Ahmad Abdurahman
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 3,251
- 6,299
Akilimali Makame amekukosea nn mkuu?Hakuna mtu rahisi kumgongea mke wake kama huyo jamaa wa katikati ( Akilimali Makame) wewe unategea tu siku ya mechi ya Yanga unaingia kwa mke wake mnaweka Azam 2 mnapiga mechi kipindi cha kwanza mnapumzika half time then mnaendelea kipindi cha pili. Refa akisha puliza tu filimbi ya mwisho unaingia zako bafuni kuoga unasepa
KPI ndio kitu gani?KPI ya Kwanza ya kufeli maishani ni kuanza kufatilia mambo ya watu na kuacha kufatilia yako.
Kwenye hili umefeli mkuu.
Kuna siku walikuomba nauli ya kwenda huko waendako? Wamewahi kukuomba uwaongezee hela ya guest au ya kula huko waendako?
Unafikiri umewaza mbaliii....Vipi kuhusu watangazaji wa redio au runinga wenyewe huwaoniHakuna mtu rahisi kumgongea mke wake kama huyo jamaa wa katikati ( Akilimali Makame) wewe unategea tu siku ya mechi ya Yanga unaingia kwa mke wake mnaweka Azam 2 mnapiga mechi kipindi cha kwanza mnapumzika half time then mnaendelea kipindi cha pili. Refa akisha puliza tu filimbi ya mwisho unaingia zako bafuni kuoga unasepa
It is an old storyUnafikiri umewaza mbaliii....Vipi kuhusu watangazaji wa redio au runinga wenyewe huwaoni
Kwahyo hao tu ndio mashabiki wa yanga???watatu tu?Wana kazi mkuu..
Wafanyabiashara ( akilimali).
Dereva WA mabus ya Mikoani ( Daudi yanga)
Muandishi wa habari / mpigapicha WA EARADIO. (Jimy kindoki).
Kama wizi ni rahisi jaribu uoneHayana kaz hayo,kila mechi hata ya ndondo yapo,...hasa hasa lile baba linaloshikaga njiwa sjui lile..sjui ni majizi yale