyote atakayeingilia vita ataona cha mtema kuni Hahaha sasa hakuna cha mtema kuni wala nyasi, Leo hii hata Poland anaingilia vita anatoa msaada UKRAINE , hata Estonia kanchi kadogo kanatia msaada wa vifaa na majeshi, sasa Mbona hasemi tena

Okay ndo maana tunasema

Maisha yapo katika kasi yake inayotuacha kila siku.
Wakati vita inaanza tulikua tunasikia Russia hivi, Russia vile. Yaani ilikuwa kama vile wameenda Ukraine kwenye matembezi ya Mshikamano au mbio za mwenge au kwenye Goba Marathon...ilikuwa kama vile Ukraine wote wameikumbia nchi baada ya kusikia Russia wanakuja.

Baada ya wiki moja kupita na kibao kugeuka, taarifa zikabadilika, mara Russia anashinikiza kufanyika kwa mazungumzo ya kumaliza vita, mara wameanza kufa, mara kile.

Watu walewale waliokua wakiwacheka Ukraine, wakaanza kuzishambulia medias zilezile kuwa zinapotosha.

Sasa hivi hawataki tena kusikia habari za vita hadi iwahakikishia kwanza habari hiyo itaelezea mafanikio ya Russia


Britanicca
Naomba kujua umri wako na elim yako please...
 
Habari za wanandugu hapa!

Wakiwa wamekufa wanajeshi zaidi ya 10,000 wa Urusi na 2600 wa Ukraine na raia 5200 wa Ukraine, Hakuna aliyeamini Kama Kuna Kifaru cha Urusi kitaguswa wala hakuna aliyeamini kama Urusi ataruhusu hata majeshi wake mmoja kuuwawa huko vitani, maana wengi walilibeka kiushabiki na kujipa scale ya 72 hours kufika Kiev na kuangusha Serikali, wakati tunaongea Hapa kuna watu walisema bwana mkubwa Putin kashaweza zana on high alert na mbaya zaidi yeyote atakayeingilia vita ataona cha mtema kuni Hahaha sasa hakuna cha mtema kuni wala nyasi, Leo hii hata Poland anaingilia vita anatoa msaada UKRAINE , hata Estonia kanchi kadogo kanatia msaada wa vifaa na majeshi, sasa Mbona hasemi tena

Okay ndo maana tunasema

Maisha yapo katika kasi yake inayotuacha kila siku.
Wakati vita inaanza tulikua tunasikia Russia hivi, Russia vile. Yaani ilikuwa kama vile wameenda Ukraine kwenye matembezi ya Mshikamano au mbio za mwenge au kwenye Goba Marathon...ilikuwa kama vile Ukraine wote wameikumbia nchi baada ya kusikia Russia wanakuja.

Baada ya wiki moja kupita na kibao kugeuka, taarifa zikabadilika, mara Russia anashinikiza kufanyika kwa mazungumzo ya kumaliza vita, mara wameanza kufa, mara kile.

Watu walewale waliokua wakiwacheka Ukraine, wakaanza kuzishambulia medias zilezile kuwa zinapotosha.

Sasa hivi hawataki tena kusikia habari za vita hadi iwahakikishia kwanza habari hiyo itaelezea mafanikio ya Russia


Britanicca
Mbona Marekani na NATO ndiyo hawataki Urusi isikike mpaka wakakata hata mtandao wa RT wa Urusi ili ulimwengu usikie upande wao tu? Unachosema ni kinyume kabisa na ukweli unaojiri.
 
Urusi kwa ujuha walioufanya wametuacha pabaya sana dunia hii, siku zote tuliwategemea uwepo wao kama wababe wa Marekani, ili kuwe na balance of power duniani, wangeendelea kuficha udhaifu wao tuendelee kuwaogopa, sasa wameshonyesha walivyo hovyo, Marekani ameachwa pekee yake kama mmiliki wa dunia, hata Waarabu waliokua wanamtegemea Urusi, kwenye hili wamepiga kimya kwa mshtuko.
Kwelii kabisa nguvu ya kibamia🤣🤣
 
Back
Top Bottom