Baba ile Ni false flag inaitwa!mkwara mbuzi tu huo juzi kapigwa chumbani na vihelcopter viwili kilio kama cha mama mwenye uchungu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baba ile Ni false flag inaitwa!mkwara mbuzi tu huo juzi kapigwa chumbani na vihelcopter viwili kilio kama cha mama mwenye uchungu
Huyo Pilot wa Russia ni Andunje? alafu huyo aliyemkwida mbona kama Ruud Van Nistelrooy?Wa,Russia tumewatuliza!!!!!View attachment 2175373View attachment 2175372
Familia yangu haipo huko Nangurukuru ipo huku katika mikono salama usinilinganishe nawe kukaa kujadili mambo ya harmonize na kajala Au stive NYERERE na usemaji, ninaizungumzia hii vita Nina maslahi pana nayo
Anaflood server za jf bure tuHizo takwimu umepata wapi wakati official figure raia waliokufa 1,437 wewe unatoa 5000+ lakini pia hujatoa vyanzo vya taafifa zako ni kipi. Acheni propaganda ya vita visivyokuhusu.
badala yake Fikiria namna ya kupambana na gharama za maisha zilizopanda namna gani utasaidia familia na jamii yako.
Uzuri hii vita kwenye propaganda mnapewa oscars hadi na Grammys ila uwanjani inaelewekaWa,Russia tumewatuliza!!!!!View attachment 2175373View attachment 2175372
Hawa ndo wale wakishaona wamekaa na ngozi nyeupe basi anajiona na yeye ni mwenzaoKwann uliandika haya?
We si unakipaji ya ushoga ndo maana unatematema mate ovyo baada ya kupandwa na wakina natoUna kipaji cha ujinga
Hizo nyuklia ndio zinampa kiburi.Urusi kwa ujuha walioufanya wametuacha pabaya sana dunia hii, siku zote tuliwategemea uwepo wao kama wababe wa Marekani, ili kuwe na balance of power duniani, wangeendelea kuficha udhaifu wao tuendelee kuwaogopa, sasa wameshonyesha walivyo hovyo, Marekani ameachwa pekee yake kama mmiliki wa dunia, hata Waarabu waliokua wanamtegemea Urusi, kwenye hili wamepiga kimya kwa mshtuko.
ila BUCHA naona wanachekahao wabakaji wezi wa masufuria na washing mashine mbona kila siku vilio kila kona wakipokea marehem zao huko urusi
wakampokonye[emoji4][emoji4][emoji4]Hizo nyuklia ndio zinampa kiburi.
Alikuwa super tall ila huo utunchi ni madhara yaliyokuja na komboraHuyo Pilot wa Russia ni Andunje? alafu huyo aliyemkwida mbona kama Ruud Van Nistelrooy?
Lete wewe unachofahamu kuhusu uvamizi., kwisha habar yenu, sasa putin kabakiwa na nuclear tuPorojo umejaza hapo. Nafikiri ata elimu yako ilikua ya shida sana. Huna unachofahamu kuhusu vita au uvamizi wowote.
Wapuuzi hawa watoto , au ndio like kizazi cha FFFFFFF na standardisation + BRNIli habari ya CCN na BBC iwe ya kweli kwao iandike Drone ya Ukraine yadunguliwa na Askri wa Urusi", hapo meno 34 yote nje kwa KICHEKO na watajaza katika hiyo thread kama kumbikumbi[emoji23][emoji23].
ila ikiandika", vifaru vya Urusi vime-towed kwa KUKOSA mafuta!!!, wewe ulieleta habari utashambuliwa na chanzo chako habari.
Baelezeee[emoji1787]Familia yangu haipo huko Nangurukuru ipo huku katika mikono salama usinilinganishe nawe kukaa kujadili mambo ya harmonize na kajala Au stive NYERERE na usemaji, ninaizungumzia hii vita Nina maslahi pana nayo
Ili ikusaidie nini...Kaa Kwa kutulia dawa ikuingie achana na story za kwenye kahawa....mkubwa huko anakimbilia mawe(Russia)[emoji1787]Naomba kujua umri wako na elim yako please...
Hizo nyuklia ndio zinampa kiburi.
kwa akili zako uhalibifu wa mali za nchi mwenyeji ww vita ndo kushindwa vita ? au unahisi vita ingrpiganwa Urusi vitu visingeharibika?Wakati Russia inashinda vita kwenye uwanja wa Mapambano,Ukraine inashinda vita kwenye vyombo vya Habari vya Magharibi!
Asikwambie mtu Ukraine imeharibiwa vibaya sana kiasi kwamba itachukua muda mrefu kurudi katika hali yake ya kawaida! Tusidanganywe na habari za Uongo za Vyombo vya Nchi za Magharibi.
Mkuu mwache abakie usingizini huko huko,bado ni mgeni akikaa akaelewa mbaadhi ya members wa JF walau hata kwa 20% basi hatokaa akuulize hilo swali la kitoto tenaDogo umjui britanicca ndo maana unaongea tu bila kujua whom you are talking to
unaomba umri sasa hv , ila ulikuwa unakenua kipind hicho Putin anatamba kwenye media kuwa hiyo ni operation na haitamaliza siku 3 hadi 4 , sasa hv ni mwezNaomba kujua umri wako na elim yako please...