Mwanadiplomasia Mahiri
JF-Expert Member
- Nov 4, 2019
- 491
- 1,907
Kazi wanafanya saa ngapi?Wana kazi mkuu..
Wafanyabiashara ( akilimali).
Dereva WA mabus ya Mikoani ( Daudi yanga)
Muandishi wa habari / mpigapicha WA EARADIO. (Jimy kindoki).
Bro unachekesha sn😅😅😅Sembe
Nimemshangaa sana huyo mleta madaKPI ya Kwanza ya kufeli maishani ni kuanza kufatilia mambo ya watu na kuacha kufatilia yako.
Kwenye hili umefeli mkuu.
Kuna siku walikuomba nauli ya kwenda huko waendako? Wamewahi kukuomba uwaongezee hela ya guest au ya kula huko waendako?
Ndiyo KaziSembe
Nadhani na hii ni sababu mojawapo inayotufanya Waafrika kuuendelea kuwa masikini!KPI ya Kwanza ya kufeli maishani ni kuanza kufatilia mambo ya watu na kuacha kufatilia yako.
Kwenye hili umefeli mkuu.
Kuna siku walikuomba nauli ya kwenda huko waendako? Wamewahi kukuomba uwaongezee hela ya guest au ya kula huko waendako?
Fanya tu kazi kaka mengine yaache kama yalivyo.Kila mechi wapo, si ya nyumbani wala ugenini. Kwasasa hata mechi za kimataifa nje na Tanzania wapo.
Huwa wanafanya kazi zao muda gani? Na huwa wanafanya kazi gani? Au ndio wana vibanda vya urithi Makumbusho?
View attachment 2749957
Janjajanja mjiniKila mechi wapo, si ya nyumbani wala ugenini. Kwasasa hata mechi za kimataifa nje na Tanzania wapo.
Huwa wanafanya kazi zao muda gani? Na huwa wanafanya kazi gani? Au ndio wana vibanda vya urithi Makumbusho?
View attachment 2749957
Hakuna mtu rahisi kumgongea mke wake kama huyo jamaa wa katikati ( Akilimali Makame) wewe unategea tu siku ya mechi ya Yanga unaingia kwa mke wake mnaweka Azam 2 mnapiga mechi kipindi cha kwanza mnapumzika half time then mnaendelea kipindi cha pili. Refa akisha puliza tu filimbi ya mwisho unaingia zako bafuni kuoga unasepaKila mechi wapo, si ya nyumbani wala ugenini. Kwasasa hata mechi za kimataifa nje na Tanzania wapo.
Huwa wanafanya kazi zao muda gani? Na huwa wanafanya kazi gani? Au ndio wana vibanda vya urithi Makumbusho?
View attachment 2749957
Kwenye kikao si tuliwakamata Simba na ngada..!!?? Yanga inaingiaje kwenye shughuri za Simba?Sembe