Mashabiki wa Yanga wajitokeza Kwa wingi mitaa ya Jangwani Kwenda kupata supu

Mashabiki wa Yanga wajitokeza Kwa wingi mitaa ya Jangwani Kwenda kupata supu

Nipo na Kalpana amesema supu ni tamu bakuli la kwnza likiisha ataongeza la pili, na pia jambo la kufurahisha amekuja na zile chapati tano
DUuuh 🤣 🤣 🤣 🤣
Kuna rfk yangu mwana Yanga kindaki...amesema hawezi sogea hapo kunywa supu ya vibudu...
Mpira wetu kivyetu vyetu...
 
DUuuh [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Kuna rfk yangu mwana Yanga kindaki...amesema hawezi sogea hapo kunywa supu ya vibudu...
Mpira wetu kivyetu vyetu...
Maneno ya mkosaji hayo [emoji2772][emoji16]
 
Back
Top Bottom