toughlendon_1
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 6,283
- 11,253
πππππππKuna jamaa angu ni kolo ndaki ndaki Leo kaja asubuhi kuazima jezi ya Yanga[emoji23]View attachment 2811245
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πππππππKuna jamaa angu ni kolo ndaki ndaki Leo kaja asubuhi kuazima jezi ya Yanga[emoji23]View attachment 2811245
Ajabu wanao umia ni wengine, next time jilegezeni tena tuwapige [emoji2772]tule supuTanzania ina wajinga wengi yaani akija mgeni akitaka kuwatekeza watanzania basi ni kwenye kula tu mtu akiamua anawaondoa wote hao kwa mkupuo Tanzania my country.
Well said [emoji2772][emoji2772]Safi sana tunamtazamo sawa mkuu
Hakuna silaha kubwa ya kupatanisha maadui huku Kwetu Africa Kama msosi,
Moja ya kitu nacho kiheshimu siku zote kwenye public ni chakula
hapo hao mashabiki Wana feel very proud kua wanayanga hao mashabiki ata yanga akivulunda akahalibu nakwambia watakufa nayo huo msosi unanguvu saana nyuma ya pazia
Umegusia jambo nzuri zaid wanawake na watoto hili ni kundi linalo husudu msosi kuliko kitu chochote apa Dunia Fanya research siku ya sikukuu nyumbani kwako uwaambie pikeni ugali na dagaa Mke pamoja na watoto wako wote wanaangua kilio on spot
Wakosaje kwa mfanoKuna wanathimba nawaona hapo
Sure ,kipindi kile timu inaendeshwa Kwa bakuli Ni hawa hawa mashabiki na wanachama ndio waliochanga ,pamoja na magumu Yale lkn walikua pamoja na timuWana mhahooo.Angesema ,club pekee yenye falsafa za mshikamano.Club ilipokosa pesa wananchi waliichangia na ilipopata mafanikio ikashangilia na wananchi,na Leo club inakula sup na wananchiii.Zingatia neno wananchi.
YesPia vile yanga itatanda kwenye mtandao ya kijamii na vyombo vya habari
Shukrani na Maandalizi ya Champion leagueMimi naona ni kama kafara la shukrani. Kama nasema uongo naomba LIKUD aje anikosoe hapa.
Yericko Nyerere unasemaje kuhusu hili?
Masta nakubali kumbe una kono la nyani la Hi 5 hapo kwa avatar, saaafi sana, watoto wadogo wale hawatuwez sisiNadhani unge anza kuhoji harambee yenu ya uwanja imefikia wapi
Anaweza kutana na simba damu yeye akachukulia masihara mwisho atajikuta ndo kasepa jumlaAahaaaa
Unauaje?
Karibuni wananchi tuongeze nguvu baada ya kushinda goli tano dhidi ya mtani.
Hata wana Simba mnaruhusiwa kuja kupoza machungu ya kipigo cha goli tano.
View attachment 2811176
Mpaka usemeMANARA AJENGEWE SANAM LAKE SPECIAL PALE MAGOGONI[emoji1787][emoji1787][emoji1787].hersi tapeli sanaaa.watu wanapiga hela tu.
Hakika umenena vyema.Wewe ni mwamba na juu ya jiwe hili mbele daima ,nyuma Mwiko.Sure ,kipindi kile timu inaendeshwa Kwa bakuli Ni hawa hawa mashabiki na wanachama ndio waliochanga ,pamoja na magumu Yale lkn walikua pamoja na timu
Sasa HV waachwe wafurahie kila Zuri linalowatokea.
Pia hongera Kwa viongozi wa Yanga Kwa kuja na ubunifu wa kuwaleta pamoja wanachama,mashabiki na wachezaji
Fikiria walivyokuja na Ile idea ya mchezaji kupewa special match kama siku yake, pale mchezaji anajisikiaje kua the whole match yy ndie siku yake
Halafu tena Leo mashabiki na wanachama wakaandaliwa supu . Mchango WA hivi vitu sio Ile thamani yake ya kifedha Bali Ni Ile spirit inayojengwa
Umeambiwa tayari,thamani ya supu hiyo siyo ya kifedha Bali ni spirit inayojengwa ya kuwaunganisha wana Yanga wote yaani wananchi.Njaa mbaya sana,wanapanda daladala kufuata supu ambayo ni buku mbili mtaani
Itsaaa soup manππππ
Bongo buana, wtf is this?
Hatutaki kuteketezwa na wageni wala, sisiem yatosha πTanzania ina wajinga wengi yaani akija mgeni akitaka kuwatekeza watanzania basi ni kwenye kula tu mtu akiamua anawaondoa wote hao kwa mkupuo Tanzania my country.
Wamevalishwa jeziWananchi hawana vurugu Kwa wanasimba waliokuja kwenye supu
That's football....haya mambo ya kupigana ni ya makolo[emoji23]View attachment 2811450