Mashabiki wa Urusi wanavyoswitch habari ziende wanavyotaka wao na wasikilize wanachotaka wao (walidharau Mwiba mguu waanza kuoza)

Mashabiki wa Urusi wanavyoswitch habari ziende wanavyotaka wao na wasikilize wanachotaka wao (walidharau Mwiba mguu waanza kuoza)

Kwann uliandika haya?
Familia yangu haipo huko Nangurukuru ipo huku katika mikono salama usinilinganishe nawe kukaa kujadili mambo ya harmonize na kajala Au stive NYERERE na usemaji, ninaizungumzia hii vita Nina maslahi pana nayo
 
Hizo takwimu umepata wapi wakati official figure raia waliokufa 1,437 wewe unatoa 5000+ lakini pia hujatoa vyanzo vya taafifa zako ni kipi. Acheni propaganda ya vita visivyokuhusu.

badala yake Fikiria namna ya kupambana na gharama za maisha zilizopanda namna gani utasaidia familia na jamii yako.
Anaflood server za jf bure tu

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Urusi kwa ujuha walioufanya wametuacha pabaya sana dunia hii, siku zote tuliwategemea uwepo wao kama wababe wa Marekani, ili kuwe na balance of power duniani, wangeendelea kuficha udhaifu wao tuendelee kuwaogopa, sasa wameshonyesha walivyo hovyo, Marekani ameachwa pekee yake kama mmiliki wa dunia, hata Waarabu waliokua wanamtegemea Urusi, kwenye hili wamepiga kimya kwa mshtuko.
Hizo nyuklia ndio zinampa kiburi.
 
Tusidanganyane wala kudanganywa Russia 🇷🇺 sio Libya 🇱🇾. Kabla Russia haijarabishwa mchanga kama unavyotaka kutuaminisha litatokea balaa kubwa zaidi kuwahi kushuhudiwa Duniani. Tuombe Mungu hii vita ishee isielekee kwenye point of no return between superpowers. Hakuna anaweza kusimama na Russia ulaya kwenye fullscale war. Russia level yake ni USA au China 🇨🇳.
Mungu tulinde na hiyo siku
 
Ili habari ya CCN na BBC iwe ya kweli kwao iandike Drone ya Ukraine yadunguliwa na Askri wa Urusi", hapo meno 34 yote nje kwa KICHEKO na watajaza katika hiyo thread kama kumbikumbi[emoji23][emoji23].
ila ikiandika", vifaru vya Urusi vime-towed kwa KUKOSA mafuta!!!, wewe ulieleta habari utashambuliwa na chanzo chako habari.
Wapuuzi hawa watoto , au ndio like kizazi cha FFFFFFF na standardisation + BRN
 
Wakati Russia inashinda vita kwenye uwanja wa Mapambano,Ukraine inashinda vita kwenye vyombo vya Habari vya Magharibi!
Asikwambie mtu Ukraine imeharibiwa vibaya sana kiasi kwamba itachukua muda mrefu kurudi katika hali yake ya kawaida! Tusidanganywe na habari za Uongo za Vyombo vya Nchi za Magharibi.
kwa akili zako uhalibifu wa mali za nchi mwenyeji ww vita ndo kushindwa vita ? au unahisi vita ingrpiganwa Urusi vitu visingeharibika?
 
Back
Top Bottom