GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Naenda Kutambika kwa Babu yangu Mkoani Morogoro na kula Pasaka ila napenda Leo nijumuike na wana Yanga SC kuitizama ikicheza na Mamelodi Sundowns FC.
Wa Morogoro semeni mtakuwa Ukumbi gani ili nije na hakikisheni huo Ukumbi nje uwe na Mademu na Gesti ziwe Jirani ili nikimaliza Kushangiiia Ushindi wa Wanaojua kuliko Simba SC Timu ya Yanga SC basi nami Nimuokote wangu wa kwenda Kushangilia nae Kitandani ili nitoe Machungu ya Kidude cha Jana cha Mwarabu ambacho Kinauma kweli kweli.
Yaani Timu Fowadi Jobe na Beki Mbili Nuksi tupu Kapombe ndiyo mnataka mumfunge Mwarabu Kweli?
Mzee Dalali nakuja na Uzi wako baadae la sivyo sema Hela ya Mganga Tsh Milioni 60 uliyopewa ulimpa? Mbona Babu kalalamika kapewa tu Tsh Milioni 3 kwa Kazi Maalum ya jana?
Wa Morogoro semeni mtakuwa Ukumbi gani ili nije na hakikisheni huo Ukumbi nje uwe na Mademu na Gesti ziwe Jirani ili nikimaliza Kushangiiia Ushindi wa Wanaojua kuliko Simba SC Timu ya Yanga SC basi nami Nimuokote wangu wa kwenda Kushangilia nae Kitandani ili nitoe Machungu ya Kidude cha Jana cha Mwarabu ambacho Kinauma kweli kweli.
Yaani Timu Fowadi Jobe na Beki Mbili Nuksi tupu Kapombe ndiyo mnataka mumfunge Mwarabu Kweli?
Mzee Dalali nakuja na Uzi wako baadae la sivyo sema Hela ya Mganga Tsh Milioni 60 uliyopewa ulimpa? Mbona Babu kalalamika kapewa tu Tsh Milioni 3 kwa Kazi Maalum ya jana?