Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie ndio mpewe team Sasa watu wa mawazo mapya na walio tayari kujifunza sio kukebehiNi jambo la kipumbavu Kwa macho ya kawaidi ila ukiingia ndani zaid utajua zaid Bond inayotengenezwa kati ya timu na mashabiki utaona ni umoja wenye nguvu unaundwa
Kuna propaganda inajengwa hapo kubwa sanaaa
Watu watajivunia kua part of the club
Mimi ni mwana simba lialia Ila Kwa hili mtani hongera Kwa hii
Safi sana tunamtazamo sawa mkuuNyie ndio mpewe team Sasa watu wa mawazo mapya na walio tayari kujifunza sio kukebehi
Kumbuka hapo Kuna wale fans wapya ambao huwa hawajaamua washabikie team ipi (hasa wanawake na watoto)basi huchagua Moja kwa Moja upande
Wana mhahooo.Angesema ,club pekee yenye falsafa za mshikamano.Club ilipokosa pesa wananchi waliichangia na ilipopata mafanikio ikashangilia na wananchi,na Leo club inakula sup na wananchiii.Zingatia neno wananchi.Relax mkuu, jengeni timu yenu ili mpunguze husda [emoji28][emoji28][emoji28]
Bado hujasemaaKUWENI MAKINI NA MAFURIKO.
Hivi ule uwanja tulioambiwa mtajengewa hapo ushaanza kujengwa?
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Mpaka usemeeeAma kweli wenye akili ni wawili tu huko
Punguza negativity utakufa kwa depressionTanzania ina wajinga wengi yaani akija mgeni akitaka kuwatekeza watanzania basi ni kwenye kula tu mtu akiamua anawaondoa wote hao kwa mkupuo Tanzania my country.
Pia vile yanga itatanda kwenye mtandao ya kijamii na vyombo vya habariNyie ndio mpewe team Sasa watu wa mawazo mapya na walio tayari kujifunza sio kukebehi
Kumbuka hapo Kuna wale fans wapya ambao huwa hawajaamua washabikie team ipi (hasa wanawake na watoto)basi huchagua Moja kwa Moja upande
Mwanaume pekee mwenye wivu wa kikeClub pekee yenye falsafa za kizaramo
Bado hujasemaa
Imagine wenye akili ni wawili tu mnapata kipigo kitakatitfu wangekua wanne?Ama kweli wenye akili ni wawili tu huko
Kabisa na sisi tumekubali hata kama tukiwa nazo za kiha ila tukifanikiwa kumgonga simba tano tena tutajisikia raha sanaaaaaClub pekee yenye falsafa za kizaramo
Nadhani unge anza kuhoji harambee yenu ya uwanja imefikia wapiHauna uwanja hapo.na hersi ashukuru.timu inajikongoja vizuri.ngojeni muanze kupoteana mtaanza kuuliza uwanja
Wangepigwa kumi bilaImagine wenye akili ni wawili tu mnapata kipigo kitakatitfu wangekua wanne?