Mashabiki wa Yanga wajitokeza Kwa wingi mitaa ya Jangwani Kwenda kupata supu

Mashabiki wa Yanga wajitokeza Kwa wingi mitaa ya Jangwani Kwenda kupata supu

Sure ,kipindi kile timu inaendeshwa Kwa bakuli Ni hawa hawa mashabiki na wanachama ndio waliochanga ,pamoja na magumu Yale lkn walikua pamoja na timu
Sasa HV waachwe wafurahie kila Zuri linalowatokea.
Pia hongera Kwa viongozi wa Yanga Kwa kuja na ubunifu wa kuwaleta pamoja wanachama,mashabiki na wachezaji
Fikiria walivyokuja na Ile idea ya mchezaji kupewa special match kama siku yake, pale mchezaji anajisikiaje kua the whole match yy ndie siku yake
Halafu tena Leo mashabiki na wanachama wakaandaliwa supu . Mchango WA hivi vitu sio Ile thamani yake ya kifedha Bali Ni Ile spirit inayojengwa
Huu unaitwa uchawi wa kizungu ,hao wakitoka hapo uwaambii kitu khs yanga na uongozi wake
 
Maisha ni kuchagua, wakati wengine wanateseka na masomoneko wananchi wanakula supu
IMG_20231112_144329.jpg
 
Safi sana tunamtazamo sawa mkuu
Hakuna silaha kubwa ya kupatanisha maadui huku Kwetu Africa Kama msosi,
Moja ya kitu nacho kiheshimu siku zote kwenye public ni chakula

hapo hao mashabiki Wana feel very proud kua wanayanga hao mashabiki ata yanga akivulunda akahalibu nakwambia watakufa nayo huo msosi unanguvu saana nyuma ya pazia

Umegusia jambo nzuri zaid wanawake na watoto hili ni kundi linalo husudu msosi kuliko kitu chochote apa Dunia Fanya research siku ya sikukuu nyumbani kwako uwaambie pikeni ugali na dagaa Mke pamoja na watoto wako wote wanaangua kilio on spot
Point sana wanasema sherehe bila chakula ni mkusanyiko usio na maana
 
Ningekua Dar,ningeenda kuinywa hiyo supu.Ni kumbukumbu inayokaa kichwani milele.
 
Njaa mbaya sana,wanapanda daladala kufuata supu ambayo ni buku mbili mtaani
Kama walivyo na njaa wanaochanga 50,000 kwenda kula ubwabwa ukumbini[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom