Mashabiki wa Urusi wanavyoswitch habari ziende wanavyotaka wao na wasikilize wanachotaka wao (walidharau Mwiba mguu waanza kuoza)

Mashabiki wa Urusi wanavyoswitch habari ziende wanavyotaka wao na wasikilize wanachotaka wao (walidharau Mwiba mguu waanza kuoza)

Mbona Marekani na NATO ndiyo hawataki Urusi isikike mpaka wakakata hata mtandao wa RT wa Urusi ili ulimwengu usikie upande wao tu? Unachosema ni kinyume kabisa na ukweli unaojiri.
Kwanini Russia asiwe na mfumo wake rasmi wa kusambaza taarifa zake? Yes RT alifurushwa kwa mabeberu yeye ni 'super power' atengeneze mfumo wake ambao hautoweza kuzuiwa na Marekani,simple
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Pro Russia mna nini...
So alienda Kiev kuharibu vifaru vyake na Askari wake kufa alafu akaamua kurudi Moscow?
Wamevurugwa mkuu,naona wengi wao wameamu kujibanza kwa ule uzi Live huko wanapeana matumaini na mi comment mirefu isiyokuwa na point[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mmebadilisha wimbo? Mtamlamba matako sana huyo putin lakini ndo basi tena jamaa kawaangusheni
Nani kamuangusha mwenzake?.cheki wanajeshi wa ukraine kama vile kuku wanasubiri kuchinjwa
20220404_221626.jpeg
 
Unaweza nieleza unaelimu gani kuhusu vita. Kama sio vita diplomasia ya nje.

Unaweza nieleza ulishawai kuandikia ripoti vita gani kati ya vita zilizotokea.

Kijana huko tandale ujuaji na porojo za urusi na ukraine
Unaleta habari za theory na darasani hapa JF

Sisi sio walimu hapa JF, Wengine sisi tunahitaji pesa

Mambo ya kuandika paper, Sijui journal, Peleka kwa mkeo
 
Back
Top Bottom