Mashabiki wa Yanga ndiyo wanunuzi wa habari za michezo Tanzania

Mashabiki wa Yanga ndiyo wanunuzi wa habari za michezo Tanzania

Fan base ya Yanga ni kubwa nchi Nzima, ilo alija anza Leo Tangu enzi za magazeti ya Uhuru, fanyakazi na Mzalendo ukiuliza wale waandishi wakongwe wakina Tido, Charles Hilal n.k wanalifahamu ilo.
Kwasasa kwenye Social Media ndio wanakimbiza kinoma.
 
Washabiki wengi wa yanga ni wale old school,wale ambao hawana uwezo wa kutumia digital platform.
Magazeti mengi wanunuzi ni wazee ambao hawajui kutumia vifaa vya kidigital. Mashabiki wa Simba aka lunyasi toka enzi ni wale kada ya wasomi, watu wa kipato cha kati na juu ndio maana mpaka leo imemuwia vigumu MO kuichukua Simba jumla, Maana maswali ni mengi kutokana na uelewa wa mashabiki na wanachama wake.
Uko upande wa pili unaona kabisa mashabiki wake wengi shule hawana na wengi ni wale oya oya!! Unaona gsm alikuja pale yanga kama kit sponsor!
Lakini taratibu akajimilikisha timu! Uongozi wote ni wake,jezi anauza yeye,pesa za wadhamini na mikataba yote ya wadhamini pesa anachukua yeye! Malipo ya uanachama anachukua yeye.

yaani timu imekuwa yake,mpaka rangi ya logo kabadilisha imekuwa ya gold sio njano tena! Mijitu ipo inashangilia tu!

Hapo Simba MO alijaribu akashindwa vichwa vilivyo hapo Simba vina shule ya maana vimemsumbua muhindi sana,mpaka muhindi anaona shida,huwezi kuichukua Simba kizembe tu watu wakuache,ila uko yanga muarabu kajibebea timu mazima.

Ofisi za utopolo muarabu kaziweka kwenye jengo lake pale suremander yaani hakuna check and balance,harafu utakuta yanacheka tu na kuwatania Simba juu ya billion ishirini! Lakini wao wenyewe muarabu ameichukia timu bure halafu bado yanamchangia muarabu pesa kwa kulipa kadi eti za uanachama!

Muarabu anakusanya mabilioni! Na kamuweka kijakazi wake ndio awe sijui rais pale utopoloni! Eti rais!! Rais anakuwa mfanyakazi wa kit sponsor!! Nchi hii ina mijitu mijinga basi tu.Pesa zote ziko chini ya kit sponsor uyo wanaemuita rais hawezi kutoa hata shilingi tano bila ruhusa ya mke wa mwarabu!

Pale Simba uwezi kukuta ujinga huo muhindi kajaribu mbinu zote kashindwa sasa hivi anakula pasu na watu wenye shule yao na sio kumuachia bakuli la minofu peke yake.
 
Washabiki wengi wa yanga ni wale old school,wale ambao hawana uwezo wa kutumia digital platform.
Magazeti mengi wanunuzi ni wazee ambao hawajui kutumia vifaa vya kidigital. Mashabiki wa Simba aka lunyasi toka enzi ni wale kada ya wasomi, watu wa kipato cha kati na juu ndio maana mpaka leo imemuwia vigumu MO kuichukua Simba jumla, Maana maswali ni mengi kutokana na uelewa wa mashabiki na wanachama wake.
Uko upande wa pili unaona kabisa mashabiki wake wengi shule hawana na wengi ni wale oya oya!! Unaona gsm alikuja pale yanga kama kit sponsor!
Lakini taratibu akajimilikisha timu! Uongozi wote ni wake,jezi anauza yeye,pesa za wadhamini na mikataba yote ya wadhamini pesa anachukua yeye! Malipo ya uanachama anachukua yeye.

yaani timu imekuwa yake,mpaka rangi ya logo kabadilisha imekuwa ya gold sio njano tena! Mijitu ipo inashangilia tu!

Hapo Simba MO alijaribu akashindwa vichwa vilivyo hapo Simba vina shule ya maana vimemsumbua muhindi sana,mpaka muhindi anaona shida,huwezi kuichukua Simba kizembe tu watu wakuache,ila uko yanga muarabu kajibebea timu mazima.

Ofisi za utopolo muarabu kaziweka kwenye jengo lake pale suremander yaani hakuna check and balance,harafu utakuta yanacheka tu na kuwatania Simba juu ya billion ishirini! Lakini wao wenyewe muarabu ameichukia timu bure halafu bado yanamchangia muarabu pesa kwa kulipa kadi eti za uanachama!

Muarabu anakusanya mabilioni! Na kamuweka kijakazi wake ndio awe sijui rais pale utopoloni! Eti rais!! Rais anakuwa mfanyakazi wa kit sponsor!! Nchi hii ina mijitu mijinga basi tu.Pesa zote ziko chini ya kit sponsor uyo wanaemuita rais hawezi kutoa hata shilingi tano bila ruhusa ya mke wa mwarabu!

Pale Simba uwezi kukuta ujinga huo muhindi kajaribu mbinu zote kashindwa sasa hivi anakula pasu na watu wenye shule yao na sio kumuachia bakuli la minofu peke yake.
Aiseeeh kweli wewe kolo
 
Washabiki wengi wa yanga ni wale old school,wale ambao hawana uwezo wa kutumia digital platform.
Magazeti mengi wanunuzi ni wazee ambao hawajui kutumia vifaa vya kidigital. Mashabiki wa Simba aka lunyasi toka enzi ni wale kada ya wasomi, watu wa kipato cha kati na juu ndio maana mpaka leo imemuwia vigumu MO kuichukua Simba jumla, Maana maswali ni mengi kutokana na uelewa wa mashabiki na wanachama wake.
Uko upande wa pili unaona kabisa mashabiki wake wengi shule hawana na wengi ni wale oya oya!! Unaona gsm alikuja pale yanga kama kit sponsor!
Lakini taratibu akajimilikisha timu! Uongozi wote ni wake,jezi anauza yeye,pesa za wadhamini na mikataba yote ya wadhamini pesa anachukua yeye! Malipo ya uanachama anachukua yeye.

yaani timu imekuwa yake,mpaka rangi ya logo kabadilisha imekuwa ya gold sio njano tena! Mijitu ipo inashangilia tu!

Hapo Simba MO alijaribu akashindwa vichwa vilivyo hapo Simba vina shule ya maana vimemsumbua muhindi sana,mpaka muhindi anaona shida,huwezi kuichukua Simba kizembe tu watu wakuache,ila uko yanga muarabu kajibebea timu mazima.

Ofisi za utopolo muarabu kaziweka kwenye jengo lake pale suremander yaani hakuna check and balance,harafu utakuta yanacheka tu na kuwatania Simba juu ya billion ishirini! Lakini wao wenyewe muarabu ameichukia timu bure halafu bado yanamchangia muarabu pesa kwa kulipa kadi eti za uanachama!

Muarabu anakusanya mabilioni! Na kamuweka kijakazi wake ndio awe sijui rais pale utopoloni! Eti rais!! Rais anakuwa mfanyakazi wa kit sponsor!! Nchi hii ina mijitu mijinga basi tu.Pesa zote ziko chini ya kit sponsor uyo wanaemuita rais hawezi kutoa hata shilingi tano bila ruhusa ya mke wa mwarabu!

Pale Simba uwezi kukuta ujinga huo muhindi kajaribu mbinu zote kashindwa sasa hivi anakula pasu na watu wenye shule yao na sio kumuachia bakuli la minofu peke yake.
Hahahaha, Simba na yanga bana
 
Washabiki wengi wa yanga ni wale old school,wale ambao hawana uwezo wa kutumia digital platform.
Magazeti mengi wanunuzi ni wazee ambao hawajui kutumia vifaa vya kidigital. Mashabiki wa Simba aka lunyasi toka enzi ni wale kada ya wasomi, watu wa kipato cha kati na juu ndio maana mpaka leo imemuwia vigumu MO kuichukua Simba jumla, Maana maswali ni mengi kutokana na uelewa wa mashabiki na wanachama wake.
Uko upande wa pili unaona kabisa mashabiki wake wengi shule hawana na wengi ni wale oya oya!! Unaona gsm alikuja pale yanga kama kit sponsor!
Lakini taratibu akajimilikisha timu! Uongozi wote ni wake,jezi anauza yeye,pesa za wadhamini na mikataba yote ya wadhamini pesa anachukua yeye! Malipo ya uanachama anachukua yeye.

yaani timu imekuwa yake,mpaka rangi ya logo kabadilisha imekuwa ya gold sio njano tena! Mijitu ipo inashangilia tu!

Hapo Simba MO alijaribu akashindwa vichwa vilivyo hapo Simba vina shule ya maana vimemsumbua muhindi sana,mpaka muhindi anaona shida,huwezi kuichukua Simba kizembe tu watu wakuache,ila uko yanga muarabu kajibebea timu mazima.

Ofisi za utopolo muarabu kaziweka kwenye jengo lake pale suremander yaani hakuna check and balance,harafu utakuta yanacheka tu na kuwatania Simba juu ya billion ishirini! Lakini wao wenyewe muarabu ameichukia timu bure halafu bado yanamchangia muarabu pesa kwa kulipa kadi eti za uanachama!

Muarabu anakusanya mabilioni! Na kamuweka kijakazi wake ndio awe sijui rais pale utopoloni! Eti rais!! Rais anakuwa mfanyakazi wa kit sponsor!! Nchi hii ina mijitu mijinga basi tu.Pesa zote ziko chini ya kit sponsor uyo wanaemuita rais hawezi kutoa hata shilingi tano bila ruhusa ya mke wa mwarabu!

Pale Simba uwezi kukuta ujinga huo muhindi kajaribu mbinu zote kashindwa sasa hivi anakula pasu na watu wenye shule yao na sio kumuachia bakuli la minofu peke yake.
Wewe unaongea nini? Nyie mmeshampa klabu kanji kihalali kabisa 49% ni za kwake na pesa hajatoa mpaka leo ni miaka mingapi?
Kila siku mnapigwa danadana hataki kutaja hata benki gani alikoweka pesa na nyie mnamgwaya ndio check & balance yenyewe hiyo?

Mmemuuzia mtu hisa 49 mpaka leo hamjui pesa kaweka wapi nyie mna akili?
Hili suala moja tu lilifaa kuwatoa kwenye mjadala wa mashabiki wenye akili.

Sisi mpaka leo wanachama tunamiliki klabu, GSM yuko pale kama mwekezaji na tumempa baraka zote anamwaga hela raha tunazipata sisi.
 
Washabiki wengi wa yanga ni wale old school,wale ambao hawana uwezo wa kutumia digital platform.
Magazeti mengi wanunuzi ni wazee ambao hawajui kutumia vifaa vya kidigital. Mashabiki wa Simba aka lunyasi toka enzi ni wale kada ya wasomi, watu wa kipato cha kati na juu ndio maana mpaka leo imemuwia vigumu MO kuichukua Simba jumla, Maana maswali ni mengi kutokana na uelewa wa mashabiki na wanachama wake.
Uko upande wa pili unaona kabisa mashabiki wake wengi shule hawana na wengi ni wale oya oya!! Unaona gsm alikuja pale yanga kama kit sponsor!
Lakini taratibu akajimilikisha timu! Uongozi wote ni wake,jezi anauza yeye,pesa za wadhamini na mikataba yote ya wadhamini pesa anachukua yeye! Malipo ya uanachama anachukua yeye.

yaani timu imekuwa yake,mpaka rangi ya logo kabadilisha imekuwa ya gold sio njano tena! Mijitu ipo inashangilia tu!

Hapo Simba MO alijaribu akashindwa vichwa vilivyo hapo Simba vina shule ya maana vimemsumbua muhindi sana,mpaka muhindi anaona shida,huwezi kuichukua Simba kizembe tu watu wakuache,ila uko yanga muarabu kajibebea timu mazima.

Ofisi za utopolo muarabu kaziweka kwenye jengo lake pale suremander yaani hakuna check and balance,harafu utakuta yanacheka tu na kuwatania Simba juu ya billion ishirini! Lakini wao wenyewe muarabu ameichukia timu bure halafu bado yanamchangia muarabu pesa kwa kulipa kadi eti za uanachama!

Muarabu anakusanya mabilioni! Na kamuweka kijakazi wake ndio awe sijui rais pale utopoloni! Eti rais!! Rais anakuwa mfanyakazi wa kit sponsor!! Nchi hii ina mijitu mijinga basi tu.Pesa zote ziko chini ya kit sponsor uyo wanaemuita rais hawezi kutoa hata shilingi tano bila ruhusa ya mke wa mwarabu!

Pale Simba uwezi kukuta ujinga huo muhindi kajaribu mbinu zote kashindwa sasa hivi anakula pasu na watu wenye shule yao na sio kumuachia bakuli la minofu peke yake.
Utopolo watakupinga
 
Washabiki wengi wa yanga ni wale old school,wale ambao hawana uwezo wa kutumia digital platform.
Magazeti mengi wanunuzi ni wazee ambao hawajui kutumia vifaa vya kidigital. Mashabiki wa Simba aka lunyasi toka enzi ni wale kada ya wasomi, watu wa kipato cha kati na juu ndio maana mpaka leo imemuwia vigumu MO kuichukua Simba jumla, Maana maswali ni mengi kutokana na uelewa wa mashabiki na wanachama wake.
Uko upande wa pili unaona kabisa mashabiki wake wengi shule hawana na wengi ni wale oya oya!! Unaona gsm alikuja pale yanga kama kit sponsor!
Lakini taratibu akajimilikisha timu! Uongozi wote ni wake,jezi anauza yeye,pesa za wadhamini na mikataba yote ya wadhamini pesa anachukua yeye! Malipo ya uanachama anachukua yeye.

yaani timu imekuwa yake,mpaka rangi ya logo kabadilisha imekuwa ya gold sio njano tena! Mijitu ipo inashangilia tu!

Hapo Simba MO alijaribu akashindwa vichwa vilivyo hapo Simba vina shule ya maana vimemsumbua muhindi sana,mpaka muhindi anaona shida,huwezi kuichukua Simba kizembe tu watu wakuache,ila uko yanga muarabu kajibebea timu mazima.

Ofisi za utopolo muarabu kaziweka kwenye jengo lake pale suremander yaani hakuna check and balance,harafu utakuta yanacheka tu na kuwatania Simba juu ya billion ishirini! Lakini wao wenyewe muarabu ameichukia timu bure halafu bado yanamchangia muarabu pesa kwa kulipa kadi eti za uanachama!

Muarabu anakusanya mabilioni! Na kamuweka kijakazi wake ndio awe sijui rais pale utopoloni! Eti rais!! Rais anakuwa mfanyakazi wa kit sponsor!! Nchi hii ina mijitu mijinga basi tu.Pesa zote ziko chini ya kit sponsor uyo wanaemuita rais hawezi kutoa hata shilingi tano bila ruhusa ya mke wa mwarabu!

Pale Simba uwezi kukuta ujinga huo muhindi kajaribu mbinu zote kashindwa sasa hivi anakula pasu na watu wenye shule yao na sio kumuachia bakuli la minofu peke yake.
Tuambie kwanza bil 20 za Mo ziko wapi?
 
Washabiki wengi wa yanga ni wale old school,wale ambao hawana uwezo wa kutumia digital platform.
Magazeti mengi wanunuzi ni wazee ambao hawajui kutumia vifaa vya kidigital. Mashabiki wa Simba aka lunyasi toka enzi ni wale kada ya wasomi, watu wa kipato cha kati na juu ndio maana mpaka leo imemuwia vigumu MO kuichukua Simba jumla, Maana maswali ni mengi kutokana na uelewa wa mashabiki na wanachama wake.
Uko upande wa pili unaona kabisa mashabiki wake wengi shule hawana na wengi ni wale oya oya!! Unaona gsm alikuja pale yanga kama kit sponsor!
Lakini taratibu akajimilikisha timu! Uongozi wote ni wake,jezi anauza yeye,pesa za wadhamini na mikataba yote ya wadhamini pesa anachukua yeye! Malipo ya uanachama anachukua yeye.

yaani timu imekuwa yake,mpaka rangi ya logo kabadilisha imekuwa ya gold sio njano tena! Mijitu ipo inashangilia tu!

Hapo Simba MO alijaribu akashindwa vichwa vilivyo hapo Simba vina shule ya maana vimemsumbua muhindi sana,mpaka muhindi anaona shida,huwezi kuichukua Simba kizembe tu watu wakuache,ila uko yanga muarabu kajibebea timu mazima.

Ofisi za utopolo muarabu kaziweka kwenye jengo lake pale suremander yaani hakuna check and balance,harafu utakuta yanacheka tu na kuwatania Simba juu ya billion ishirini! Lakini wao wenyewe muarabu ameichukia timu bure halafu bado yanamchangia muarabu pesa kwa kulipa kadi eti za uanachama!

Muarabu anakusanya mabilioni! Na kamuweka kijakazi wake ndio awe sijui rais pale utopoloni! Eti rais!! Rais anakuwa mfanyakazi wa kit sponsor!! Nchi hii ina mijitu mijinga basi tu.Pesa zote ziko chini ya kit sponsor uyo wanaemuita rais hawezi kutoa hata shilingi tano bila ruhusa ya mke wa mwarabu!

Pale Simba uwezi kukuta ujinga huo muhindi kajaribu mbinu zote kashindwa sasa hivi anakula pasu na watu wenye shule yao na sio kumuachia bakuli la minofu peke yake.
Mkuu uliona zile picha za wanachama wa simba walio hudhuria kikao kikuu cha mangungu na manzoki mwaka jana.
Wote walikuwa wazee na wamechoka, ingia Google tafuta
Yanga mwakilishi wetu ni engineer hersi ni kijana, nyie simba mwakilishi wenu ni mangungu mzee
Hoja yako ni mfu
 
Washabiki wengi wa yanga ni wale old school,wale ambao hawana uwezo wa kutumia digital platform.
Magazeti mengi wanunuzi ni wazee ambao hawajui kutumia vifaa vya kidigital. Mashabiki wa Simba aka lunyasi toka enzi ni wale kada ya wasomi, watu wa kipato cha kati na juu ndio maana mpaka leo imemuwia vigumu MO kuichukua Simba jumla, Maana maswali ni mengi kutokana na uelewa wa mashabiki na wanachama wake.
Uko upande wa pili unaona kabisa mashabiki wake wengi shule hawana na wengi ni wale oya oya!! Unaona gsm alikuja pale yanga kama kit sponsor!
Lakini taratibu akajimilikisha timu! Uongozi wote ni wake,jezi anauza yeye,pesa za wadhamini na mikataba yote ya wadhamini pesa anachukua yeye! Malipo ya uanachama anachukua yeye.

yaani timu imekuwa yake,mpaka rangi ya logo kabadilisha imekuwa ya gold sio njano tena! Mijitu ipo inashangilia tu!

Hapo Simba MO alijaribu akashindwa vichwa vilivyo hapo Simba vina shule ya maana vimemsumbua muhindi sana,mpaka muhindi anaona shida,huwezi kuichukua Simba kizembe tu watu wakuache,ila uko yanga muarabu kajibebea timu mazima.

Ofisi za utopolo muarabu kaziweka kwenye jengo lake pale suremander yaani hakuna check and balance,harafu utakuta yanacheka tu na kuwatania Simba juu ya billion ishirini! Lakini wao wenyewe muarabu ameichukia timu bure halafu bado yanamchangia muarabu pesa kwa kulipa kadi eti za uanachama!

Muarabu anakusanya mabilioni! Na kamuweka kijakazi wake ndio awe sijui rais pale utopoloni! Eti rais!! Rais anakuwa mfanyakazi wa kit sponsor!! Nchi hii ina mijitu mijinga basi tu.Pesa zote ziko chini ya kit sponsor uyo wanaemuita rais hawezi kutoa hata shilingi tano bila ruhusa ya mke wa mwarabu!

Pale Simba uwezi kukuta ujinga huo muhindi kajaribu mbinu zote kashindwa sasa hivi anakula pasu na watu wenye shule yao na sio kumuachia bakuli la minofu peke yake.
Kama na wewe ni shabiki wa Simba, na umejitanabahi kwamba ni wasomi na mnauwezo mkubwa wa kufikiri, basi usomi wenu unatatizo.
 
Back
Top Bottom