Mashabiki wa Yanga wajitokeza Kwa wingi mitaa ya Jangwani Kwenda kupata supu

Mashabiki wa Yanga wajitokeza Kwa wingi mitaa ya Jangwani Kwenda kupata supu

Safi sana tunamtazamo sawa mkuu
Hakuna silaha kubwa ya kupatanisha maadui huku Kwetu Africa Kama msosi,
Moja ya kitu nacho kiheshimu siku zote kwenye public ni chakula

hapo hao mashabiki Wana feel very proud kua wanayanga hao mashabiki ata yanga akivulunda akahalibu nakwambia watakufa nayo huo msosi unanguvu saana nyuma ya pazia

Umegusia jambo nzuri zaid wanawake na watoto hili ni kundi linalo husudu msosi kuliko kitu chochote apa Dunia Fanya research siku ya sikukuu nyumbani kwako uwaambie pikeni ugali na dagaa Mke pamoja na watoto wako wote wanaangua kilio on spot
Well said [emoji2772][emoji2772]
 
Wana mhahooo.Angesema ,club pekee yenye falsafa za mshikamano.Club ilipokosa pesa wananchi waliichangia na ilipopata mafanikio ikashangilia na wananchi,na Leo club inakula sup na wananchiii.Zingatia neno wananchi.
Sure ,kipindi kile timu inaendeshwa Kwa bakuli Ni hawa hawa mashabiki na wanachama ndio waliochanga ,pamoja na magumu Yale lkn walikua pamoja na timu
Sasa HV waachwe wafurahie kila Zuri linalowatokea.
Pia hongera Kwa viongozi wa Yanga Kwa kuja na ubunifu wa kuwaleta pamoja wanachama,mashabiki na wachezaji
Fikiria walivyokuja na Ile idea ya mchezaji kupewa special match kama siku yake, pale mchezaji anajisikiaje kua the whole match yy ndie siku yake
Halafu tena Leo mashabiki na wanachama wakaandaliwa supu . Mchango WA hivi vitu sio Ile thamani yake ya kifedha Bali Ni Ile spirit inayojengwa
 
Njaa mbaya sana,wanapanda daladala kufuata supu ambayo ni buku mbili mtaani
 
Karibuni wananchi tuongeze nguvu baada ya kushinda goli tano dhidi ya mtani.

Hata wana Simba mnaruhusiwa kuja kupoza machungu ya kipigo cha goli tano.

View attachment 2811176
IMG-20231112-WA0062.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sure ,kipindi kile timu inaendeshwa Kwa bakuli Ni hawa hawa mashabiki na wanachama ndio waliochanga ,pamoja na magumu Yale lkn walikua pamoja na timu
Sasa HV waachwe wafurahie kila Zuri linalowatokea.
Pia hongera Kwa viongozi wa Yanga Kwa kuja na ubunifu wa kuwaleta pamoja wanachama,mashabiki na wachezaji
Fikiria walivyokuja na Ile idea ya mchezaji kupewa special match kama siku yake, pale mchezaji anajisikiaje kua the whole match yy ndie siku yake
Halafu tena Leo mashabiki na wanachama wakaandaliwa supu . Mchango WA hivi vitu sio Ile thamani yake ya kifedha Bali Ni Ile spirit inayojengwa
Hakika umenena vyema.Wewe ni mwamba na juu ya jiwe hili mbele daima ,nyuma Mwiko.
 
Back
Top Bottom